Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Mungu Mbariki Fatuma Karume
 
Shangazi got nothing special but what am aware of she is troublesome and she is the daughter of the former President of Zanzibar and the Late Mzee Karume (First President of Zanzibar) nothing else from her.
Fatuma hana cha kufanya, she just enjoying twittering ! Muacheni tu Sisi tunafanya kazi kusongesha taifa mbele katika kila nyanja! We cant be distracted by one or a handful of disgruntled, disingenuous and unthankful individuals. Kala maisha sana babake akiwa rais zanzibar.
 
ukitafakari yana mntiki sana,kuna wengine wanambeza tu
Watanzania vichwa vyepesi ndiyo maana wanaona maandishi kama hayo eti yana mantiki! Mantiki ya nini wakati ni mambo ya kawaida kabisa ambayo kila mtu anayajua. Hivi kwa mfano hujui kuwa kuna watu wanajiua? Kujiua ni kutokuogopa kufa? Kwa taarifa yako kujiua kunaweza kusitokane na kuogopa kufa bali kuchanganyikiwa!.
 
Fatuma hana cha kufanya, she just enjoying twittering ! Muacheni tu Sisi tunafanya kazi kusongesha taifa mbele katika kila nyanja! We cant be distracted by one or a handful of disgruntled, disingenuous and unthankful individuals. Kala maisha sana babake akiwa rais zanzibar.
Na hapo ndipo huwa ananiacha hoi. Baba yake alipokuwa rais kulikuwa na ukwiukwaji mwingi wa haki za binadamu lakini hakusema chochote. Leo ndiyo anajifanya kuwa msemaji wa wanyonge.
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Jifunze kusimamia jambo fulani. Wewe ni mtu ambaye ukisikia Shetani amesema CCM ni chama cha hovyo kesho utatoka na kumshabikia Shetani. Think!
 
Bigup Mh.F.Karume.Huwa msema kweli,ndiyo maana guilty are afraid of your talks. Salute.
Tusaidieni Watanzania wenzenu kwa kufungua mashauri ya kisheria mahakamani kuhusu madai ya Katiba ya Wananchi,Tume Huru ya Uchaguzi ili mtukomboe toka makucha ya mkoloni mweusi,katili na mtesi wa wananchi wenzake.

Tumieni elimu yenu na majukwaa ya kisheria ikiwezekana.Watu wetu wanaangamizwa kwa kunyimwa elimu halisi ya uraia na haki zao za msingi makusudi.

Naamini wapo watakaowaunga mkono.Tumechoka na hatutaki watuite wanyonge tena,hiyo siyo sifa Bali dhihaka.
Huyo cyo mheshimiwa tena leseni yake imefutwa. Huyo nimama wa nyumbani saivi.
 
...kwahiyo mnamuogopa baba yake sio ?!
#whereisMagoti#Azory#Bensaa8
....acheni kuwa-treat watanzania kimafungu you idiots
Fatuma hana cha kufanya, she just enjoying twittering ! Muacheni tu Sisi tunafanya kazi kusongesha taifa mbele katika kila nyanja! We cant be distracted by one or a handful of disgruntled, disingenuous and unthankful individuals. Kala maisha sana babake akiwa rais zanzibar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.

Huyu dada ana akili sana!

Halafu kuna makumamayo wanamfananisha na mambo ya baba yake huku wanasahau mambo ya baba yake ni baba yake ajitetee mwenyewe na yeye ni mtu binafsi asifananishwe na misimamo ya mtu mwingine who happens to be her father!

Shame on these motherfvckers!
 
Hakuna jipya kwenye huo ujumbe! Kila binadamu ambaye sio kichaa anafahamu hayo aliyoyaandika!

Haya ni mambo ambayo yapo kutokana na mazingira ya kibinadamu!

Ni sawa na mtu aseme binadamu anapozaliwa lazima awe wa kike au wakiume halafu eti adai huo ni ujumbe ili kuielimisha jamii!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa mbona kichaa wenu kule magogoni haya hayatambui?
 
Kwa hiyo ukitoka Loyal Family huwezi kuguswa sio...?
NGUMU KWA 7BU VIGOGO WENGI WA TISS WALIKULA SHAVU NA WENGINE KUPELEKWA VYUO MAALUM KWA KAZI MAALUM KWA NGUVU NA UPENDELEO WA BABA YAKO AKIWA IKULU HIVYO ROYAL FAMILY MEMBERS HUWA NI VERY MUCH RESPECTED NA WATU WA TISS KWANI KWA MIFUMO YETU RAIS NDIYE ANAEMILIKI TISS
 
Hakuna jipya kwenye huo ujumbe! Kila binadamu ambaye sio kichaa anafahamu hayo aliyoyaandika!

Haya ni mambo ambayo yapo kutokana na mazingira ya kibinadamu!

Ni sawa na mtu aseme binadamu anapozaliwa lazima awe wa kike au wakiume halafu eti adai huo ni ujumbe ili kuielimisha jamii!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Atakuwa wa kike au wa kiume vinginevyo atakuwa na jinsia mbili!
 
Mkuu, Fatma Karume anashadidiwa na vijana wale maarufu kama nyumbu. Hakuna mtu mwenye akili timamu (ukijumlisha na familia yake) anamchukulia kama mtu mwenye akili timamu. Jaribu kunong'ona na baadhi ya mawakili au majaji/mahakimu au watumishi wa mahakama kuhusu Fatma Karume na uwezo wake wa akili. Utakayoyasikia, utamhurumia!!!
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:

Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1

Ujumbe wake mwingine ni huu:

Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU

Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:

Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.

Yuko sahihi kwa namna yake
 
Back
Top Bottom