Fatma Karume uso kwa uso na Kikeke, Rukii, yanayo endelea uchaguzi TLS, kuhusu maisha yake

Fatma Karume uso kwa uso na Kikeke, Rukii, yanayo endelea uchaguzi TLS, kuhusu maisha yake

Hii interview ni kama Kikeke hakujipanga, hakujua anaenda kukutana na shangazi. Kuna mtangazaji wa kike alikuja na issue ya uanaharakati swali liligeuzwa kurudi kwake mpaka akawa piriton,

Waandishi habari na watangazaji wakubali kuelimishwa, elimu haina mwisho na wasijikweze kuwa wanaufahamu wa ndani kabisa kuliko wenye taaluma yao walioyoisomea kwa miaka mingi na, kukumbana na changamoto kazini.

Waandishi habari itakuwa vizuri waalike jopo la wanataalum / wasomi tajwa wajadili mada, kisha waandishi wadandie dandie kwa kuuliza maswali zaidi badala ya kujikita mno kutoa maoni katika fani za watu, ili wajibiwe wapate kufahamu.
 
Kikeke yupo sawa fatuma hataki kuulizwa maswali magumu na ni mbishi hafai kuja kwenye intarview kama mimi namfukuza
 
Naona content creators hapo, wana credentials gani kujadili financial bill? In the same breath mnasema Kikeke hajui sheria hivyo hapaswi kuuliza wala kutoa maoni kuhusu sheria amsikilize tu Fatma. Mnajikanganga wenyewe.

Tuchukulie mfano Kikeke anaweza kutoa maoni kwa Prof. Janabi kuhusu internal medicine, si Kikeke atasikiliza na kuuliza maswali zaidi kuliko kujaribu kutoa maoni kuhusu utabibu wa internal medicine ufanyike.


Hivyo hivyo style alichochukua Kikeke kujaribu ku dissect fani ya sheria alijivisha koti liiilomzidi.

Prof. Mohamed Yakub Janabi

Accreditations & Qualifications

  • MD., MSc., PhD. and Fellow of American College of Cardiology (FACC)
  • Certified Aviation Medical Examiner by FAA-USA

Career

  • CEO – MNH, Oct 2022 - Present
  • CEO- JKCI, 2015 - Sept 2022
  • Head, Physician to former President of United Republic of Tanzania (2005 - Present)
  • Faculty Member of Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) (2000 - Present)
  • Faculty Member of Medical University of South Carolina, USA (2003 - Present)

Corporate Governance Experience

  • Council Member MUHAS - Oct 2022 - Present
  • Board Member Jakaya Kikwete Cardiac Institute – Oct 2022 - Present
  • Board Member Ocean Road Cancer Institute - Oct 2022 - Present
  • Board Member SUA (2015 - Present)
  • Senior Researcher Scientist HIV Vaccine Trial (TaMoVac) (1998-2002)
  • Medical Director at Madaktari Africa, a USA-based NGO (Tanzania)

CEO Muhimbili National Hospital


Note

  • Prof. Janabi has made over 83 publications
  • Prof. has a good command of Kiswahili, English, Russian, and Japanese

 
Tuchukulie mfano Kikeke anaweza kutoa maoni kwa Prof. Janabi kuhusu internal medicine, si Kikeke atasikiliza na kuuliza maswali zaidi kuliko kujaribu kutoa maoni kuhusu utabibu wa internal medicine ufanyike.


Hivyo hivyo style alichochukua Kikeke kujaribu ku dissect fani ya sheria alijivisha koti liiilomzidi.



Watu wana resume zaidi ya hiyo na bado wanasikiliza maoni au maswali ya upande wa pili.

Mtakua nyumbu kama kazi yenu ni kusikiliza tu bila kuhoji anachosema mtu fulani sababu ya cv au fani yake.

Weka CV ya mwigulu nayo uone kama wanaompinga wana hata punje ya elimu na experience yake. In a nutshell, ana PhD ya uchumi, kafanya kazi BOT na kahudumu kama waziri wizara tofauti. Mama ntilie na machinga wana nini cha kumwambia Mwigulu? Ana sababu gani ya kuwasikiliza?

Fatma kaenda kwenye interview ila kila swali she gets defensive and argumentative for no good reason. Anaona wengine wote wajinga hawana cha kumwambia sababu tu yeye ni lawyer na kapractise for over 25 years. I like Fatma but that was nuts. Sikiliza upande wa pili.
 
Back
Top Bottom