OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Vijana wa DSM wameshindwa kupiga huyu maza ili awe na utulivu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo nimedandia treni kwa mbele ila umeandika kwa hekima kidogo mkuu. Kongole kwako.Misu katika maisha lazima iwepo.
Na ndiyo maana tuna msimu wa krismas na mwaka mpya msii huu huwa unathiri nauli za mabasi na serikali inaingilia kati
Na msimu wa Ramadhani bei za vyakula nazo pia huathirika.
Leo ukisema Ramadhani ni mwezi wa kiislam
Lakini hao hao waislam wanatambua kuwa mwezi marchi ni miezi ya waiokuwa waislam. Tuangalie msimu uliombele yetu, hayo mengine tuyaache
ni ghali kumpataVijana wa DSM wameshindwa kupiga huyu maza ili awe na utulivu?
Mimi si muislamu...... natetea hoja kwa uhalisia wakeMzee mnafunga au mnabadilisha muda wa kula. Baada ya kula mchana sasa mnakula usiku kucha. Kuna ile daku ya saa 11:00 Alfajiri. 😀😃😄😁😆😅
Kwaresima hatufungi vyakula kma wenzetu.....Kwenye namba nne hatuja kuelewa MTANZANIA mwenzetu.
Huwaga mnafunga nini?Kwaresima hatufungi vyakula kma wenzetu.....
We unajua maana ya kufunga? Wale wanafunga au wanabadilisha Muda wa kula?Mimi si muislamu...... natetea hoja kwa uhalisia wake
Naomba nitofautiane na wewe kidogo. Ni ivi:
1. Ramadhani inaambatana na kula/vyakula. Ni sehemu ya Ibada kula vyakula vingi wakati wa Ramadhani.
2. Matumizi ya sukari ( na vyakula vingine) yanakuwa makubwa kwa vile inatumika sana kwenye uji, chai, na mapishi mengine yahusuyo mfungo.
3 Hivyo kuwahakikishai kuwa itakuwepo sukari si vibaya maana ni sehemu ya Ibada ya waislamu.
4. Kwaresima hawafungi vyakula kama Ramadhani, hivyo si hitaji muhimu Kwaresma.
kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza moyo wake. Mungu amsaidie. MUNGU LISAIDIE TAIFA HILI.Bora angesema sukari itakuwepo kuanzia mwezi machi kuliko kutaja neno ramadhan, inaleta hisia za kidini kwamba wengine dini yao mambo yake yanathaminiwa na serikali huku dini zingine mambo yake yakipuuzwa
Wasitafute umaarufu kupitia mwezi wetu wa ramadhani,sukari haina uhusiano wowote.na funga sukari iwepo isiwepo tutafunga tuKufuatia Sekeseke la udini baada ya Waziri wa kilimo Hussein Bashe kusema Kufikia Ramadhani sukari itakuwepo, Mwanasheria na mwanaharakati Fatma Karume amemshauri Bashe kutotatua uhaba wa sukari nchini.
Kauli hiyo ameitoa kwenye ukurasa wake wa "X",
"Ushauri wangu kwa Bashe: “Kifo cha wengi harusi!”.
Hakikisha hakuna SUKARI mwezi wa Ramadhan ili kuwe na HARUSI wa UHABA!
Nchi ina VIUMBE hii. No logic whatsoever." - Fatma Karume
View attachment 2913110
Fatma ameitoa kauli hiyo baada ya waumini wa Dini ya Kikristo kutofurahishwa na uwepo wa Sukari kipindi cha mfungo wa Ramadhani ilhali Kwaresma hakuna sukari inayotosheleza.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Ujinga mtu mtupu mfungo na sukari mbona avina mahusiano?Bora angesema sukari itakuwepo kuanzia mwezi machi kuliko kutaja neno ramadhan, inaleta hisia za kidini kwamba wengine dini yao mambo yake yanathaminiwa na serikali huku dini zingine mambo yake yakipuuzwa
Sema sema sema mama yetu masikio unatoa isia zako ziheshimiweWaislamu huwa wanajiona ni watu spesho hapa duniani kuliko wanadamu wote,Kumbe ni magaidi na wauaji wakubwa!
Sukari haina uhusiano na funga ya ramadhani hata bila sukari watu wenye imani yao watafunga tu sukari sukari ndio nini?kwani wasio funga awatumii sukari fahamu kwamba wasio funga ndio wanaotumia sukari sanaNaomba nitofautiane na wewe kidogo. Ni ivi:
1. Ramadhani inaambatana na kula/vyakula. Ni sehemu ya Ibada kula vyakula vingi wakati wa Ramadhani.
2. Matumizi ya sukari ( na vyakula vingine) yanakuwa makubwa kwa vile inatumika sana kwenye uji, chai, na mapishi mengine yahusuyo mfungo.
3 Hivyo kuwahakikishai kuwa itakuwepo sukari si vibaya maana ni sehemu ya Ibada ya waislamu.
4. Kwaresima hawafungi vyakula kama Ramadhani, hivyo si hitaji muhimu Kwaresma.
Vyakula vinapanda bei kipindi hiki maanake nn? Selikari itusaidieMzee mnafunga au mnabadilisha muda wa kula. Baada ya kula mchana sasa mnakula usiku kucha. Kuna ile daku ya saa 11:00 Alfajiri. 😀😃😄😁😆😅