Tumia akili basiMwambieni kuwa baba yake aliingia madarakani 2000 kwa kumwaga damu nyingi akisaidiwa na Mkapa, kipindi hicho hakuona aibu kuwa mzanzibari? Au kwa vile baba ndio alikuwa anaitaka hiyo nafasi.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili basiMwambieni kuwa baba yake aliingia madarakani 2000 kwa kumwaga damu nyingi akisaidiwa na Mkapa, kipindi hicho hakuona aibu kuwa mzanzibari? Au kwa vile baba ndio alikuwa anaitaka hiyo nafasi.!
Kumbuka kuna marais Karume wawili waliowahi kutawala Zanzibar.Kwani baba yake Mzee Karume alikuwa ni Mkenya? Ukatili na udhalimu mkubwa umefanywa na Baba yake alipokuwa Rais wa Zanzibar. Asijitoe akili kuwa Wazanzibar hawawezi kuwa Waovu.
Karume BabaKumbuka kuna marais Karume wawili waliowahi kutawala Zanzibar.
Sasa wewe umemlenga yupi?
Kama unamuongelea yule wa kwanza ni sawa, lakini kama ni huyu wa mwisho, mi naona ana ustaarabu flani, alileta maridhiano na Maalim Sefu akawa makamu wa rais!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa tofauti yao ya umri nadhani rais Karume alimzaa Fatuma akiwa shule ya msingi!Karume Baba
Nadhani kuna kitu hakiko sawa. Huyu Fatma, kwa Abeid ni mjukuuu.Kwa tofauti yao ya umri nadhani rais Karume alimzaa Fatuma akiwa shule ya msingi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah councilMimi niliona aibu kwa mara ya kwanza kuwa mwanasheria siku shangazi alipoenda kuargue mahakamani kwa kutumia sheria iliyokuwa imeshafutwa. Yaani sitasahau maishani mwangu [emoji25][emoji25]
Mi si mtetezi wa CCM ila ni mwananchi nijuaye kutofautisha kati ya ujinga na ukweliSidhani kama umeelewa ulichoandika. Haahahh eti wew ndiye mtetez wa ccm, kweli ccm ina mapopoma mengi
Tatizo lenu hamjitambui tuMama amevunja rekodi ya kulewa madaraka ndani ya muda mfupi.
Kwahiyo kama babu yake alifanya uovu pia baba ake alifanya unyama na yeye aendelee kusapoti uovu?Fatuma nae ni mnafiki tu...
Babu yake, alikuwa dikteta tu!!
Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!
Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!
Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.
So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!
Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Kabla ya kuhoji ikiwa nafikiri kweli kabla ya kuandika ulitakiwa ujiulize wewe kwanza ikiwa una uwezo wa kusoma na kuelewa kilichoandikwa kabla ya ku-comment!Kwahiyo kama babu yake alifanya uovu pia baba ake alifanya unyama na yeye aendelee kusapoti uovu?
Hivi huwa unafikir kweli kabla ya kuandika???