Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Ukristu uko wapi hapo au haupendi wakiristu wawemo kwenye upendeleo wa watakaofurahia sukari!Wakiristo mnachekesha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukristu uko wapi hapo au haupendi wakiristu wawemo kwenye upendeleo wa watakaofurahia sukari!Wakiristo mnachekesha sana.
J2 na j1 hamna kazi ili mpate fursa ya kuabudu. Hamtosheki. Jama kataja ramadhani roho zinaumaUkristu uko wapi hapo au haupendi wakiristu wawemo kwenye upendeleo wa watakaofurahia sukari!
Usiniingize kwenye chuki zako dhidi ya ukristu, mimi nimemtetea mpagani umemrukia mkristu! Naona wewe uliudandia uislamu bila kuujua vizuri.J2 na j1 hamna kazi ili mpate fursa ya kuabudu. Hamtosheki. Jama kataja ramadhani roho zinauma
Hakuna mpaganiUsiniingize kwenye chuki zako dhidi ya ukristu, mimi nimemtetea mpagani umemrukia mkristu! Naona wewe uliudandia uislamu bila kuujua vizuri.
Neno ramadhani ndio yametokea yote hayaUsiniingize kwenye chuki zako dhidi ya ukristu, mimi nimemtetea mpagani umemrukia mkristu! Naona wewe uliudandia uislamu bila kuujua vizuri.
Hamna mwenye chuki na ukiristo. Watu wanakemea udini mnaoleta kwa kisingizio cha uanaharakatiUsiniingize kwenye chuki zako dhidi ya ukristu, mimi nimemtetea mpagani umemrukia mkristu! Naona wewe uliudandia uislamu bila kuujua vizuri.
Wote wapo hivyo,baadae wanashija ofisi za umma,ndo unakuta tarehe 18 mshahara unatoka kisa pasaka siku mbili baadae lakini hawafanyi hivyo kwa Idd,huko nyuma utasikia 'tutoe matokeo darasa la Saba mapema ili watoto washerekee xmass vizuri'..hao hujiona wao tu nchi hii,ndiyo maana ofisi ikiwa na waislam wanne katika kumi huona udiniMartin lkn kazidi udini
Rejea Post yangu iliyowaweka waislamu na wakiristu pamoja huku wapagani wakitengwa, umekasirika kuchanganywa na wakiristu.Hamna mwenye chuki na ukiristo. Watu wanakemea udini mnaoleta kwa kisingizio cha uanaharakati
Nauliza tena, waislam ni kundi maalum?Martin ukishatoa jini la udini kwenye chupa ni vigumu sana kulirejesha. Je Bashe angekuwa Mkristo na angesema ikifika Ramadhan sukari itakuwa nyingi ungesema hawajali Wakristo au ungesema anataka kuhakikisha stability ya bei ya SUKARI ikifika Ramadhan? Think sometimes.
Source X. Zamani twitter.com
My take.
Cc
MMM
Martin mjenga hoja lakini linapokuja swala la udini utamshangaa sana
Martin katika swala la MOU kati ya kanisa na serekali yupo kimya kwa sababu kafaidika na hicho kitu
Naye ni bonge la boza na kiingereza chake cha shinyangaKwani Bashe alikuwa na ulazima gani wa kutumia Ramadhan kama kigezo cha kuleta Sukari? Mdomo uliponza kichwa.
J2 na j1 hakuna kazi kwa ajili ya ibada yenu..jee nyinyi kundi maalum?Nauliza tena, waislam ni kundi maalum?
Unao uhakika kuwa mimi ni mkiristu, au ni hisia zako tu.Hamna mwenye chuki na ukiristo. Watu wanakemea udini mnaoleta kwa kisingizio cha uanaharakati
Anatumwa na chadema, ile ni Taasisi ya kanisaMartin ukishatoa jini la udini kwenye chupa ni vigumu sana kulirejesha. Je Bashe angekuwa Mkristo na angesema ikifika Ramadhan sukari itakuwa nyingi ungesema hawajali Wakristo au ungesema anataka kuhakikisha stability ya bei ya SUKARI ikifika Ramadhan? Think sometimes.
Source X. Zamani twitter.com
My take.
Cc
MMM
Martin mjenga hoja lakini linapokuja swala la udini utamshangaa sana
Martin katika swala la MOU kati ya kanisa na serekali yupo kimya kwa sababu kafaidika na hicho kitu
Asiemuislam husimama upande mwengine wa dini nyegineUnao uhakika kuwa mimi ni mkiristu, au ni hisia zako tu.
Malaria 2 Mzee wa dini.Martin ukishatoa jini la udini kwenye chupa ni vigumu sana kulirejesha. Je Bashe angekuwa Mkristo na angesema ikifika Ramadhan sukari itakuwa nyingi ungesema hawajali Wakristo au ungesema anataka kuhakikisha stability ya bei ya SUKARI ikifika Ramadhan? Think sometimes.
Source X. Zamani twitter.com
My take.
Cc
MMM
Martin mjenga hoja lakini linapokuja swala la udini utamshangaa sana
Martin katika swala la MOU kati ya kanisa na serekali yupo kimya kwa sababu kafaidika na hicho kitu
Ila mkuu kwa udini wewe umewazidi wote.Martin lkn kazidi udini
Mbona Majaliwa aliongea uongo msikitini?udini ni sumu.
Wakati Magufuli anatoa sera za nchi kanisani enzi za covid hawa watu walikuwa kimya kwenye hilo