jinsi Fatma anazungumza English kwa ile accent and choice of vocabularies huwezi kumtofautisha na wenye lugha yao.hii ina maana Fatma kwa nje ni mbongo ila ndani ni mzungu kabisa na ikimaanisha mila zote za kizungu km ushoga, uhuru wa kutoa maoni binafsi, uchaguzi huru na wa haki, kutumia logic sio kuropokaropoka nk ni sehemu ya akili yake .
nina uhakika Fatma ukipewa moyo wake uangalie utashangaa sana kuona jinsi anawadharau watu wajinga na maskini because she has inside a mzungu culture and mindset
Fatma is smart and confused by living in the wrong world! Fatma anatamani sote bongo tuwe na akili na maisha kama wazungu kama yeye, anatamani tumuelewe ila we don't have that capacity coz watu wengi anaobishana nao darasa la saba au wenye digrii za kukariri !!