Fatma Karume uso kwa uso na Kikeke, Rukii, yanayo endelea uchaguzi TLS, kuhusu maisha yake

Fatma Karume uso kwa uso na Kikeke, Rukii, yanayo endelea uchaguzi TLS, kuhusu maisha yake

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Fatma Karume atoa shule kwa waandishi habari na wananchi juu ya umuhimu wa TLS Tanganyika Law Society


View: https://m.youtube.com/watch?v=6Ga1OhmOZNI

Fatma Karume wakili bobezi aliyesajiliwa Middle Temple London, Mahakama Kuu Tanzania na Mahakama Kuu Zanzibar anatoa somo kazi kubwa ya TLS ni 'watchdog' kuwa macho kuishauri serikali kwa ukweli bila uchawa, kuipigia serikali kelele inapoteleza na kubwa zaidi kuwatetea makundi ya wananchi, mtu mmoja mmoja na faida zake kwa umma mpana ndani ya taifa.

Fatma Karume anakwenda ndani zaidi umuhimu wa mawakili wa Tanzania kuacha kujazana ktk sekta ya corporate law (kutetea makampuni), bali pia mawakili wa Tanzania waingie katika maeneo yafuatayo:

Administrative law
Constitutional Law
Public Law
Criminal law

Salim Kikeke mwandishi wa muda mrefu apata wakati mgumu kwa kuonesha uwoga jinsi anavyojibiwa maswali na wakili Fatma Karume bila kuogopa serikali wala wenye mamlaka.

Uchaguzi wa 2024 wa urais kuna walio ktk mamlaka, mawakili wametishika kuchaguliwa wakili Boniface Mwabukusi kuchaguliwa kuwa rais wa TLS ... amasema Fatma Karume na kusema kwa kina uwoga huo unasababishwa na nini ...
 
FATUMA ANA AKILI SANA KUMBE.......HUYU AWE JAJI MKUU

FATMA AMEKWENDA SHULE, SHULE KWELI KWELI
UKIWA NA UWEZO MPELEKE MTOTO UINGEREZA ASOME

MWISHO: KIKEKE AMETOLEWA JASHO AMEZOEA KUWAHOJI FORM 4 FAILURES, LEO KAKUTANA NA MSOMI
 
Fatma Karume atoa shule kwa waandishi habari na wananchi juu ya umuhimu wa TLS Tanganyika Law Society


View: https://m.youtube.com/watch?v=6Ga1OhmOZNI

Fatma Karume wakili bobezi aliyesajiliwa Middle Temple London, Mahakama Kuu Tanzania na Mahakama Kuu Zanzibar anatoa somo kazi kubwa ya TLS ni 'watchdog' kuwa macho kuishauri serikali kwa ukweli bila uchawa, kuipigia serikali kelele inapoteleza na kubwa zaidi kuwatetea makundi ya wananchi, mtu mmoja mmoja na faida zake kwa umma mpana ndani ya taifa.

Fatma Karume anakwenda ndani zaidi umuhimu wa mawakili wa Tanzania kuacha kujazana ktk sekta ya corporate law (kutetea makampuni), bali pia mawakili wa Tanzania waingie katika maeneo yafuatayo:

Administrative law
Constitutional Law
Public Law
Criminal law

Salim Kikeke mwandishi wa muda mrefu apata wakati mgumu kwa kuonesha uwoga jinsi anavyojibiwa maswali na wakili Fatma Karume bila kuogopa serikali wala wenye mamlaka.

Uchaguzi wa 2024 wa urais kuna walio ktk mamlaka, mawakili wametishika kuchaguliwa wakili Boniface Mwabukusi kuchaguliwa kuwa rais wa TLS ... amasema Fatma Karume na kusema kwa kina uwoga huo unasababishwa na nini ...

Hivi kweli Kikeke alitoka BBC kuja kwenye kuanzisha vi media kama hivi kwenye nchi zetu za kishenzi? He is losing, jeopardizing his hard-worn credibility! Leo Fatma kamtoa jasho!
 
Hivi kweli Kikeke

Waandishi wa habari / watangazaji wamekuwa watchdog / watetezi wa serikali badala ya kuwa mhimili huru wa nne katika dola,

 
FATUMA ANA AKILI SANA KUMBE.......HUYU AWE JAJI MKUU

FATMA AMEKWENDA SHULE, SHULE KWELI KWELI
UKIWA NA UWEZO MPELEKE MTOTO UINGEREZA ASOME

MWISHO: KIKEKE AMETOLEWA JASHO AMEZOEA KUWAHOJI FORM 4 FAILURES, LEO KAKUTANA NA MSOMI
Una uhakika? ...am not an easy person to interview... hii statement vipi?
 
