Fatma Karume (shangazi) anapotosha wadau wa mpira

Fatma Karume (shangazi) anapotosha wadau wa mpira

Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Fatma ni mke wa mtu na ana watoto,ana maisha mazuri sana na assets kibao.Kule Masaki na Bahari Beach ana nyumba za kutosha kwa hiyo ki maisha yuko vizuri sana.Unaweza kumnanga kwa mengine lakini kuhusu maisha yake binafsi,humfahamu.
 
Ulivyosema tu kuwa mtu akishaajiliwa hawezi kuacha kazi aliyoomba nimekudharau sana sana yaani na kuona hauna kitu kichwani.


Ningekuona wa maana kama ungeongeza maneno mengine kwenye madai yako hayo hasa kwa kuzingatia suala la Feisal ni la kikichezo/mpira. Hutakiwi kabisa kulipa mifano ya ndoa na ajira zingine(Hakuna ajira inayozuia mtu kuiacha)

Wala hakuna mkataba usiovunjwa.
 
Hii issue ya Fei inataka fanana na Suarez vs Arsenal, Wenger alipomtaka, Liverpool ikagoma..
Dahhh sasa hii ya Fei sijui itaishiaje naona kuna funzo/kukomoana humo humo.

Wenger alileta uhuni tu. Ila Suarez alikuwa anaondoka Liverpool.
 
Fatma ni mke wa mtu na ana watoto,ana maisha mazuri sana na assets kibao.Kule Masaki na Bahari Beach ana nyumba za kutosha kwa hiyo ki maisha yuko vizuri sana.Unaweza kumnanga kwa mengine lakini kuhusu maisha yake binafsi,humfahamu.
sawa mke mwenza wa Fatma... Naona unamjua vzuri mke mwenzio kuliko baba yake...
 
Ni kweli mtu ukiajiriwa huwezi kuacha kazi? Tena nikienda mbali zaidi, huwezi kuacha kazi kwa notisi ya 24 hours? Inaweza ikawepo sababu nyingine inayozuia, ila kwa hii uliyoiweka, Shangazi yupo sahihi kuliko wewe
Hii kazi ya Fei ni tofauti, Fei ameuzwa Yanga na amenunuliwa na Yanga. Hivyo namna ya kuondoka ni kwa kuuzwa na kununuliwa pia. Hii ni tofauti na kazi ya uwalimu na uwanasheria. Ina maana shangazi hajui kama Fei amenunuliwa na Yanga kutoka huko alikokuwa? ukishanunuliwa huna hiari tena. Kwenye mchezo wa mpira Kuna biashara ya watu, na ukishanunuliwa kazi yako ni kumsikiliza tajiri atakwambia nini hadi hapo mkataba wako utakapokwisha, anaweza kukuuza kwa mkopo au kwa kubadilishana na mchezaji au kwa pesa tasilimu.
 
Focus kwenye hoja, usi-attack personality.

Issue ni whether or not kuna forced Labour.

Mtu hatakiwi kulazimishwa kufanya kazi.

Willing employer and willing employee.

Pamoja na kuwa shabiki wa Yanga, huyo mzenji ndugu yake afande, aachwe aende zake
Fei anlmenunuliwa na Yanga ni Mali ya Yanga, Hana hiari ya kuondoka kindezi ndezi, Wala kukataa kucheza Wala kuuzwa, mwambieni shangazi hivyo kama alikuwa hajui. Kuna biashara imefanyika kati ya Fei na Yanga na singida na Yanga.
 
Fetty huenda yuko vizuri kwenye sheria/vifungu vya nchi ila sheria/kanuni za mpira anazidiwa na mzee Mpili
Na huyo mzee mpili ndio master wenu huwa mnamzingatia sana
 
Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Kwa hyo wewe kwa akili Yako unadhani yule Mama ana dhiki unayofikiria???
 
Fatma ni mke wa mtu na ana watoto,ana maisha mazuri sana na assets kibao.Kule Masaki na Bahari Beach ana nyumba za kutosha kwa hiyo ki maisha yuko vizuri sana.Unaweza kumnanga kwa mengine lakini kuhusu maisha yake binafsi,humfahamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boraa mumpopoee huyo Kaka mkudaa
 
Hii kazi ya Fei ni tofauti, Fei ameuzwa Yanga na amenunuliwa na Yanga. Hivyo namna ya kuondoka ni kwa kuuzwa na kununuliwa pia. Hii ni tofauti na kazi ya uwalimu na uwanasheria. Ina maana shangazi hajui kama Fei amenunuliwa na Yanga kutoka huko alikokuwa? ukishanunuliwa huna hiari tena. Kwenye mchezo wa mpira Kuna biashara ya watu, na ukishanunuliwa kazi yako ni kumsikiliza tajiri atakwambia nini hadi hapo mkataba wako utakapokwisha, anaweza kukuuza kwa mkopo au kwa kubadilishana na mchezaji au kwa pesa tasilimu.
na unaweza ukajinunua pia, usisahau hilo la kimkataba!
 
na unaweza ukajinunua pia, usisahau hilo la kimkataba!
bahati mbaya bei ni makubaliano, mnunuzi hawezi kujipangia bei mwenyewe, na kitu kinachouzwa hakiwezi kujinunua chenyewe.
 
kuna uzi mwembamba sana unaotenganisha kati biashara ya watu na wachezaji wa mpira. Wachezaji wanauzwa na kununuliwa, na watu wana bargain bei ya mchezaji (mtu kama Faisal). Hii concept lazima shangazi aijue pia. Mchezo wa mpira una elements za biashara ya watu, tofauti ni kwamba watumwa hawasaini makubaliano ya kukubali ila wanalishwa, wanalala, wanavishwa, wanapwea posho na wanatibiwa wakiumwa kama ilivyo kwa wachezaji wa mpira. watumwa na wachezaji mpira wote wanauzwa na kununuliwa kama bidhaa nyingine tu sokoni.

wadau wa Faisal wanataka tu kututoa relini ili tuzingatie maswala ya mashindano ya caf na ligi.
 
Back
Top Bottom