Fatma Karume atuma salamu kwa CHADEMA: "Nawasubiri na udini na ukabila wenu"

Fatma Karume atuma salamu kwa CHADEMA: "Nawasubiri na udini na ukabila wenu"

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Fatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

IMG_20220601_105436.jpg
 
Mkuu happyxxx , wapi kwenye hilo andiko la Fatma Karume alipoitaja CHADEMA? hebu punguzeni kuingiza u-vyama katika kila jambo au kauli. Bure kabisa wewe!
Inawezekana huo udini na uzanzibar ulianza kabla ya hiyo picha.

Sikuwahi kumsikia Fatma kabla mminyo, na sasa kabadili upepo baada ya mminyo kuisha!

Inaleta maana yoyote kwako au mpo mfereji mmoja?
 
Awamu hii akili nyingi inatumika kuvunja vunja makorokoro yote ya kashfa matusi na dharau kwa serikali ya CCM.
 
Huyo anamponda Magufuli na anaiponda CHADEMA. Ni kawaida yake.

Huyu mama anatia huruma saana. Ndio maana akiwatetea mashoga alisema eti mtu anaruhusiwa kuutumia mwili waka atakavyo. Kwake maadili au dini hazina nafasi. Halafu mtu unakuwa serious kusikiliza kiumbe kama Fatuma?
 
Back
Top Bottom