Fatma Karume (shangazi) anapotosha wadau wa mpira

Fatma Karume (shangazi) anapotosha wadau wa mpira

Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Huyo mama ameolewa ana watoto 2,mume wake ni Daktari wa binadamu
 
Huyu mama ni mwanasheria nguli kabisa nchini anaeheshimika lakini kwenye hili la Faisal anakaribia kuipoteza heshima yake.

Anadai kuwa Faisal sio mtumwa hivyo hawezi kulazimishwa kufanya kazi Yanga. Kauli hii imewachefua wengi sana.

Faisal ni mzanzibar, alifikaje Yanga? Je Yanga Kuna soko la watumwa? Je, Faisal alilazimishwa kwenda Yanga? Je, alilazimishwa kusaini mkataba mpya na Yanga?

Wakati Yanga inamsajili Faisal Kuna wachezaji wengi waliachwa ili kusajiliwa yeye.

Maana yake Faisal amezuia Yanga isisajili mchezaji mwingine kwenye nafasi ya Faisal. Hivyo Faisal hawezi kuondoka katikati ya msimu wakati usajili umefungwa na Yanga bado Ina kazi nae.

Yanga imewekeza sana kwa Faisal kwa Nia ya kumtumia hadi 2024. Hana hiari ya kuondoka akiwa ndani ya mkataba. Kama Kuna timu inamtaka Faisal aende Yanga akaambiwe bei yake.

Shangazi anafahamu kuwa mtu ana Uhuru wa kuchagua nani awe mwajiri wake lakini akishaajiriwa Hana hiari ya kufanya na kuacha kazi aliyoomba. Kama vile mke anavyokuwa na hiari ya kuolewa na mume gani lakini akishaolewa Kuna mambo hatakuwa na hiari nayo.

Shangazi amsaidie kijana wake wakati wa kuingia mikataba, lakini sio kumsaidia namna ya kuondoka kwa njia haramu, Faisal sio mtumwa ila anao mkataba na Yanga hadi 2024.
Huyu shangazi mtetea ushoga yuko sahihi kwa maana kuwa Faisal sio mtumwa wa Yanga ni mwajiriwa na katika kuonyesha sio mtumwa uliwekwa wazi mlango wa kutokea yaani kuacha ajira. Sasa anapotaka kutokea mlango ule ule uliowekwa anaambiwa mlango umefungwa hapo anafanywa mtuma. Kwa nini mlango uliowekwa wazi sasa ufungwe na kama kuna sababu ya kuufunga ni sababu ambayo haikuwekwa wazi kwwnye mkataba wa ajira
 
Huyu shangazi mtetea ushoga yuko sahihi kwa maana kuwa Faisal sio mtumwa wa Yanga ni mwajiriwa na katika kuonyesha sio mtumwa uliwekwa wazi mlango wa kutokea yaani kuacha ajira. Sasa anapotaka kutokea mlango ule ule uliowekwa anaambiwa mlango umefungwa hapo anafanywa mtuma. Kwa nini mlango uliowekwa wazi sasa ufungwe na kama kuna sababu ya kuufunga ni sababu ambayo haikuwekwa wazi kwwnye mkataba wa ajira
Hata mwizi anaogopa sana kuingia nyumba ambayo mlango uko wazi kabisa, maana hajui kwanini mlango uko wazi kiasi kile wakati ndani yake kuna mali nyingi sana. Hata kama unakuta mlango uko wazi ni lazima ubishe hodi au uage wenyeji kuingia na kutoka.

Hakuna ubishi kwamba Shangazi ni mtu maarufu na mwanasheria mkubwa nchini, hana njaa yoyote itakayomfanya aendeshe kesi ya mtoto ambae amekosea kwenye jambo lake. Kwa umri wake Faisal ni sawa na mwanawe au mtoto wa dada yake tu, angetumia muda kumuongoza Faisal afuate njia sahihi ili kumaliza shida yake kwa manufaa ya Faisal, Yanga, mpira, wadau wa mpira na taifa badala ya kulazimisha kumtafutia Fei upenyo wa kutokea hata ikibidi kwa kutumia bomba na chemba zaa maji taka. hajali kwamba hata kama Fei akitoka kwa njia hiyo atanuka mavi kwa kiasi gani.

Wote tunafahamu kuwa Fei hana hela za kuvunja mkataba wake na wala hana hela ya kuwalipa wanasheria walioko nyuma yake, tunafahamu kuwa anaemtaka Fei ndiye anaegharimia yote haya. bahati yao mbaya ni kwamba Yanga inafanya vizuri uwanjani hata bila Fei. Hofu ni kwamba kama TFF itabariki upuuzi huu ziko timu nyingi ambazo zitawapoteza wachezaji wao mahiri kwa njia hiihii ya kipuuzi. Nina Imani kuwa TFF sio wapuuzi wa kiasi hiki kuruhusu aina hii ya uhamishaji, bila shaka TFF itafanya marejeo (references) kutoka caf na FIFA ili kuona kama kuna kesi inayofanana na hii iliyoamuliwa ili kutumia maamuzi yao katika kuamua kesi hii.
 
Huyu shangazi mtetea ushoga yuko sahihi kwa maana kuwa Faisal sio mtumwa wa Yanga ni mwajiriwa na katika kuonyesha sio mtumwa uliwekwa wazi mlango wa kutokea yaani kuacha ajira. Sasa anapotaka kutokea mlango ule ule uliowekwa anaambiwa mlango umefungwa hapo anafanywa mtuma. Kwa nini mlango uliowekwa wazi sasa ufungwe na kama kuna sababu ya kuufunga ni sababu ambayo haikuwekwa wazi kwwnye mkataba wa ajira
Sio kila mlango unaweza kupita upendavyo hata kama kazi ya mlango ni kupita kutoka na kuingia. Milano mingine ukipita utaambiwa umelawiti, wakati mwingine mlango huohuo ukipita utaambiwa ni ushoga, wakati mwingine malango huohuo ukipita utaambiwa umebaka. Kaka mlango walioutumia akina Morrison, ngoma, Saido, Yondani, makapu na wengine kutoka upo lakini unataratibu zake zinazomkwamisha Fei kutoka hadi Sasa kupitia mlango huu
 
Yule mwanamke mpumbavu hana akili, anazeeka bila ndoa bila mume ndio maana kachanganyikiwa ana hasira anaongea utumbo tu... Kwa upumbav wake wa kukosa akili ndio maana watoto wa kishua wenzake ambao baba zao walikua serikalini wanakula maisha yey anzurura tu na vijora vyake mtaani....
Povu la wivu hilo
 
Povu la wivu hilo
Sitaki kuamini kama Shangazi amehusika katika kumtafutia kijana Fei njia ya kisheria ya kuondoka Yanga kwa njia hii. Maana Fei amepata khasara kubwa sana kwa kitendo hiki. Kucheza mechi kwenye mashindano ya CAF ndio kilio kikubwa cha kila mchezaji wa Afrika mwenye akili timamumsimu muhimu kabla ya kufikiria kwenda kucheza Ulaya na kombe la dunia. Mashindano ya CAF yanawaweka sokoni wachezaji kununuliwa na timu kubwa. Kijana wetu kajificha kwenye kabati la vyombo sebuleni kwenye nyumba ya mama mzazi wakati wenzake wanajiuza na kuvuna pesa.
 
Back
Top Bottom