Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Muda sio mrefu utasikia wamemwachia kwasababu hawana ushahidi hata kidogo wa kiongozi wa serikali aliyeuawa na Mbowe.Mtaimba kila wimbo ila gaidi ni gaidi tu
USSR
Tangu lini polisi wa Tz wakashinda kesi? Hapo ni wanavuta vuta muda tu joto la katiba mpya lishuke kidogo wamwachie.