Fatma Karume na Deni lake kwa Musiba itakuaje?, Ukiona mwenzio ananyolewa....

Fatma Karume na Deni lake kwa Musiba itakuaje?, Ukiona mwenzio ananyolewa....

Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?

Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....

Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?

Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.

Ukiona mwenzio ananyolewa....
Unamaanisha hiyo mauti ni kazi ya Musiba, au?
 
Deni ni deni tu, bado Musiba ana deni kwa familia ya marehemu. Kwahiyo punguzeni furaha zenu Membe kaondoka ila deni lipo pale pale, wana familia wa marehemu wanataka urithi wao!!!!!
Wewe nyau.... Deni halilipwi. Mimi ndio nakuambi sasa. Na ukikomaa kichwa tusije laumiana hapo baadaye
 
Musiba sio Kachero 😊... huo uchizi wako usikufanye uropoke vitu vya hovyohovyo.

Hakuna wa kumuondoa Membe kizembe... siku imefika, na kama kuna namna basi wajiandae. Au mlimvizia mshkaji wake aende Korea ndo mufanye ushetani wenu?! Ila jueni kwamba Membe ana watu!
 
Kuna watu sijui wanatumiaje akili zao kwenye kuwaza. Musiba zile hela atazilipa tu na yeye wala yeyote yule hana cha kufanya kwenye uhai wa mtu.
Hao mbwa ndio wali injinia kifo cha mwamba wetu wa Chato!
.
Ngoja yafe tu
 
Musiba sio Kachero 😊... huo uchizi wako usikufanye uropoke vitu vya hovyohovyo.

Hakuna wa kumuondoa Membe kizembe... siku imefika, na kama kuna namna basi wajiandae. Au mlimvizia mshkaji wake aende Korea ndo mufanye ushetani wenu?! Ila jueni kwamba Membe ana watu!
Hakuna lolote. Ndo ashagongwa bado wengine ambao wataleta fyoko fyoko.
 
Baada ya Membe ambaye aligoma kusamehe deni la Musiba kufariki. Je hii inaleta ujumbe gani kwa Fatma Karume?

Inawezekana kabisa akajifunza kitu. Kuwa kudai pesa nyingi pia si salama kwa afya. Musiba amekuwa musiba kweli kweli. Nadhani sasa watu wataanza kugundua si kila mtu hivyo.....

Membe amekufa kwa kubanwa na kifua. Ni magonjwa ambayo yapo kabisa. Wala si ugonjwa mpya. So nashangaa je.... Fatma Karume haoni ni nafasi naye afunike kombe lake mwanaharamu apite? Je naye ataendelea kudai na kutaka mali ambazo Musiba kazipata kwa jasho zipotee?

Musiba ni Kachero mbobezi siyo bwege kama mnavyodhani.

Ukiona mwenzio ananyolewa....
Hakuna kitu ukijua mbele watu wanajua nyuma....🤒🤒
 
Mleta mada anadai watu wasamehe ila si ajabu yeye akikuta kibaka anapigwa nae atampiga.
 
Back
Top Bottom