Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha siasa za Tanzania bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Ni muungano kwanini Kuna nchi ndani ya muungano inaitwa Zanzibar?Mama Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania achaneni na huo ubaguzi wa kutuletea u-zanzibar na u-bara
Tatizo lenu mlijua yeye ni rahisi kwenu sasa mnachanganyikiwa kugundua sio rahisi ila ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Mungu akutunze mama yetu, tunakuamini 100[emoji123][emoji120]
Pumbavu nyie mnaua vionhozu wetu alafu mnakuja kusingizia kuwa ni mungu ndo kafanya hivyo jinga kabisa nyie.MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
Zanzibar ni nchi yake sasa kumwita mzanzibar ni ubaguz kivip?Mama Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania achaneni na huo ubaguzi wa kutuletea u-zanzibar na u-bara
Tatizo lenu mlijua yeye ni rahisi kwenu sasa mnachanganyikiwa kugundua sio rahisi ila ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Mungu akutunze mama yetu, tunakuamini 100💪🙏
Rudi kwenye maada mkuuKama Ni muungano kwanini Kuna nchi ndani ya muungano inaitwa Zanzibar?
Mijitu inayojifanya haijui siasa takataka za Bongo napata tabu Sana kuwaelewa..kwa Nini hawakumkamata kabla ya kongamano la KATIBAMna genge lenu la ugaidi kuua viongozi, imejulikana na mtanyooshwa.
Zanzibar ni nchi yake sasa kumwita mzanzibar ni ubaguz kivip?
Asitumie polisi kujibu hoja za kisiasa nawao waandae makongamano ya hatuhitaji katiba!! Kutesa na kubambika watu kesi sio na haitokuwa jibu sahihi zaidi ya kuleta migogoro ya kisiasa isiyo na tija.
Kwhyo ww unazani sirro anajifanyia tu mambo yake bila huyo so called mama yenu kujua?amka mzee,THIS IS AFRICATatizo polisi wakiamua kufanya kitu hana uwezo wa kuwazuia, mama anatakiwa aweke IGP wake.
PumbaFatuma nae ni mnafiki tu...
Babu yake, alikuwa dikteta tu!!
Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!
Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!
Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.
So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!
Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Mkuu huwezi kumshutumu Fatma kwa makosa yaliyofanywa na baba yake. Hebu tumia akili basi.Fatuma nae ni mnafiki tu...
Babu yake, alikuwa dikteta tu!!
Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!
Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!
Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.
So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!
Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Sasa anaona aibu ya nini kisa Samia Mzanzibari?.Mkuu huwezi kumshutumu Fatma kwa makosa yaliyofanywa na baba yake. Hebu tumia akili basi.
Yes na kikubwa zaidi ni mwanamke.Sasa anaona aibu ya nini kisa Samia Mzanzibari?.
Ya Babake hakushangaa anakuja shangaa ya SSH?.Yes na kikubwa zaidi ni mwanamke.
NatamaniFatma ni ndumilakuwili tu....huyu baba yake alipokuwa rais walijilimbikizia ardhi nyingi sana pale Zanzibar na kunyang'anya wananchi hizo ardhi, aje hapa akanushe hili. Kwa kuwa walikuwa wananyang'anya wananchi ardhi kwa ubabe na uwongo yeye aliona fahari kujiita Mzanzibari. Tatizo la hawa wanaharakati wetu ni kwamba wanajisahau sana, Maria Sarungi anabwabwaja hovyo wakati baba yake alipokuwa waziri hapa nchini alifanya nini cha maana, aje hapa Maria atueleze mafanikio ya baba yake serikalini.