Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Siku ambapo watanzania wote watakuwa na mawazo sawa ndio siku ambapo tutajua kweli wote ni mazezeta.Hivi watanzania tuna ufinyu gani wa mawazo mpaka watu wanakuja hapa na kuanza kumuamini huyu mdada na wanaharakati wenzake wasio na faida na taifa letu?
Amandla...