Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Musiba alipewa nafasi ya kuomba radhi na kukanusha tuhuma alizoshushia watu aligoma - so, ni zamu yake kuonja machungu ya mahakama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa hivyo mawakili, ĥakimu nk wasingefanya kazi zao mpaka mwisho.Akikazia tu hukumu na yeye,"niagieni niagieni".
Watakaopeleka pua kwenye huo mnada nao wembe ni uleule.
Tupe mfano mpaka leo amedodosha wangapi? Au kisa cha Membe ndio cha kwanza maishani mwake?Mwepesi? Waulize wenzio watakuambia... Atadondoshwa mmoja mmoja atakayeleta za kuleta. Msione mkadhani
Acha kumtuisha dada yetu ,acha adai chake, alipwe , suala la Memberni coincidence tuu , tusubiiri wazee watako kabidhiwa mwili tuone wata tuonyesha hili jambo llikuaje .Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?
Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....
Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?
Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.
Ukiona mwenzio ananyolewa....
We mdanganye tu shangazi yakimkuta tutakulaumu wewe. Membe ni moja kwa moja kwa dhambi ya kutokusamehe na kutotii viongozi wake wa dini.Uchawi hauvuki bahari shangazi akomae nae.
siyo kwa kukomoa ni haki yake aliyopewa kisheria.acheni kuchafua watu ili msamehewe.huo ni upuuzi lazima watu wajifunze kutii sheria bila shuruti.Pesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera
Pesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera
Kichwani umebeba mabisiUna maana gani,?Fatma ana la kujifunza?kachero mbobezi!! shame on you