Fatma Karume atuma salamu kwa CHADEMA: "Nawasubiri na udini na ukabila wenu"

Fatma Karume atuma salamu kwa CHADEMA: "Nawasubiri na udini na ukabila wenu"

Fatma Karume ametumia mtandao wa twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

View attachment 2246863
Mnapenda Sana kuandika mambo ya chuki migogoro. Ccm vs CDM

Hayo mambo alikuf nayo magufuli ,
Ccm waojitambua hawataki hizo siasa za chuki
 
Rais Samia ana akili nyingi sana; mpaka kufika 2025 hakuna kundi hata moja litakalompinga na wala hatumii nguvu, anatumia akili.

Mungu ametubariki watanzania kwa kutuletea Rais anayeipenda Tanzania kwa moyo wake wote
 
Moja ya makosa makubwa Chadema wanafanya ni kuruhusu lila mtu kuwa Msemaji wa Chadema kwny Mitandao

Freeman Mbowe kishaliona hilo na kulikemea hadharani lakin hawasikii la muadhini wala la mnadi sala

inawezekana pia hii inafanywa na watu maalum kwa lengo maalum la kuibrabd Chadema kuwa chama cha wanaharakati wasio na muelekeo wala heshma ya uhuru kwa wengine
Wengine ni wanaccm na wanafanya hivyo kwa lengo ulilotaja
 
Wapi pametajwa Bavicha?. Mna roho ya ugomvi sana.
Mzee John ni mchochezi sana. Halafu watu aina hii ndiyo Wanataka wahesabike wenye busara kwenye jamii!!!!!! Mungu tusaidie....
 
Comrade Abdulrahman Omar Kinana ana shahada ya Masuala ya Siasa na Propaganda toka chuo bora zaid Duniani Chenye uzoefu wa zaid ya miaka 500 …Havard

pia ana uzoefu wa miaka zaid ya 45 kwny Siasa za nchi hii
tangu 1977 yupo kwny Siasa kwa nafasi za utendaji

1978 aliingia kwny Kamati kuu ya UV CCM na tangu hapo hajatoka kwmy siasa isipokuwa kwa miaka miwili tu alipokosana na JPM

Rais Samia ana akili nyingi sana; mpaka kufika 2025 hakuna kundi hata moja litakalompinga na wala hatumii nguvu, anatumia akili.

Mungu ametubariki watanzania kwa kutuletea Rais anayeipenda Tanzania kwa moyo wake wote
 
Narudia tena hii kauli yangu...

Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..

Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?

Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
Hivi ni rais gani ambaye hakuwahi kusemwa vibaya? JPM huyu huyu si hadi leo ni marehemu lakini mnamsema kwa mabaya mpaka sasa? Mkisemwa ninyi mnakimbilia udini eti mnaonewa, usitake watu waseme huenda mnawapoteza ninyi ili mkae mkilamba sukari, nani kajitambulisha kuwa ni mkatoliki na ndo kinara kuwashambulia waislamu kama siyo uchonganishi. Enzi za JPM waliongea watanzania na sasa wanaongea watanzania acha kuharibu dini za watu.
 
Hivi ni rais gani ambaye hakuwahi kusemwa vibaya? JPM huyu huyu si hadi leo ni marehemu lakini mnamsema kwa mabaya mpaka sasa? Mkisemwa ninyi mnakimbilia udini eti mnaonewa, usitake watu waseme huenda mnawapoteza ninyi ili mkae mkilamba sukari, nani kajitambulisha kuwa ni mkatoliki na ndo kinara kuwashambulia waislamu kama siyo uchonganishi. Enzi za JPM waliongea watanzania na sasa wanaongea watanzania acha kuharibu dini za watu.
Kusema na chokochoko ni vitu viwili tofauti
 
Ila tuseme ukweli, Fatma Karume, ana lugha chafu mno, mchafu sana huyu wa tabia, hana uanawake wa utanzania ndani yake, she is not attractive kwa kila kitu. Huyu ni kinyonga, hata sisi CCM sio mtu wa kukaa nae chamani kabisa huyu, unpredictable and untrusted..!! Ukiwapa madaraka watu type hii, expect unexpected atakachofanya.
 
Fatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

View attachment 2246863
Fatma atueleze kwanza hali ya Zanzibar na hasa wakati wa utawala wa babu yake. Mtu aliyesifika hata kwa ngono zembe.
 
Fatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

View attachment 2246863
Shangazi kama US hana rafiki wa kudumu
 
Fatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

View attachment 2246863
Kuna sehemu ameandika CHADEMA?
 
Back
Top Bottom