Una uhakika? ...am not an easy person to interview... hii statement vipi?
She is both knowledgeable and Informed. But much credit to her vast knowledge of Law! Differentiate between a knowledgeable person and one who is Informed!

Nimemsikiliza vizuri, amempa wakati ngumu Kikeke.
 
She is both knowledgeable and Informed. But much credit to her vast knowledge of Law! Differentiate between a knowledgeable person and one who is Informed!

Nimemsikiliza vizuri, amempa wakati ngumu Kikeke.
Msomi hawezi kutoa hiyo statement unless hujui maana ya msomi.
 
KwahiyoFatma siyo msomi? 😀 😀 😀 😀
Unaweza kusema amekwenda a bit aside, but not allege kuwa siyo msomi
Kutoa mada ameitendea haki ila nakataa kumwita msomi. Msomi huwa anajenga hoja na si kutumia hoja za nguvu. Kujimwambafai kunaoneshaga kuwa mtu si msomi ila ameenda shule tu. Msomi ni mtu aliyeelimika.
 
Hivi kweli Kikeke alitoka BBC kuja kwenye kuanzisha vi media kama hivi kwenye nchi zetu za kishenzi? He is losing, jeopardizing his hard-worn credibility! Leo Fatma kamtoa jasho!

Asipofanya Kikeke nani atafanya hiyo kazi? Kuna changamoto ya kila mtu kulalamika fulani hajafanya hivi au vile ila wanaojaribu kufanya wanaishia kutukanwa tu.
 
Asipofanya Kikeke nani atafanya hiyo kazi? Kuna changamoto ya kila mtu kulalamika fulani hajafanya hivi au vile ila wanaojaribu kufanya wanaishia kutukanwa tu.
hapana Kikeke alikuwa level ya juu. sasa hivi vi crown meia vya kumhoji Nape and the like........... na wasaidizi wake ni hawa wa vyuo vya kata, kuna shida kubwa.
PILI Kikeke hataweza ku pose hard questions ambazo zinakwenda kinyume na mtazamo wa serikali zetu za ki dikiteita! He can not perform well under these conditions!
Unaona yaliyomkuta Zuhura?
 
hapana Kikeke alikuwa level ya juu. sasa hivi vi crown meia vya kumhoji Nape and the like........... na wasaidizi wake ni hawa wa vyuo vya kata, kuna shida kubwa.
PILI Kikeke hataweza ku pose hard questions ambazo zinakwenda kinyume na mtazamo wa serikali zetu za ki dikiteita! He can not perform well under these conditions!
Unaona yaliyomkuta Zuhura?

Nimesikiliza hiyo interview and I see where you're coming from however, shangazi nae hataki kabisa maoni tofauti na yake and confrontational. Anaamini yeye anajua kila kitu hamna mtu wa kumwambia chochote when it comes law but she's smart nonetheless.
 
I see where you're coming from however
CAN YOU GUESS? 😀 😀 😀 😀 😀
FINE, FATMA AKIWA NA UHAKIKA NA KITU ANACHOKISEMA KUWA NI SAHIHI, NA WEWE UKAENDA KINYUME NA ANACHOKIAMINI KIKO SAHIHU (NA KWELI KIKO SAHIHI), HANA MSWALIE MTUME SHE WILL CONFRONT YOU! Mfano anasema 1+1=2 katika natural/normal mathematics, wewe ukasema hapana ni 3, hatakusikiliza mana anapata indication, clear one, kuwa wewe uko empty-headed. ...unless useme ni matrimonial mathematics, then mta argue kufikia ukweli
 
shangazi nae hataki kabisa maoni tofauti

Kuwa Wakili msomi ni kama taaluma ya udaktari wa binadamu, engineering n.k, hivyo maoni kuhusu taaluma zilozosomewa na ujuzi pia juu (practice) haziwezi kuwa challenged kwa kutumia ufahamu duni wa taaluma ya sheria walionao watu kama Kikeke & co.

Waandishi wa habari chawa wakitaka ku challenge taaluma za wanasheria n.k wajiongeze kwa elimu kama mwandishi Paschal Mayalla (ambaye ni wakili) ili wakifanya interview na Mawakili wasomi angalau wawe ktk daraja moja la ufahamu

Paschal Mayalla : Media Consultant / Lawyer · Press & Public Relations [PPR]
 
Kuwa Wakili msomi ni kama taaluma ya udaktari wa binadamu, engineering n.k, hivyo maoni kuhusu taaluma zilozosomewa na ujuzi pia juu (practice) haziwezi kuwa challenged kwa kutumia ufahamu duni wa taaluma ya sheria walionao watu kama Kikeke & co.

