Fatma Karume: Yaani leo nimethibitisha Adelardus (AG) hajui Katiba, anadai Serikali ina mihimili mitatu na yeye ndie anasimamia yote

Fatma Karume: Yaani leo nimethibitisha Adelardus (AG) hajui Katiba, anadai Serikali ina mihimili mitatu na yeye ndie anasimamia yote

Serikali ni mhimili mmoja kati ya 3,ana maanisha nini?

Serikali ina mihimili 3, Executive judiciary and Legislature, kosa liko wapi? Maana ni serikali moja iliyojigawa katika mihimili mitatu.
Chadema imejaa wavuta bangi na wanywa konyagi. Upuuzi kama huu sio wa kushabikia.

Bunge ni idara au wizara ya serikali?
 
Serikali ni mhimili mmoja kati ya 3,ana maanisha nini?

Serikali ina mihimili 3, Executive judiciary and Legislature, kosa liko wapi? Maana ni serikali moja iliyojigawa katika mihimili mitatu.
Chadema imejaa wavuta bangi na wanywa konyagi. Upuuzi kama huu sio wa kushabikia.

Hujui tofauti kati ya Dola na Serikali. Kajielimishe.
 
Government has three branches, which are Legislature, Executive and Judiciary.

My question is what are the swahili words for the Government and executive?
Inaitwa Mihimili mitatu ya Dola ambapo serikali ni mhimili mmojawapo, sio Mihimili mitatu ya serikali.
 
1/Leo Adelardus katoa ushahidi dhidi yangu akisema yeye ni mshauri wa Serikali chini ya Ibara 59(3) ya Katiba na Serikali Ina mihimili 3, EXECUTIVE, LEGISLATIVE na JUDICIARY! Mungu wangu! Kwa kweli siwezi kupoteza muda wangu na mtu asiyeelewa KATIBA halafu ni MWANASHERIA MKUU!

View attachment 1486607

2/ Kwa kusema SERIKALI Ina Mihimili 3, Executive, Judiciary na Legislative Ina maana Adelardus haielewi KATIBA yetu kabisa. Basi hata ibara ya 4 hajaisoma? Serikali ni MIHIMILI 1 kati ya 3. Siwezi kupoteza muda kumsikiliza AG asiyeielewa KATIBA yetu! https://t.co/wQuAbijdoyView attachment 1486611
Mkuu,
Mimi natofautiana na Fatma. Huyu AG yuko sahihi kabisa na hajataka kupindisha maneno. Mihimili mingine yote iko chini ya serikali.

Fatma anazungumzia Katiba-maandishi ambapo yuko sawa kwa upande wake. Na AG anazungumzia Katiba-Kiuhalisia ambapo serikali imeiweka mfukoni Mihimili mingine imekua iko chini yake (refer theory ya Mhimili-Chimbifu)

Sasa kwa sasa hatufati Tena maandishi yanasema nini, katiba yote imekua ni utashi wa mtu anavyojisikia. So hapa ndipo dhana ya Mhimili-Chimbifu inaposhika hatamu.

Ingekua tunafuata Katiba, Fatma angekua sahihi kwa 101%. Ila kwa vile tunafuata uhalisia ulivyo katika kipindi hiki, hao Mahakama na Bunge wote wameufyata kwa Bwana Mkubwa, Mkuu wa Chimbifu empire, so AG anakua yuko sahihi.
 
Hypothetically

Mwenyekiti wa Kijiji ni mjumbe wa kamati ya Usalama ya Wilaya, unataka kuniambia Mwenyekiti ni msimamizi wa kamati ya Usalama ya Wilaya?

Mwanasheria Mkuu sio msimamizi bali mshauri na hapo ndipo usahihi wa Fatma ulipo.
Mwenyekiti gani huyo wa kijiji anakuwa mjumbe wa kamati ya usalama wilaya aseee .... Elimu yetu ni tatizo sana wajumbe wa kamati ya usalama ni
1) MKUU WA WILAYA,
2)KATIBU TAWALA WILAYA,
3)MKUU WA MAGEREZA WILAYA,
4)MKUU WA POLISI WILAYA,
5)MKUFUNZI WA MGAMBO WILAYA, 6)MKUU WA ZIMAMOTO WILAYA,
7)AFISA UHAMIAJI WILAYA ,
8)MKUU WA TAKUKURU WILAYA,
HAta mkurugenzi anaalikwa tu hata Mwenyekiti wa hlamshauri (diwani)/Meya haiingii huyo mwenyekiti wa kijiji anaingiaje kwa mfano
 
Mwenzenu kaweka Hadi reference, Nyie mnamshambulia yeye Kama yeye. Tatizo Ni Nini mataga?
Tatizo ni upeo...
Wa la saba wanatosha!!!
Kama kusoma haya madogo waliyotafuniwa vipi mikataba na kujadili mambo yenye kuhitaji maarifa na akili?
 
Mwenzenu kaweka Hadi reference, Nyie mnamshambulia yeye Kama yeye. Tatizo Ni Nini mataga?
Mkuu hilo ni zao la elimu yetu,unaanzaje kubishana na msomi na wewe ni mweupe kichwani mataga yaache yaendelee kutaga mayai.
 
Tatizo ulifundishwa na Waalimu ambao pia Ni failure Mama wewe ikapelekea na wewe ukafeli na bahati mbaya zaidi HUJUI kama Hujui.
Tuna kitu kinaitwa DOLA na kwa waalimu na wakufunzi waliotufundisha sisi wengine, kwa Kiingereza tuna State. Dola ndiyo yenye Mihimili Mi 3. Mmoja ni Serikali, mwingine ni Bunge, na wa Mwisho ni Mahakama. Ukisoma Katiba ya JMT Ibara ya 4, utaelewa angalau kidogo. Kwa kiingereza ambacho ni cha elimu ya juu, tuna 3 Arms of State ambazo ni 1. Executive (Government) 2. Legislature (Parliament) na 3. Judiciary.

Huyo Mwalimu aliekufundisha 3 Branches of the Government, aidha yeye mwenyewe ndie tatizo, au Mtaala uliotumika kukufundisha (ambao naamini ulitungwa kutengeneza VILAZA wengi kama ulivyo lengo likiwa kuendelea kuwatawala)

Kama hadi hapa utakuwa mbishi, basi endelea kutetea 7000/ yako.
Umemalizaaaaaaaaaaah
 
AG kiazi, no wonder ofisi yake inaandika sheria za hovyo hovyo.
Hili ni kipindi kigumu sana katika historia ya Tanzania.
#1 mwenyewe ni mashaka matupu katika uelewa wa sheria na katiba, huku Spika ni utata mtupu maana hapo hakuna kitu kabisa ni ubabe tuu. Sasa AG naye kumbe ndio walewale?
Hiki ni kipindi kigumu na kibaya sana katika historia ya nchi.
 
Back
Top Bottom