Fatma Karume na Deni lake kwa Musiba itakuaje?, Ukiona mwenzio ananyolewa....

Fatma Karume na Deni lake kwa Musiba itakuaje?, Ukiona mwenzio ananyolewa....

Musiba alipewa nafasi ya kuomba radhi na kukanusha tuhuma alizoshushia watu aligoma - so, ni zamu yake kuonja machungu ya mahakama
 
Akikazia tu hukumu na yeye,"niagieni niagieni".

Watakaopeleka pua kwenye huo mnada nao wembe ni uleule.
Ingekuwa hivyo mawakili, ĥakimu nk wasingefanya kazi zao mpaka mwisho.
 
Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?

Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....

Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?

Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.

Ukiona mwenzio ananyolewa....
Acha kumtuisha dada yetu ,acha adai chake, alipwe , suala la Memberni coincidence tuu , tusubiiri wazee watako kabidhiwa mwili tuone wata tuonyesha hili jambo llikuaje .
 
Asilimia kubwa ya sisi watanzania ni wajinga.
Na huu ujinga umechagizwa na umaskini wetu.
Na pengine ni kutokana na utapia mlo.
Unawezaje kushangilia kifo cha Membe, ambaye hatujawahi kusikia ameua mtu?.
 
Nikipewa nafasi ya kumrudisha duniani Kati YA JPM na BM moja kwa moja BM arudi Taifa linamuhtaj.
 
Pesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera
siyo kwa kukomoa ni haki yake aliyopewa kisheria.acheni kuchafua watu ili msamehewe.huo ni upuuzi lazima watu wajifunze kutii sheria bila shuruti.
 
Pesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera

Lipa Madeni Acha Kumsingizia Mungu
 
Back
Top Bottom