Fatma Karume amjia juu Martin Masese juu ya kauli ya Hussein Bashe

Fatma Karume amjia juu Martin Masese juu ya kauli ya Hussein Bashe

nimeambiwa taarifa zashafika misikiti yote wanachosubiri ni uchaguzi tu.

sasa itakuaje na mimi nataka upinzani ugonge viti 60 vya ubunge uchaguzi huu tena kwa tume hii iliyopo.
 
Nadhani busara ni hekima na hekima ni busara tukikaa hapo katikati hili jambo ni dogo sana na halina haja gombanisha imani zetu
 
Sukari inasababisha kisukari tumieni Asali.
In Janabhi Voice.
 
Mbona hamsemi J2 na J1 siku za mapunziko? Mnaroho ya kwanini halafu mnalalamika umaskini hawishi?
Kweli kabisa wakirito walisha waona waisilamu misukule siku j2 na juma mosi serikali kupumzika uwezi wasikia wakisema lakini kuna siku wanao waona wajinga wakiamka hizo siku 2 kwa wiki zitafutwa serikali itakuwa unapumzika j3 na j 4
 
Kuwatetea waislam ni thawabu na ibada,uislam umetengenezwa ki oya oya sana yaani sijui ukijamba,ukila,ukila tunda,ukiua...mambo ni mengi ndani ya quran na hadithi,ibada na thawabu za kumwaga wacha Bashe zimzingire.
 
Tatizo liko WAPI? mbona kauli ni nyingi tu zenye kuelekeza jambo kwa umma zikiwa katika hali ya IMANI !!

Kama nchi INAPONYWA kwa kauli hizi za viongozi , bila KUMTANGULIZA MUNGU jamii itaanguka.

Kwani kutamka RAMADHAN shida itatoweka ! inaleta ukakasi gani? Mipango na mikakati ya serikali imeangukia wakati huo kuwa na unafuu.

Kwann mtoa taarifa asijieleze hivyo. TUSIFUMBE macho pia, nchi yetu ipo na IMANI iliyo NUSU KWA NUSU hivyo kama taifa KUJIFANYA kupuuzia wengine wakiwa katka kutekeleza moja ya maagizo ya Imani yao serikali ISIWAJALI.

Sukari ni bidhaa myhimu kwa matumizi wakati wa MFUNGO, tupendane kama taifa tuache kujadili vitu vidogovidogo katka taifa lenye TABU nyingi.

Mbona mishahara huwa inawahi kutoka kipindi cha CHRISTMASS ? jibu ni jepesi au mbona PASAKA ikiangukia karibu na mwisho wa mwezi mshahara unawahi kutoka? Majibu ni mepesi.

Kwann MAULID, AU IDD wakati wa sherehe zake mishahara huchelewa kutoka ? Majibu ni mepesi.

Tusilqzimishe kunusa harufu za udini WAKATI haipo.

Mm ni Mkatoliki .

Mtaguso wa 2 unatuaminisha kuwa popote pale Mwanadamu alipo na juhudi ya kumtafuta Mungu wa Kweli anayo nafasi ya kwenda Mbinguni.

Popote iwe Mkristo dhehebu lolote, iwe Muislamu Zidisha swala ishi kwa haki Pepo ni yako.
 
Japo MMM kaniblock uko X lakini katika ilo yupo sahihi,huyo Fatma ndio ana udini mkubwa sana
 
Back
Top Bottom