Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

Nilisiki anafanya kaz kimataifa..ameondolewa hapa ataendelea huko ulaya..
 
Kumpiga Chura teke ni kumuongezea mwendo.

Mwenyezi Mungu msimamie Fatma ,Mlango mmoja ukifungwa mwingine uko wazi .
 
Tutamrudisha baada ya uchaguzi baada ya chadema kushika nchi
 

Tukianza kuulizana Asili zetu hatutofika wala hatutoweza kuthibitisha ,inawezekana Asili unayoijua kuwa ni ya kwenu ikawa ndivyo sivyo Mkuu.
 
Mnadanganywa. Hizo habari ni za uongo uongo.
 
Tukianza kuulizana Asili zetu hatutofika wala hatutoweza kuthibitisha ,inawezekana Asili unayoijua kuwa ni ya kwenu ikawa ndivyo sivyo Mkuu.
Tunaovyoenda tushafika huko, hata Raisi wanasema alitokea Burundi
 
Mungu wa mbinguni ponya hili Taifa maana linanuka uonevu.
 
Angekua na content asingefikia hapo....Ni kilaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…