Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 675
Anatafuta kiki kupitia chadema ili apate uteuzi. Mpuuzeni.
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado natafuta shangazi alipotaja CHADEMA, sijaona ila nahisi we happyxxx una chuki na CHADEMA,Fatma Karume ametumia mtandao wa twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
Udini na UkabilaBado natafuta shangazi alipotaja CHADEMA, sijaona ila nahisi we happyxxx una chuki na CHADEMA,
Narudia tena hii kauli yangu...Fatma Karume ametumia mtandao wa twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
Kumbe huu uchawa wako kwa Samia ni sababu ya uislamu wako tu?Narudia tena hii kauli yangu...
Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..
Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?
Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
Labda kwa CUF na ACT + CCM, hivyo vyama vinafiti hapo, ongeza na Umoja party, CDM haipo.Udini na Ukabila
Harafu sio Muislam kwa taarifa yako,navyoongea humu jukwaani huwa naongea na kwenye vijiwe vyetu kama kawaida.Kumbe huu uchawa wako kwa Samia ni sababu ya uislamu wako tu?
Mbona utawala uliopita mapadre ndio walikua mstari wa mbele kutoa waraka na matamko kila leo?Narudia tena hii kauli yangu...
Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..
Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?
Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
Sio kweli, shangazi amesema wazi huyo amekuja na tweet moja. Ila zingine zinaweka waziBado natafuta shangazi alipotaja CHADEMA, sijaona ila nahisi we happyxxx una chuki na CHADEMA, punguza nyege.
Hata Mkapa aliwahi kuropoka akidai watanzania (wakiwemo wana ccm wenzie) ni wapumbavu na malofa.Chadema ni wapumbavu sana!
Moja ya kitu anachojivunua Mbowe ni kuongoza watu wapumbavu
Kamati kuu ya Chadema ni kama Jumuiya ya Mt CeciliaLabda kwa CUF na ACT + CCM, hivyo vyama vinafiti hapo, ongeza na Umoja party, CDM haipo.
Hizo zingine kwa nn hajaziweka kwa huu uzi?Sio kweli, shangazi amesema wazi huyo amekuja na tweet moja. Ila zingine zinaweka wazi
Kamati kuu ya CCM ni kama jumuiya ya Msata kilingeniKamati kuu ya Chadema ni kama Jumuiya ya Mt Cecilia
Kwenye commene sehemu nimeona kaweka, simtetei na Wala simjui huyo Ila mm nimeziona huko twitter kwa fatmaHizo zingine kwa nn hajaziweka kwa huu uzi?
Acha kumtetea mkosaji.
Huyu mama anatia huruma saana. Ndio maana akiwatetea mashoga alisema eti mtu anaruhusiwa kuutumia mwili waka atakavyo. Kwake maadili au dini hazina nafasi. Halafu mtu unakuwa serious kusikiliza kiumbe kama Fatuma?