Fatma Karume: Kwa mara ya kwanza naona aibu kuwa Mzanzibari

Fatma Karume: Kwa mara ya kwanza naona aibu kuwa Mzanzibari

Mama Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania achaneni na huo ubaguzi wa kutuletea u-zanzibar na u-bara

Tatizo lenu mlijua yeye ni rahisi kwenu sasa mnachanganyikiwa kugundua sio rahisi ila ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

Mungu akutunze mama yetu, tunakuamini 100[emoji123][emoji120]
Kama Ni muungano kwanini Kuna nchi ndani ya muungano inaitwa Zanzibar?
 
Mama Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania achaneni na huo ubaguzi wa kutuletea u-zanzibar na u-bara

Tatizo lenu mlijua yeye ni rahisi kwenu sasa mnachanganyikiwa kugundua sio rahisi ila ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

Mungu akutunze mama yetu, tunakuamini 100💪🙏
Zanzibar ni nchi yake sasa kumwita mzanzibar ni ubaguz kivip?
Asitumie polisi kujibu hoja za kisiasa nawao waandae makongamano ya hatuhitaji katiba!! Kutesa na kubambika watu kesi sio na haitokuwa jibu sahihi zaidi ya kuleta migogoro ya kisiasa isiyo na tija.
 
Zanzibar ni nchi yake sasa kumwita mzanzibar ni ubaguz kivip?
Asitumie polisi kujibu hoja za kisiasa nawao waandae makongamano ya hatuhitaji katiba!! Kutesa na kubambika watu kesi sio na haitokuwa jibu sahihi zaidi ya kuleta migogoro ya kisiasa isiyo na tija.

Una haki ya kuongea uwezavyo ila Rais halazimiki kutekeleza unachoongea
Happy Friday 💥
 
Fatuma nae ni mnafiki tu...

Babu yake, alikuwa dikteta tu!!

Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!

Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!

Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.

So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!

Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Pumba
 
Fatuma acha unafiki. Haukuona aibu kipindi watu zaidi ya 20 walivyouliwa 2001 ili tu baba yako awe Rais? What a shame!!!
 
Fatuma nae ni mnafiki tu...

Babu yake, alikuwa dikteta tu!!

Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!

Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!

Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.

So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!

Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Mkuu huwezi kumshutumu Fatma kwa makosa yaliyofanywa na baba yake. Hebu tumia akili basi.
 
Fatma ni ndumilakuwili tu....huyu baba yake alipokuwa rais walijilimbikizia ardhi nyingi sana pale Zanzibar na kunyang'anya wananchi hizo ardhi, aje hapa akanushe hili. Kwa kuwa walikuwa wananyang'anya wananchi ardhi kwa ubabe na uwongo yeye aliona fahari kujiita Mzanzibari. Tatizo la hawa wanaharakati wetu ni kwamba wanajisahau sana, Maria Sarungi anabwabwaja hovyo wakati baba yake alipokuwa waziri hapa nchini alifanya nini cha maana, aje hapa Maria atueleze mafanikio ya baba yake serikalini.
 
Fatma ni ndumilakuwili tu....huyu baba yake alipokuwa rais walijilimbikizia ardhi nyingi sana pale Zanzibar na kunyang'anya wananchi hizo ardhi, aje hapa akanushe hili. Kwa kuwa walikuwa wananyang'anya wananchi ardhi kwa ubabe na uwongo yeye aliona fahari kujiita Mzanzibari. Tatizo la hawa wanaharakati wetu ni kwamba wanajisahau sana, Maria Sarungi anabwabwaja hovyo wakati baba yake alipokuwa waziri hapa nchini alifanya nini cha maana, aje hapa Maria atueleze mafanikio ya baba yake serikalini.
Natamani
Fatma na Maria wateuliwa nyadhifa fulani ili tuone maajabu yao kwenye utendaji
 
Back
Top Bottom