Fatma Karume, yanayofanywa na Kambole ni sahihi?

Fatma Karume, yanayofanywa na Kambole ni sahihi?

soma post#5, usiwe moved na ccm! kujitokeza kuwatetea watu ambao unahisi hawakutendew haki haikatazwi! Achana na oxford dictionary, eveybody is aware of its existene, judicial notice I can say!
hajaweka tangazo kuwa mimi ni wakili mashuhuri njoo upate msaada


Hakuna anayepinga wajibu wa Wakili kama Kambole kutetea haki za Raia. Tunachozungumza ni taratibu zinazotumika kuwaleta kwake anaotaka kuwatetea. Sheria za Msaada wa Sheria zimeweka utaratibu. Sio wa ku solicit wateja namna hii. Champentry....ina maana yeye hajui njinsi bora ya kufikia hao waathirika? Kwa kutumia mitandao huoni kama inafika hata kwa wasio walengwa?. Wakili sio Hakimu au Jaji, ni Afisa wa Mahakama, ukishawishi wananchi wakuletee kesi na ikitokea humeshindwa katika kesi hiyo unawaambia nini uliowashawishi?

Kambole asifanye siasa kwenye taaluma.
 
Hili jambo msiligeuze kuwa la kisiasa,yule dogo anahitaji msaada wa kutoka kwa mtu mwenye mlengo wwt kisiasa,kuweni na ubinadamu hata kidogo wakuu,kila kitu mnaweka siasa!
Msaada unaofuata maadili ya taaluma hauzuiwi...Hivi umesikia wapi Daktari akiita mathalani Waliathirika wa ajali waende katika Hospitali yake na yeye atawatibu??
 
It's doesn't matter watu wa sheria kwanza angalieni mnamsaidia vipi huyo kijana,hayo mengine mngeachana nayo kwanza
Msaada unaofuata maadili ya taaluma hauzuiwi...Hivi umesikia wapi Daktari akiita mathalani Waliathirika wa ajali waende katika Hospitali yake na yeye atawatibu??
 
Hivi kutaka kuwatetea ndio kusema kuwa hawana hatia? hakuna kosa lililotendeka? kituo hakikuchomwa?

Na kama wanadhani hao waliohukumiwa sio Wahusika, wao wanawajua wahusika halisi?
Nope adhabu yao ni Kali sana hailingani na kosa lao

Pia umri wao ulikuwa mdogo sana kisheria bado ni mtoto na kwa hio adhabu ni ukandamizaji .

Hakimu naona alikuwa anatafuta misifa kwa jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada unaofuata maadili ya taaluma hauzuiwi...Hivi umesikia wapi Daktari akiita mathalani Waliathirika wa ajali waende katika Hospitali yake na yeye atawatibu??
Acha hizo, bwana. Tumeona matangazo mengi kuwa kuna madaktari bingwa wanatoa msaada wa matibabu watu waje na ada ni kidogo. Je hilo ni kosa?
Huyu hajaita wateja kama biashara, ameguswa na kifungo cha maisha anataka kuwatetea. Ni tofauti na mtu anayeweka tangazo kuwa mimi ni wakili mashuhuri njoo nikupe msaada wa kisheria. Kabombe haombi ajira kwa hawa watoto, wamlipe, elewa hiyo essence ya kuwaita... motive behind
Ebu soma hii ingawa ni from other jurisdiction lakini hivi vifungu ni pari materiale na vya kwetu!
:
Rule 7.3 Solicitation of Clients - Comment

[1] Paragraph (b) prohibits a lawyer from soliciting professional employment by live person-to-person contact when a significant motive for the lawyer’s doing so is the lawyer’s or the law firm’s pecuniary gain. A lawyer’s communication is not a solicitation if it is directed to the general public, such as through a billboard, an Internet banner advertisement, a website or a television commercial, or if it is in response to a request for information or is automatically generated in response to electronic searches.
 
