Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni nani alitwambia Tuna bunge kibogoyoNi kweli kabisa ila kama rais angekuwa ni mbara post yake ingemlaumu pia raism huyo. Sheria za TAnzania zinatumika vibaya sana na mahakama zimekuwa kama kibogoyo zinakosa maamuzi
Wewe ni Mtu wa Matusi Matusi halafu unatumia jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtandaoniNilikuwa nyuma yako nakukula.
Watu hawataelewa.sure gentleman,
laana ya usaliti wa kanisa, laana ya usaliti wa ndoa takatifu, laana ya kupora wake za watu, laana ya usaliti wa kisiasa,
ndio maana hicho kizee kinafedheheka na hakuna mwenye habari nae ispokua wanafiki wachache tu 🐒
Ukiuliza upuuzi nitakujibu kipuuzi. Siku nyingine jifunze kuuliza kwa busara. Pia acha kumlilia max.. sio baba yako huyo.Wewe ni Mtu wa Matusi Matusi halafu unatumia jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtandaoni
Max tusaidie kudhibiti Matumizi ya majina ya Viongozi kiholela tafadhali, huyu hamtendei Haki Rais Samia
Jumaa Mubarak
Unadhani umejificha 🤣Ukiuliza upuuzi nitakujibu kipuuzi. Siku nyingine jifunze kuuliza kwa busara. Pia acha kumlilia max.. sio baba yako huyo.
We mzee acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo.Unadhani umejificha 🤣
si unaona laana invyomtesa na kumfedhehesha huyo mbabu Lakini gentleman?Babu yako huyo unasema analaana!
Hiyo laana utabeba wewe
Akifa siku yake imefikaMjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana
Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi
Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X
View attachment 3227175
Mlale Unono 🐼
Yes Sure X 100.....Wewe unamhukumu Dr. Slaa? Unaona unavyokosa utashi? Kinana kafanya mangapi mabaya mbona hujamsema? Kauza Tembo na Ushahidi upo, Mwanae na Mama yake ambao walitelekezwa walishaandika hadi stori humu. Akina Makamba etc etc. Usimhukumu zambi zake Katika maisha yake. Hayo ya upadiri wake hayakuhusu. Je amesaliti nini Nchi kama alivyosaliti Bi Ushungi kuuza Bandari? Kuuza ardhi kwa wageni? Kuteka watu? Hivi ndiyo vinatuhusu mimi na wewe. Bwana Slaa na Watoto wake na upadri wake ni vyake na Mungu wake.
Taarifa ngumuDkt slaa si anapigwa home na mke wake??
Acha apumzike sero kidogo