Mkuu we we una akili timamu ?Mkuu, Fatma Karume anashadidiwa na vijana wale maarufu kama nyumbu. Hakuna mtu mwenye akili timamu (ukijumlisha na familia yake) anamchukulia kama mtu mwenye akili timamu. Jaribu kunong'ona na baadhi ya mawakili au majaji/mahakimu au watumishi wa mahakama kuhusu Fatma Karume na uwezo wake wa akili. Utakayoyasikia, utamhurumia!!!
Ila wewe ni STD 7Tweeter ni sehemu ya kupiga majungu tu shangazi naye anashabikiwa kwamba ana jambo la maana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si bure ana stress za ndoa na muda si mrefu tutaona anabalisha asili ya mavazi ya chini juu na juu chini na ya ndani nje na nje ndani...time factorNi kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:
Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1
Ujumbe wake mwingine ni huu:
Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU
Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:
Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Wewe ndio unajihisi upo sawa kichwani?
Shangazi got nothing special but what am aware of she is troublesome and she is the daughter of the former President of Zanzibar and the Late Mzee Karume (First President of Zanzibar) nothing else from her.
Hapana mkuu.Mkuu we we una akili timamu ?
Hata ukimletea mbongo mkate atasema ni jiweShangazi got nothing special but what am aware of she is troublesome and she is the daughter of the former President of Zanzibar and the Grand daughter of the Late Mzee Karume (First President of Zanzibar) nothing else from her.
Nakuhakikishia wewe ndie haupo sawa kichwani, kama unabisha nenda Muhimbili wapime IQ yako kama hujakutwa ipo sawa na ya kuku.
huyu dada namuonaga kama hana akili kiasi fulani nati zimelegea kichwani sasa anamwambia nani mashaili yake?Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:
Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1
Ujumbe wake mwingine ni huu:
Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU
Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:
Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Unapokwenda kusali kanisani au msikitini kunajipya gani unalolitegemea! Mbona kila siku ni yaleyale, usiandike kwa hisia za chuki.Hakuna jipya kwenye huo ujumbe! Kila binadamu ambaye sio kichaa anafahamu hayo aliyoyaandika!
Haya ni mambo ambayo yapo kutokana na mazingira ya kibinadamu!
Ni sawa na mtu aseme binadamu anapozaliwa lazima awe wa kike au wakiume halafu eti adai huo ni ujumbe ili kuielimisha jamii!
By the way, siku hizi umesusa kutuletea mabandiko ya Mange Kimambi? What happened?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna elimu ngeni duniani, duniani ila hujiruidia au kuboreshwaHakuna jipya kwenye huo ujumbe! Kila binadamu ambaye sio kichaa anafahamu hayo aliyoyaandika!
Haya ni mambo ambayo yapo kutokana na mazingira ya kibinadamu!
Ni sawa na mtu aseme binadamu anapozaliwa lazima awe wa kike au wakiume halafu eti adai huo ni ujumbe ili kuielimisha jamii!
By the way, siku hizi umesusa kutuletea mabandiko ya Mange Kimambi? What happened?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Splendid! Excellent! Quite Profound! Tume Huru hoyeee! Tulisema apewe Askofu Bagonza wa Bara, Makamo wake fatmakarume waVisiwani.Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:
Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1
Ujumbe wake mwingine ni huu:
Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU
Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:
Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.