Fatma Karume amjia juu Martin Masese juu ya kauli ya Hussein Bashe

Fatma Karume amjia juu Martin Masese juu ya kauli ya Hussein Bashe

Basi atasema Pasaka wakiristo watapewa sukari bure. Hapo mtasema bashe mzalendo anauchungu na watz..mnajulikana nyinyi udini umezama ktk moyo
Bashe Kilaza Sana. Ameona sukari ni muhimu tu kipindi Cha Ramadhani? Very stupid
 
Hao waarabu wa Zanzibar wanagawana mapesa ya TANGANYIKA anamtetea dada ake
 
Bashe kakosea na amesharekebisha kauli yake, huyo fatma ndo mdini namba moja. Tupo kwaresma waziri anaongela kumaliza tatizo ramazani kwani wa kwaresma hawana haki na sukari?
 
Martin ukishatoa jini la udini kwenye chupa ni vigumu sana kulirejesha. Je Bashe angekuwa Mkristo na angesema ikifika Ramadhan sukari itakuwa nyingi ungesema hawajali Wakristo au ungesema anataka kuhakikisha stability ya bei ya SUKARI ikifika Ramadhan? Think sometimes.

Source X. Zamani twitter.com

My take.
Cc
MMM

Martin mjenga hoja lakini linapokuja swala la udini utamshangaa sana
Martin katika swala la MOU kati ya kanisa na serekali yupo kimya kwa sababu kafaidika na hicho kitu
Huyo msimbe Fatma anaona raha gani Waziri wa serikali kutamka tatizo la sukari wakati wa Ramadhani? Kwa maana hiyo bila Ramadhan asingeshughulikia uhaba uliopo?

Akumbuke uislam siyo dini ya Taifa!
 
Bashe kakosea na amesharekebisha kauli yake, huyo fatma ndo mdini namba moja. Tupo kwaresma waziri anaongela kumaliza tatizo ramazani kwani wa kwaresma hawana haki na sukari?
Wakristo hawajazoea kulalamika Vitu vidogo kama hivyo.

Hiyo ulikuwa ni kauli ya kuwapumbaza waislamu Amanda ndio jamii unaweza kuidanganya hata Kwa tende tu.

Kwanza Mimi najiliaga ugali asubuhi hiyo sukari wakitaka ipigwe marufuku Tu tuzalishe asali Kwa wingi.
 
Huyo msimbe Fatma anaona raha gani Waziri wa serikali kutamka tatizo la sukari wakati wa Ramadhani? Kwa maana hiyo bila Ramadhan asingeshughulikia uhaba uliopo?

Akumbuke uislam siyo dini ya Taifa!
Kwa hiyo tatizo ni kutaja mwenzi wa Ramadhani ?
 
Kwa hiyo tatizo ni kutaja mwenzi wa Ramadhani ?
Hakuna tatizo lolote, udini ni zao la CCM, wameupanda udini na kuupalilia sasa wacha wavune walichopanda, tuliwaonya muda mrefu kutumia agenda za kidini hawakutuelewa, sasa ni muda wa mavuno.
 
Martin ukishatoa jini la udini kwenye chupa ni vigumu sana kulirejesha. Je Bashe angekuwa Mkristo na angesema ikifika Ramadhan sukari itakuwa nyingi ungesema hawajali Wakristo au ungesema anataka kuhakikisha stability ya bei ya SUKARI ikifika Ramadhan? Think sometimes.

Source X. Zamani twitter.com

My take.
Cc
MMM

Martin mjenga hoja lakini linapokuja swala la udini utamshangaa sana
Martin katika swala la MOU kati ya kanisa na serekali yupo kimya kwa sababu kafaidika na hicho kitu
huyo msomali na fatma ndo wadini wakutubwa.
 
Kwanini sukari isubiri mpaka ramadhani, Ina maana ramadhani isipokuwepo sukari isingepatikana. Wanaofanya udini ni serikali
Jina lako linaashiria kuwa wewe ni mtoto wa kiume sasa mbona unalialia?
Unajielewa kweli?
Hali ya Sukari haieleweki ni miezi sasa.
Watu wanapambana kurekebisha hali mnachonga Udini, mkoje?
 
Kauli ya bashe ni yakidini kabisa na kusema kweli aliwalenga waisiram kwamba kabla ya mfungo watakua wamepata hiyo sukari maswala ya imani yapo senstiv kabisa na maswala ya kuchinja yalianza hiv
 
Jina lako linaashiria kuwa wewe ni mtoto wa kiume sasa mbona unalialia?
Unajielewa kweli?
Hali ya Sukari haieleweki ni miezi sasa.
Watu wanapambana kurekebisha hali mnachonga Udini, mkoje?
Nani analialia, nani anapambana, kwani tatizo la sukari limeanza leo. Either uelewa wako ni mdogo au uchawa umekuzidi. Unaweza kunieleza kwanini Malawi na Zambia wanayo sukari Tena Bei nafuu na ziada kutuuzia.
 
Nani analialia, nani anapambana, kwani tatizo la sukari limeanza leo. Either uelewa wako ni mdogo au uchawa umekuzidi. Unaweza kunieleza kwanini Malawi na Zambia wanayo sukari Tena Bei nafuu na ziada kutuuzia.
Aisee muda huo mchafu sina.
 
Martin ukishatoa jini la udini kwenye chupa ni vigumu sana kulirejesha. Je Bashe angekuwa Mkristo na angesema ikifika Ramadhan sukari itakuwa nyingi ungesema hawajali Wakristo au ungesema anataka kuhakikisha stability ya bei ya SUKARI ikifika Ramadhan? Think sometimes.

Source X. Zamani twitter.com

My take.
Cc
MMM

Martin mjenga hoja lakini linapokuja swala la udini utamshangaa sana
Martin katika swala la MOU kati ya kanisa na serekali yupo kimya kwa sababu kafaidika na hicho kitu
Martin ndio nani tena?
 
Back
Top Bottom