Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Anzisha uzi sasa kumpa nguvu shangazi, ila kwa uzi huu happyxxx kachemshaKwenye commene sehemu nimeona kaweka, simtetei na Wala simjui huyo Ila mm nimeziona huko twitter kwa fatma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anzisha uzi sasa kumpa nguvu shangazi, ila kwa uzi huu happyxxx kachemshaKwenye commene sehemu nimeona kaweka, simtetei na Wala simjui huyo Ila mm nimeziona huko twitter kwa fatma
Mnapenda Sana kuandika mambo ya chuki migogoro. Ccm vs CDMFatma Karume ametumia mtandao wa twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
CCM ni mataahira kabisaChadema ni wapumbavu sana!
Moja ya kitu anachojivunua Mbowe ni kuongoza watu wapumbavu
Hivi kuna ukabila zaidi ya ule uliooneshwa Na Serikali ya awamu ya Tano? Na ukanda juu.Udini na Ukabila
Wengine ni wanaccm na wanafanya hivyo kwa lengo ulilotajaMoja ya makosa makubwa Chadema wanafanya ni kuruhusu lila mtu kuwa Msemaji wa Chadema kwny Mitandao
Freeman Mbowe kishaliona hilo na kulikemea hadharani lakin hawasikii la muadhini wala la mnadi sala
inawezekana pia hii inafanywa na watu maalum kwa lengo maalum la kuibrabd Chadema kuwa chama cha wanaharakati wasio na muelekeo wala heshma ya uhuru kwa wengine
Mzee John ni mchochezi sana. Halafu watu aina hii ndiyo Wanataka wahesabike wenye busara kwenye jamii!!!!!! Mungu tusaidie....Wapi pametajwa Bavicha?. Mna roho ya ugomvi sana.
Rais Samia ana akili nyingi sana; mpaka kufika 2025 hakuna kundi hata moja litakalompinga na wala hatumii nguvu, anatumia akili.
Mungu ametubariki watanzania kwa kutuletea Rais anayeipenda Tanzania kwa moyo wake wote
Hivi ni rais gani ambaye hakuwahi kusemwa vibaya? JPM huyu huyu si hadi leo ni marehemu lakini mnamsema kwa mabaya mpaka sasa? Mkisemwa ninyi mnakimbilia udini eti mnaonewa, usitake watu waseme huenda mnawapoteza ninyi ili mkae mkilamba sukari, nani kajitambulisha kuwa ni mkatoliki na ndo kinara kuwashambulia waislamu kama siyo uchonganishi. Enzi za JPM waliongea watanzania na sasa wanaongea watanzania acha kuharibu dini za watu.Narudia tena hii kauli yangu...
Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..
Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?
Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
Kusema na chokochoko ni vitu viwili tofautiHivi ni rais gani ambaye hakuwahi kusemwa vibaya? JPM huyu huyu si hadi leo ni marehemu lakini mnamsema kwa mabaya mpaka sasa? Mkisemwa ninyi mnakimbilia udini eti mnaonewa, usitake watu waseme huenda mnawapoteza ninyi ili mkae mkilamba sukari, nani kajitambulisha kuwa ni mkatoliki na ndo kinara kuwashambulia waislamu kama siyo uchonganishi. Enzi za JPM waliongea watanzania na sasa wanaongea watanzania acha kuharibu dini za watu.
Huu msemo nakumbuka aliupenda sana marehehemu Che nkapaBavicha karibuni kwa mjadala
Hahaha......eti kunya anye kuku!
.
Katka andiko lake ni wapi kataja chadema?Kuwa nyumbu ni mzigo mkubwa sana, Dj anawageuza kama chapati lakini hawasikii wala hawaambiliki
Peleka upuuzi wako huko..hatuna huo mudaBavicha karibuni kwa mjadala
Hahaha......eti kunya anye kuku!
.
Fatma atueleze kwanza hali ya Zanzibar na hasa wakati wa utawala wa babu yake. Mtu aliyesifika hata kwa ngono zembe.Fatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
Anawasubiri na mimatusi yenuPeleka upuuzi wako huko..hatuna huo muda
Shangazi kama US hana rafiki wa kudumuFatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
Kuna sehemu ameandika CHADEMA?Fatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
Kama taarifa wanaletaa Jo na Akina Kiturilo kukosa uchonganishi na uzushi ni kawaida saana.Bavicha karibuni kwa mjadala
Hahaha......eti kunya anye kuku!
.