Hivi mama yako siyo mshamba?kweli kabisa hasa sukuma gang, washamba ni washamba tu hawastaarabikagi. Watu wa maana wamekimbia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mama yako siyo mshamba?kweli kabisa hasa sukuma gang, washamba ni washamba tu hawastaarabikagi. Watu wa maana wamekimbia.
Unamaanisha hiyo mauti ni kazi ya Musiba, au?Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?
Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....
Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?
Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.
Ukiona mwenzio ananyolewa....
Wewe nyau.... Deni halilipwi. Mimi ndio nakuambi sasa. Na ukikomaa kichwa tusije laumiana hapo baadayeDeni ni deni tu, bado Musiba ana deni kwa familia ya marehemu. Kwahiyo punguzeni furaha zenu Membe kaondoka ila deni lipo pale pale, wana familia wa marehemu wanataka urithi wao!!!!!
Wewe nyau.... Deni halilipwi. Mi ndo nakuambi sasa. Na ukikomaa kichwa tusije laumiana hapo baadayeAngekuwepo hai mtu wenu ndiyo asingelipa. Hii atalipa TU.
Familia ya Membe imepatwa na musibaUnamaanisha hiyo mauti ni kazi ya Musiba, au?
Mahakama ilishatoa hukumu. Na Musiba ni lazima alipe!!Wewe nyau.... Deni halilipwi. Mi ndo nakuambi sasa. Na ukikomaa kichwa tusije laumiana hapo baadaye
Hao mbwa ndio wali injinia kifo cha mwamba wetu wa Chato!Kuna watu sijui wanatumiaje akili zao kwenye kuwaza. Musiba zile hela atazilipa tu na yeye wala yeyote yule hana cha kufanya kwenye uhai wa mtu.
Halipi sasa. Tuone mtafanyaje.Mahakama ilishatoa hukumu. Na Musiba ni lazima alipe!!
Nipo bar hapa nakunywa bia zangu kusheherekea mtu mbadi kurudisha nambakweli kabisa hasa sukuma gang, washamba ni washamba tu hawastaarabikagi. Watu wa maana wamekimbia.
Umefufuka lini wewe jiweHivi mama yako siyo mshamba?
Hakuna lolote. Ndo ashagongwa bado wengine ambao wataleta fyoko fyoko.Musiba sio Kachero 😊... huo uchizi wako usikufanye uropoke vitu vya hovyohovyo.
Hakuna wa kumuondoa Membe kizembe... siku imefika, na kama kuna namna basi wajiandae. Au mlimvizia mshkaji wake aende Korea ndo mufanye ushetani wenu?! Ila jueni kwamba Membe ana watu!
Hakuna kitu ukijua mbele watu wanajua nyuma....🤒🤒Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?
Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....
Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?
Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.
Ukiona mwenzio ananyolewa....
Kabisa!Ni maskhara tu...
Hakuna jasho kwenye kudhalilisha wengine. Mungu huwa hadhihakiwi.
Vipi huyu mtu wenu aliejifia leo?Angekuwepo hai mtu wenu ndiyo asingelipa. Hii atalipa TU.
We kweli CHIZI 😂😂😂Hakuna lolote. Ndo ashagongwa bado wengine ambao wataleta fyoko fyoko.
Hapo chacha!!!!?Unamaanisha??