Waandishi wa habari chawa wakitaka ku challenge taaluma za wanasheria n.k wajiongeze kwa elimu kama mwandishi Paschal Mayalla (ambaye ni wakili) ili wakifanya interview na Mawakili wasomi angalau wawe ktk daraja moja la ufahamu

Regardless ya taaluma yako inapaswa usikilize maoni ya watu wengine as well hata kama hawapo kwenye kwenye hiyo field. Unataka kusema engineers tu ndo wanapaswa kutoa kasoro za ujenzi holela?

Wanasiasa wakisema hawasikilizi maoni yenu sababu nyie hamna taaluma hizo mtakubali? Mwigulu akisema hataki ushauri wako sababu wewe hujasoma mambo ya uchumi ni sawa?

Shangazi hataki kabisa kusikiliza maoni ya mwingine huo ni ujinga.
 
Tukubali huyu Kikeke hakujitayarisha ndiyo maana akakumbana na moto, angalau angefanya research na homework apate ufahamu wa jumla ili kuweza ku engaged katika kiwango kinachokubalika.

Waandishi wa habari wawe wanajitayarisha kwa kujiongeza ufahamu kabla ya kukutana na wasomi :


TOKA MAKTABA:
Hapa mwandishi wa habari mkongwe, ambaye pia ni mwanasheria / wakili msomi Jenerali T. Ulimwengu , anajiuliza vipi inakuwa ngumu wanasiasa / waandishi n.k kuelewa mambo, tukumbuke media huwa ni chanzo cha kusambaza elimu jumla/ general knowledge hivyo waandishi wakiwa wagumu kuelewa mada wakiwa hewa ktk vyombo vya habari wana haribu jamii pana :

Is This Too Hard For Our Rulers To Comprehend? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S06


View: https://m.youtube.com/watch?v=hou-PYAEGoU
 
CAN YOU GUESS? 😀 😀 😀 😀 😀
FINE, FATMA AKIWA NA UHAKIKA NA KITU ANACHOKISEMA KUWA NI SAHIHI, NA WEWE UKAENDA KINYUME NA ANACHOKIAMINI KIKO SAHIHU (NA KWELI KIKO SAHIHI), HANA MSWALIE MTUME SHE WILL CONFRONT YOU! Mfano anasema 1+1=2 katika natural/normal mathematics, wewe ukasema hapana ni 3, hatakusikiliza mana anapata indication, clear one, kuwa wewe uko empty-headed. ...unless useme ni matrimonial mathematics, then mta argue kufikia ukweli

That's not the problem. Tatizo ni kukataa kuwapa nafasi wengine watoe maoni au kuuliza swali sababu tu wewe ni mwana hiyo tasnia. Ni sawa na Kikeke aseme you can't tell me nothing about tasnia ya habari sababu nimesomea na kufanya kazi BBC. Wape wengine uhuru wa kutoa maoni yao au waeleweshe without being confrontational. Kupaza sauti, kusema sijui nimepractise law miaka mingapi you can't tell me nothing ni ujinga. Fatma alikuwa offended too easily na kupaza sauti unnecessarily kwenye hiyo interview. She stooped too low.

Mwigulu akisema kama hujasomea uchumi hataki maoni yako mtakubali?
 
Fatma Karume atoa shule kwa waandishi habari na wananchi juu ya umuhimu wa TLS Tanganyika Law Society


View: https://m.youtube.com/watch?v=6Ga1OhmOZNI

Fatma Karume wakili bobezi aliyesajiliwa Middle Temple London, Mahakama Kuu Tanzania na Mahakama Kuu Zanzibar anatoa somo kazi kubwa ya TLS ni 'watchdog' kuwa macho kuishauri serikali kwa ukweli bila uchawa, kuipigia serikali kelele inapoteleza na kubwa zaidi kuwatetea makundi ya wananchi, mtu mmoja mmoja na faida zake kwa umma mpana ndani ya taifa.

Fatma Karume anakwenda ndani zaidi umuhimu wa mawakili wa Tanzania kuacha kujazana ktk sekta ya corporate law (kutetea makampuni), bali pia mawakili wa Tanzania waingie katika maeneo yafuatayo:

Administrative law
Constitutional Law
Public Law
Criminal law

Salim Kikeke mwandishi wa muda mrefu apata wakati mgumu kwa kuonesha uwoga jinsi anavyojibiwa maswali na wakili Fatma Karume bila kuogopa serikali wala wenye mamlaka.

Uchaguzi wa 2024 wa urais kuna walio ktk mamlaka, mawakili wametishika kuchaguliwa wakili Boniface Mwabukusi kuchaguliwa kuwa rais wa TLS ... amasema Fatma Karume na kusema kwa kina uwoga huo unasababishwa na nini ...

Hii interview ni kama Kikeke hakujipanga, hakujua anaenda kukutana na shangazi. Kuna mtangazaji wa kike alikuja na issue ya uanaharakati swali liligeuzwa kurudi kwake mpaka akawa piriton,
 
Back
Top Bottom