Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walijua SSH ni rahisi👍
2+2=4
Mh.Mbowe anataka iwe 5 🤣
Atakuwa anasubiria kipindi cha kampeni 2025Hakuna ms.enge yeyote wa Chadema atakayekwenda kumkomboa Mbowe, watabaki wanahaha tu mitandaoni kwani wanajuwa wakifanya kinyume na hapo nao wanakwenda kuolewa jela na kunyea ndoo. Sitoshangaa kwa wanaharakati wa Tanzania kuanza kumkashifu Mbowe kwa sababu wanajuwa anakwenda kuolewa jela, tuna wanaharakati wapuuzi sana hapa nchini kwetu. Jana eti Lissu anawaamasisha wananchi wa Mwanza waingie mtaani kuandamana kudai katiba wakati yeye yuko Ulaya anabinywa pumbu na wazungu, kama siyo usenge huu ni nini? Kama kweli yeye ni mwanamme haswa, kwanini asirudi hapa Tanzania kuja kuandamana na wananchi wa Mwanza?
Mimi kwa mara ya kwanza nimeelewa kwanini shetani (nyoka) alimtumia Hawa kumdanganya Adam.
Maana hutaipata nakwambia! Labda kama fasiri yako iwe ile la military target to attack - lengo huwa na weak or strong points?Mimi kwa mara ya kwanza nimeelewa kwanini shetani (nyoka) alimtumia Hawa kumdanganya Adam.
Hivi Mzee Abeid Karume ni baba yake au babu yake?Kwani babu yake Mzee Karume alikuwa ni Mkenya? Ukatili na udhalimu mkubwa umefanywa na Babu yake alipokuwa Rais wa Zanzibar. Asijitoe akili kuwa Wazanzibar hawawezi kuwa Waovu.
Nimekosea, uko sahihi ni baba yake.Hivi Mzee Abeid Karume ni baba yake au babu yake?
Ninavyo fahamu ni baba yake mzazi, yule wa 2000, Amani Karume (Ahmada) ni Kaka yake
Mbunge Rorya miaka nenda rudi aliyeshindwa hata kuleta Barabara urefu wa kiatu chake... ,,,,, MWISHO WA SIKU BILA UNAFKI MAISHA HAYAENDI...Fatma ni ndumilakuwili tu....huyu baba yake alipokuwa rais walijilimbikizia ardhi nyingi sana pale Zanzibar na kunyang'anya wananchi hizo ardhi, aje hapa akanushe hili. Kwa kuwa walikuwa wananyang'anya wananchi ardhi kwa ubabe na uwongo yeye aliona fahari kujiita Mzanzibari. Tatizo la hawa wanaharakati wetu ni kwamba wanajisahau sana, Maria Sarungi anabwabwaja hovyo wakati baba yake alipokuwa waziri hapa nchini alifanya nini cha maana, aje hapa Maria atueleze mafanikio ya baba yake serikalini.
[emoji38]1st bornKawape kuku!!
Hivi kwa akili yako hiyo hiyo ndogo unadhani kuna kesi ya kweli hapo? Ni ccm imeona imebanwa mbavu kuhusu katiba mpya wakaona ngoja washushe joto kidogo nakwambia soon wanamwachia kwasababu mashtaka yote ni ya kusingizia tu kila mtu anajua isipokuwa wewe.
Mungu keshatenda kwa baba mdogo wa mwamba tuvushe huko.MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
sikuwahi kumuaminiMama amevunja rekodi ya kulewa madaraka ndani ya muda mfupi.
Aisee!Mimi kwa mara ya kwanza nimeelewa kwanini shetani (nyoka) alimtumia Hawa kumdanganya Adam.
So she was proud wakati familia yake inapeta sio?
#HeIsNotATerroristMama Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania achaneni na huo ubaguzi wa kutuletea u-zanzibar na u-bara
Tatizo lenu mlijua yeye ni rahisi kwenu sasa mnachanganyikiwa kugundua sio rahisi ila ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Mungu akutunze mama yetu, tunakuamini 100[emoji123][emoji120]
Kalewaje madarakaMama amevunja rekodi ya kulewa madaraka ndani ya muda mfupi.