Fatma Karume (shangazi) anapotosha wadau wa mpira

Fatma Karume (shangazi) anapotosha wadau wa mpira

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Huyu mama ni mwanasheria nguli kabisa nchini anaeheshimika lakini kwenye hili la Faisal anakaribia kuipoteza heshima yake.

Anadai kuwa Faisal sio mtumwa hivyo hawezi kulazimishwa kufanya kazi Yanga. Kauli hii imewachefua wengi sana.

Faisal ni mzanzibar, alifikaje Yanga? Je Yanga Kuna soko la watumwa? Je, Faisal alilazimishwa kwenda Yanga? Je, alilazimishwa kusaini mkataba mpya na Yanga?

Wakati Yanga inamsajili Faisal Kuna wachezaji wengi waliachwa ili kusajiliwa yeye.

Maana yake Faisal amezuia Yanga isisajili mchezaji mwingine kwenye nafasi ya Faisal. Hivyo Faisal hawezi kuondoka katikati ya msimu wakati usajili umefungwa na Yanga bado Ina kazi nae.

Yanga imewekeza sana kwa Faisal kwa Nia ya kumtumia hadi 2024. Hana hiari ya kuondoka akiwa ndani ya mkataba. Kama Kuna timu inamtaka Faisal aende Yanga akaambiwe bei yake.

Shangazi anafahamu kuwa mtu ana Uhuru wa kuchagua nani awe mwajiri wake lakini akishaajiriwa Hana hiari ya kufanya na kuacha kazi aliyoomba. Kama vile mke anavyokuwa na hiari ya kuolewa na mume gani lakini akishaolewa Kuna mambo hatakuwa na hiari nayo.

Shangazi amsaidie kijana wake wakati wa kuingia mikataba, lakini sio kumsaidia namna ya kuondoka kwa njia haramu, Faisal sio mtumwa ila anao mkataba na Yanga hadi 2024.
 
Ulivyosema tu kuwa mtu akishaajiliwa hawezi kuacha kazi aliyoomba nimekudharau sana sana yaani na kuona hauna kitu kichwani.

Ningekuona wa maana kama ungeongeza maneno mengine kwenye madai yako hayo hasa kwa kuzingatia suala la Feisal ni la kikichezo/mpira. Hutakiwi kabisa kulipa mifano ya ndoa na ajira zingine(Hakuna ajira inayozuia mtu kuiacha)
 
Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
 
Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Unahisi fatuma ana njaa km wee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu mnachekeshaa sanaa.
 
Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Mkuu we unamfahamu kweli
 
Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Mwanaume kamili uwezi ongea hvyo ,acha ushenzi na kuwa mwanaume ,,jinga Sana ww ,Toka kini mwanaume akawananga wanawake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mnaumiza vichwa vyenu buureee... Mbona hiyo timu ndo hodari wa kutokuheshimu mikataba afu yenyewe kutwa kulialia et Fei afuate sheria aje mezani tuzungumze, maskini SP wamepigwa mkwara wamekaa zao kiiimyaa.
 
Back
Top Bottom