Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

Mkuu, Fatma Karume anashadidiwa na vijana wale maarufu kama nyumbu. Hakuna mtu mwenye akili timamu (ukijumlisha na familia yake) anamchukulia kama mtu mwenye akili timamu. Jaribu kunong'ona na baadhi ya mawakili au majaji/mahakimu au watumishi wa mahakama kuhusu Fatma Karume na uwezo wake wa akili. Utakayoyasikia, utamhurumia!!!
Mkuu we we una akili timamu ?
 
Shabgazi aeleze tu kinachom motivate ili apatiwe bila hiana wala tashwishi
 
Kupitia sakata la uonevu anaotendewa Kabendera nimewatoa maana wanaharakati wote na kuwaona ni kundi la watu ambao ilimradi waonekane wanasema wapate misaada yao ya kifedha kutoka kwa wazungu kwenye NGO’s zao au bored and spoilt rich people with too much free time in their hands seeking attention kama huyu Fatma na mwenzake Kagasheki.

Tena hizo taasisi kama LHRC, sijui jukwaa la wahariri au ile ya sheria zifutwe tu because the’re not fit for purposes.

Walau Zitto yupo consistence anajitahidi sana kutoa moral support kwa wenzake wanapokumbana na misuko suko ya polisi na mahakama tena sometimes bila ya makelele utamuona tu mahakamani akienda kusikiliza kesi za wenzake.
 
Harakati za wabongo kwenye twitter tu kutishiana usomi na ujuaji tu hamna lolote kabisa
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Si bure ana stress za ndoa na muda si mrefu tutaona anabalisha asili ya mavazi ya chini juu na juu chini na ya ndani nje na nje ndani...time factor
 
Hii inaonyesha TISS wanamsumbua huyu mama....Fatma don't give in,lengo lao ni kuku frustrate wakumalize, ni tactic common..pigana mwaya
 
Shangazi got nothing special but what am aware of she is troublesome and she is the daughter of the former President of Zanzibar and the Late Mzee Karume (First President of Zanzibar) nothing else from her.

Yule ni Babu yake, Fatma ni Mtoto wa Amani Abeid Karume!
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
huyu dada namuonaga kama hana akili kiasi fulani nati zimelegea kichwani sasa anamwambia nani mashaili yake?
 
Hakuna jipya kwenye huo ujumbe! Kila binadamu ambaye sio kichaa anafahamu hayo aliyoyaandika!

Haya ni mambo ambayo yapo kutokana na mazingira ya kibinadamu!

Ni sawa na mtu aseme binadamu anapozaliwa lazima awe wa kike au wakiume halafu eti adai huo ni ujumbe ili kuielimisha jamii!

By the way, siku hizi umesusa kutuletea mabandiko ya Mange Kimambi? What happened?

Sent from my iPhone using JamiiForums
Unapokwenda kusali kanisani au msikitini kunajipya gani unalolitegemea! Mbona kila siku ni yaleyale, usiandike kwa hisia za chuki.
 
Yaani watu wameelezwa jinsi sheria za nchi zilivyo alafu kuna watu humu wanasema hana jipya, sijui blah blah. We have a long way to go....
 
Hakuna jipya kwenye huo ujumbe! Kila binadamu ambaye sio kichaa anafahamu hayo aliyoyaandika!

Haya ni mambo ambayo yapo kutokana na mazingira ya kibinadamu!

Ni sawa na mtu aseme binadamu anapozaliwa lazima awe wa kike au wakiume halafu eti adai huo ni ujumbe ili kuielimisha jamii!

By the way, siku hizi umesusa kutuletea mabandiko ya Mange Kimambi? What happened?

Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna elimu ngeni duniani, duniani ila hujiruidia au kuboreshwa
Chamsingi kukumbushana
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Splendid! Excellent! Quite Profound! Tume Huru hoyeee! Tulisema apewe Askofu Bagonza wa Bara, Makamo wake fatmakarume waVisiwani.
 
Back
Top Bottom