Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Mwana CCM mwenzenu huyo!!Vipi huyu mtu wenu aliejifia leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana CCM mwenzenu huyo!!Vipi huyu mtu wenu aliejifia leo?
Leo baada ya Membe kufa!Umefufuka lini wewe jiwe
Mtafute Makamba. Membe kwa hili unamuonea!!Kabisa!
.
Kama hivi anavyogawa karma kwa waliosema wazuri hawafi
Wema hawafi lakini!Mwana CCM mwenzenu huyo!!
Membe: hamtaona tena Magufuli amesimama..Mtafute Makamba. Membe kwa hili unamuonea!!
Ndiyo ivo. Jee Membe alimtenda nani ubaya!!??Membe: hamtaona tena Magufuli amesimama..
Nape: mungu ameamua ugomvi
Wema hawafiNdiyo ivo. Jee Membe alimtenda nani ubaya!!??
Labda kifalsafa...Wema hawafi
Hapo unamaanisha membe alikua malaika? Hakuna ubaya alifanya?Ndiyo ivo. Jee Membe alimtenda nani ubaya!!??
Sasa kama hivyo ndio aitumie kwa wenzake,🤔Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?
Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....
Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?
Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.
Ukiona mwenzio ananyolewa....
Huyo bwege hana ujanja huo😂Akikazia tu hukumu na yeye,"niagieni niagieni".
Watakaopeleka pua kwenye huo mnada nao wembe ni uleule.
Yaan huu msiba hadi marehemu kupumzishwa, watu watakua wako hoi sanaa, sio kwa heka heka hizi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani leo kila mtu atasema lake.
Na walishangilia na kuongea maneno mengi ya Kujisifu...Waishe tu. Alienda Jembe JPM wao ni nani wabaki
Angetupiwa mda jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Musiba popote ulipo lipa hela ya watu vinginevyo unatupiwa popobawa litakutafuna deile hadi unaingia kaburini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiAkikazia tu hukumu na yeye,"niagieni niagieni".
Watakaopeleka pua kwenye huo mnada nao wembe ni uleule.