Kabaki Nape!Membe: hamtaona tena Magufuli amesimama..
Nape: mungu ameamua ugomvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabaki Nape!Membe: hamtaona tena Magufuli amesimama..
Nape: mungu ameamua ugomvi
Muda mwingine i.d zetu za humu zinasema mengi kutuhusu,
Hakuna lolote. dawa ya deni kulipa,Kumekuchaaaaaa!!!
Una maana gani,?Fatma ana la kujifunza?kachero mbobezi!! shame on youBaada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?
Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....
Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?
Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.
Ukiona mwenzio ananyolewa....
Hata wewe utaenda tu. Hakuna anayeweza kujitapa kuwa ni mjanja au ni shujaa kushinda kifo.Waishe tu. Alienda Jembe JPM wao ni nani wabaki
Kwa Sheria IPI alipe ?Kuna watu sijui wanatumiaje akili zao kwenye kuwaza. Musiba zile hela atazilipa tu na yeye wala yeyote yule hana cha kufanya kwenye uhai wa mtu.
Hakimu aliyetowa hiyo hukumu alilenga nini maana sio kwa kukomoa hukoPesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera
Nani mwenye ithubutu wa kuchukua Mali za dhulma hatakam ziuzwa sailing 50000we ni kichaa km ID yako ilivyo. Deni lazima alipe huyo zuzu wako Musiba. Kufa ni kufa tu hakuna uhusiano na deni. We poyoyo unafikiri km angekufa Musiba deni halitalipwa? Kifo siyo excuse ya kutotimiza wajibu, wapo watakaobaki duniani, watalipa km ni deni, na watalipwa wategemezi wako km utakufa wewe. No excuse hapo.
Hata wewe utaenda tu. Hakuna anayeweza kujitapa kuwa ni mjanja au ni shujaa kushinda kifo. Kifo hakina hurumaaaa
Acheni kutishia watu , kama msiba ana nguvu za hivyo mbona kipindi cha rafiki yake hakuzitumia kwa wakosoaji wa rafiki yake ,Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?
Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....
Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?
Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.
Ukiona mwenzio ananyolewa....
Mwepesi? Waulize wenzio watakuambia... Atadondoshwa mmoja mmoja atakayeleta za kuleta. Msione mkadhaniAcheni kutishia watu , kama msiba ana nguvu za hivyo mbona kipindi cha rafiki yake hakuzitumia kwa wakosoaji wa rafiki yake ,
Tuache ujinga wa kukuza mambo pasipo na sababu , Musiba amekua Msiba who is Msiba , mbona mwepesi mno uyo
Hamna kitu pale, msimpe sifa za kijingaMwepesi? Waulize wenzio watakuambia... Atadondoshwa mmoja mmoja atakayeleta za kuleta. Msione mkadhani
Anadondosha mmoja mmoja....Hamna kitu pale, msimpe sifa za kijinga
Sio kweli , nakwambia Acha mpa sifa asizostahili, wewe unafikili mikiki mikiki aliyoipitia marehem katika utumishi wake ,hapakuepo watu zaidi ya Msiba ?Anadondosha mmoja mmoja....