Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Vijana ngoja niwasaidie kuhusu wale masheikh wa Uamsho iko hivi waliletwa kushtakiwa bara kwasababu mahakama ya Zanzibar hairuhusu kushtaki kesi za ugaidi ndio maana wameletwa bara
 
Hilo limsiba sijui lilikuwa linatumia nini kufikili, ni lijinga la karne. Wapambe wake wote wamemkimbia
 
Bora uendelee na ile kitu ya Unga Limited kuliko hayo makubeli uliyoyaanza
 
Vijana ngoja niwasaidie kuhusu wale masheikh wa Uamsho iko hivi waliletwa kushtakiwa bara kwasababu mahakama ya Zanzibar hairuhusu kushtaki kesi za ugaidi ndio maana wameletwa bara
Kwa nini wasipelekwe Madagascar?
 
CCM itamlipia ni MTU WAO
 
Swali la.kujiuliza. endapo bwana Musiba atashindwa kulipa, ama.hata kama.mali zake zikikusanywa na kuonesha hana uwezo wa kulipa kiwango hicho. Nini kitajiri?
Anyongwe hadi kufa, shetani mkubwa Msiba
 
Anyongwe hadi kufa, shetani mkubwa Msiba
Umechanganyikiwa
Moja hakuna kesi ya madai yenye adhabu ya kifo

Pili shetani hafi na hawajawahi kufa yupo miaka nenda rudi na ataendelea kuwepo milele na milele.Kitabu gani cha dini kilichokwambia shetani aweza kufa?
 
Kumbe unajua kuwa Zanzibar ni nchi?
 
Umechanganyikiwa
Moja hakuna kesi ya madai yenye adhabu ya kifo

Pili shetani hafi na hawajawahi kufa yupo miaka nenda rudi na ataendelea kuwepo milele na milele.Kitabu gani cha dini kilichokwambia shetani aweza kufa?
Magufuli aliwaroga, YOU CAN'T READ THE CONTEXT! Nani kasema kesi ya madai ina penal punishment?
 
Huyo mdaiwa kwa sasa anabangaiza mafichoni na ni mnywa gongo. Hawezi kulipa hata laki moja.
Maisha popote ,Ni haki yake kuishi popote maisha yeyote aliyoamua kuyaishi usimpangie ni haki yake ya kidemokrasia aweza amua kuishi hata kwenye pango au chini ya mti akila nyasi

Acha umbeya wewe kuchungulia maisha ya watu wanaishije,wanakulaje wanalalaje
 
Umechanganyikiwa
Moja hakuna kesi ya madai yenye adhabu ya kifo

Pili shetani hafi na hawajawahi kufa yupo miaka nenda rudi na ataendelea kuwepo milele na milele.Kitabu gani cha dini kilichokwambia shetani aweza kufa?
Mpaka kufika weekend wiki hii utakuwa umelazwa Hospitali ya kichwa Lutindi kule Lushoto.
Si kwa speed hii mkuu[emoji1787][emoji1787]
 
Kesi zaidi dhidi ya Musiba zipo njiani.

Bora tu akimbilie selo na tambara la deki
 
Duh hii ndo Bongo. Ndugu zangu tupate shule kwamba kuna Kesho usiyoijua.
Kwa jeuri aliyekuwa nayo Msiba ni mtu wa kujificha kweli. Funzo gani tunalopata hapa ? Tujue kuna Kesho.

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…