Fatma Karume atuma salamu kwa CHADEMA: "Nawasubiri na udini na ukabila wenu"

Fatma Karume atuma salamu kwa CHADEMA: "Nawasubiri na udini na ukabila wenu"

Fatma Karume ametumia mtandao wa twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

View attachment 2246863
Bado natafuta shangazi alipotaja CHADEMA, sijaona ila nahisi we happyxxx una chuki na CHADEMA,
 
Fatma Karume ametumia mtandao wa twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.

Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.

Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.

View attachment 2246863
Narudia tena hii kauli yangu...

Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..

Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?

Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
 
Narudia tena hii kauli yangu...

Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..

Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?

Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
Kumbe huu uchawa wako kwa Samia ni sababu ya uislamu wako tu?
 
Narudia tena hii kauli yangu...

Mara nyingi Kiongozi wa Nchi akiwa Muislam huwa wakatoliki wanaleta Sana chokochoko..

Mimi sio Muislam ila hii trend nimeiona Sana ,Wakristo hasa Katoliki mna matatizo gani nyie?

Matokeo ya roho mbaya za choyo na ukatili za Wakristo waliowahi kuwa MaRais wote wamelala.
Mbona utawala uliopita mapadre ndio walikua mstari wa mbele kutoa waraka na matamko kila leo?

Munga, bagonza, TEC, niwemungizi n.k walikua wakiusema Sana utawala uliopita? Au tumeshasahau?

Kama pia wanaona cha kusema sasa ni haki yao pia
 
Moja ya makosa makubwa Chadema wanafanya ni kuruhusu lila mtu kuwa Msemaji wa Chadema kwny Mitandao

Freeman Mbowe kishaliona hilo na kulikemea hadharani lakin hawasikii la muadhini wala la mnadi sala

inawezekana pia hii inafanywa na watu maalum kwa lengo maalum la kuibrabd Chadema kuwa chama cha wanaharakati wasio na muelekeo wala heshma ya uhuru kwa wengine
 
Naona washaanza kushikana wenyewe kwa wenyewe.

Zamani wenyewe walikuwa wamempa jina "shangazi wa taifa........." .
 
Wanakuja BAVICHA kutema nyongo

images - 2022-05-25T234924.151.jpeg
 
anajua usiyoyajua

Nyuma ya Pazia wanaongea na Senior Officers, Mawaziri, Makatibu wakuu, Maafisa Usalama n.k na mambo yao binafsi yameanza kufunguka hasa baada ya Kinana kupewa Umakamu wa Mwenyekiti

wakija nje wanajifanya wako very strict na maigizo mawili matatu sijui kufukuza covid 19 halafu jion wanaenda kwny Concert na wale wanaokwamisha maazimio yao ya Chama

amkeni kataa unyumbu na wewe shirikiana na yeyote unaeona ana maslahi kwako na ukija kwny mitandao igiza kama wao wanavyoigiza


wenzio wanaingia ndani wanazunguka kibuyu cha asali wanalamba wakimaliza wanatoka nje wanakuimbisha Katiba mpya


Huyu mama anatia huruma saana. Ndio maana akiwatetea mashoga alisema eti mtu anaruhusiwa kuutumia mwili waka atakavyo. Kwake maadili au dini hazina nafasi. Halafu mtu unakuwa serious kusikiliza kiumbe kama Fatuma?
 
Back
Top Bottom