hahahaaa patamu hapo!!!!!!!!Bavicha karibuni kwa mjadala
Bavicha karibuni kwa mjadala
Hata mi sioni hapoMkuu happyxxx , wapi kwenye hilo andiko la Fatma Karume alipoitaja CHADEMA? hebu punguzeni kuingiza u-vyama katika kila jambo au kauli. Bure kabisa wewe!
Kuwa nyumbu ni mzigo mkubwa sana, Dj anawageuza kama chapati lakini hawasikii wala hawaambiliki
Bavicha karibuni na matusi yenu.
Udini na UkabilaWapi pametajwa Bavicha?. Mna roho ya ugomvi sana.
Inawezekana huo udini na uzanzibar ulianza kabla ya hiyo picha.Mkuu happyxxx , wapi kwenye hilo andiko la Fatma Karume alipoitaja CHADEMA? hebu punguzeni kuingiza u-vyama katika kila jambo au kauli. Bure kabisa wewe!
Asipokuelewa atakuwa mbwiga
[emoji38][emoji38][emoji38]DJ aka Miwani Makengeza bin Mmbowe bwana ya Joyce
Huyo anamponda Magufuli na anaiponda CHADEMA. Ni kawaida yake.