Fatma Karume amshauri Bashe kutotatua shida ya Sukari kipindi cha mfungo Ramadhani

kwa hiyo ndio atamke sukari itapatikana kwa wiki wakati wa ramadhani ? Kesharekebisha kauli yake hiyo!
 
Kwenye namba nne hatuja kuelewa MTANZANIA mwenzetu.
 
Haka kasimbe kana mtindio wa ubongo, kila uislam ukiguswa vyombo vyake vya uzazi vinaumuka!
 
Waislamu huwa wanajiona ni watu spesho hapa duniani kuliko wanadamu wote,Kumbe ni magaidi na wauaji wakubwa!
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
 
Bora angesema sukari itakuwepo kuanzia mwezi machi kuliko kutaja neno ramadhan, inaleta hisia za kidini kwamba wengine dini yao mambo yake yanathaminiwa na serikali huku dini zingine mambo yake yakipuuzwa
Misimu katika maisha lazima iwepo.
Na ndiyo maana tuna msimu wa krismas na mwaka mpya, msimu huu huwa unathiri nauli za mabasi na serikali inaingilia kati
Na msimu wa Ramadhani bei za vyakula nazo pia huathirika na serikali pia inaingilia kati.
Leo ukisema Ramadhani ni mwezi wa kiislam
Lakini hao hao waislam wanatambua kuwa mwezi marchi ni miezi ya wasiokuwa waislam. Tuangalie msimu uliombele yetu,
Misimu kazi yake ni kutofautishq nyakatii tu hayo mengine tuyaache
 
Bora angesema sukari itakuwepo kuanzia mwezi machi kuliko kutaja neno ramadhan, inaleta hisia za kidini kwamba wengine dini yao mambo yake yanathaminiwa na serikali huku dini zingine mambo yake yakipuuzwa
Sema mm naona ni upuuzi tu wa watu kupenda kudandia hoja na kukosoa,
Na kujifanya mpo sensitive sana na dini zenu, ya kutajwa tu Sukari itakuwa sawa ramadan ndio kelele zote hizi?

Ukiona unapiga kelele kisa ile kauli ya Bashe jipige kifuani useme mm boya sanaaa
 
Ana matatizo sio bure.
 
kesharekebisha kauli yake we bado unang'ang'ana na uislam wako
 
Ulongo.
 
Mzee mnafunga au mnabadilisha muda wa kula. Baada ya kula mchana sasa mnakula usiku kucha. Kuna ile daku ya saa 11:00 Alfajiri. 😀😃😄😁😆😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…