Hakuna anayepinga wajibu wa Wakili kama Kambole kutetea haki za Raia. Tunachozungumza ni taratibu zinazotumika kuwaleta kwake anaotaka kuwatetea. Sheria za Msaada wa Sheria zimeweka utaratibu. Sio wa ku solicit wateja namna hii. Champentry....ina maana yeye hajui njinsi bora ya kufikia hao waathirika? Kwa kutumia mitandao huoni kama inafika hata kwa wasio walengwa?. Wakili sio Hakimu au Jaji, ni Afisa wa Mahakama, ukishawishi wananchi wakuletee kesi na ikitokea humeshindwa katika kesi hiyo unawaambia nini uliowashawishi?

Kambole asifanye siasa kwenye taaluma.

Ulikuwa wapi muda wote?
 
Acha hizo, bwana. Tumeona matangazo mengi kuwa kuna madaktari bingwa wanatoa msaada wa matibabu watu waje na ada ni kidogo. Je hilo ni kosa?
Huyu hajaita wateja kama biashara, ameguswa na kifungo cha maisha anataka kuwatetea. Ni tofauti na mtu anayeweka tangazo kuwa mimi ni wakili mashuhuri njoo nikupe msaada wa kisheria. Kabombe haombi ajira kwa hawa watoto, wamlipe, elewa hiyo essence ya kuwaita... motive behind
Ebu soma hii ingawa ni from other jurisdiction lakini hivi vifungu ni pari materiale na vya kwetu!
:
Rule 7.3 Solicitation of Clients - Comment

[1] Paragraph (b) prohibits a lawyer from soliciting professional employment by live person-to-person contact when a significant motive for the lawyer’s doing so is the lawyer’s or the law firm’s pecuniary gain. A lawyer’s communication is not a solicitation if it is directed to the general public, such as through a billboard, an Internet banner advertisement, a website or a television commercial, or if it is in response to a request for information or is automatically generated in response to electronic searches.
Tafuta Kanuni za Tanzania we mzee
 
Hakuna anayepinga wajibu wa Wakili kama Kambole kutetea haki za Raia. Tunachozungumza ni taratibu zinazotumika kuwaleta kwake anaotaka kuwatetea. Sheria za Msaada wa Sheria zimeweka utaratibu. Sio wa ku solicit wateja namna hii. Champentry....ina maana yeye hajui njinsi bora ya kufikia hao waathirika? Kwa kutumia mitandao huoni kama inafika hata kwa wasio walengwa?. Wakili sio Hakimu au Jaji, ni Afisa wa Mahakama, ukishawishi wananchi wakuletee kesi na ikitokea humeshindwa katika kesi hiyo unawaambia nini uliowashawishi?

Kambole asifanye siasa kwenye taaluma.
Nashidwa kuelewa povu hapa linatoka wapi. Asaidiwe mwingine walalamike wengine. Cha maana sheria inaruhusu mtu kutetewa mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome hiyo oxford dictionary inasemaje kuhusu juvenile deliquency halafu uje tena
Ninachokiona sasa Tanzania ni ngumu kujua kama elimu ya uraia imetukaa sawa sawa maana hakuna mahali watu wanatofautisha maisha ya sisi wananchi kama na maisha siasa na wanasiasa, majukumu ya vyomba vya dola,mihimili ya serikali dhidi ya wananchi,tumeweka siasa kwenye vidole kiwango ambacho tunashindwa hata kujua haki zetu binafsi au haki ya jirani yako ,hatueleweki tunaenda na upepo unakovuma.Nilidhani bila kujali vyama wote kwanza tungeona ile hukumu ni execessive na haija balance Kwa kuwa hakimu hajarudi nyuma ya pazia kuona motive behind ya ile sheria kwa kutest tendo na nia tukio lilikuwa extra judicial ambapo mara nyingi adhabu huwa ni compansation kwa kuwa huwezi kusema exactly nani aliwasha.Halafu pia kipi ni faida kutoa compansation au sentence kwa maoni yangu hakimu angeondoka kwenye arson na kurely on damage or destruction of property kwa kuwa sheria inatoa huo mwanya.mwisho kanuni ya mpende jirani "love your neighbour" ina nguvu kuliko kanuni za kisheria.
 
Back
Top Bottom