Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Yaani wanaforce tu ila hata wanachokiongea sidhani kama wenyewe wanakielewa.Katiba mpya ni muhimu Sana, Kuna vyeo ni vya kufutwa tu.
Aisee Mungu atusaidie tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanaforce tu ila hata wanachokiongea sidhani kama wenyewe wanakielewa.Katiba mpya ni muhimu Sana, Kuna vyeo ni vya kufutwa tu.
Hata wakiwa hawana uwezo wapewe tu aiseeKama Wana uwezo wapewe
Uwezo wanao mkubwa sana wa kujaza vyoo na ufisadi uliotukukaKama Wana uwezo wapewe
Yule wa Kigamboni ni Fatuma Almasi Nyangasa dada ake mwimbaji wa kuitwa Mwasiti!Futuma ndo yule aliyekuwa DC Kigamboni ???!
Huyu aliwahi kuwa RC kule Tabora kipindi Cha JK naamini wote tunaelewa anaemlipa mpiga zumari.Futuma ndo yule aliyekuwa DC Kigamboni ???!
Siyo Watanzania na hawana sifa? Naomba kujua.🙏🙏🙏Uteuzi wa wamama haws wawili unadhihirisha tatizo kubwa la Mamlaka ya Urais wa Kisultani hapa Tanzania. Miaka yote Marais wetu wamekuwa wakigawa nafasi za URC na UDC kwa marafiki , maswahiba na hata wapenzi wao.
I nachukia sana . Tabia hizi zilikuwa bayana wakati wa JK, zikaota mizizi kwa JPM. Sasa Samia naye kishaamua liwalo na liwe. Anagawa teuzi kwa Ndugu na Jamaa. Alianza na Ma DC wachache akiwamo yule binti wa Mkuranga. Leo angalia akina Fatma mwasa ambaye yupo kwenye NGO ya Wanu Mtoto w Rais. Anyway moyoni anasema mbona Magufuli alifanya wacha na mie nifanye tu.
Tafuta Connection za maaana achana na kutaka zile zenu za kutumiana tu.Uteuzi wa wamama haws wawili unadhihirisha tatizo kubwa la Mamlaka ya Urais wa Kisultani hapa Tanzania. Miaka yote Marais wetu wamekuwa wakigawa nafasi za URC na UDC kwa marafiki , maswahiba na hata wapenzi wao.
I nachukia sana . Tabia hizi zilikuwa bayana wakati wa JK, zikaota mizizi kwa JPM. Sasa Samia naye kishaamua liwalo na liwe. Anagawa teuzi kwa Ndugu na Jamaa. Alianza na Ma DC wachache akiwamo yule binti wa Mkuranga. Leo angalia akina Fatma mwasa ambaye yupo kwenye NGO ya Wanu Mtoto w Rais. Anyway moyoni anasema mbona Magufuli alifanya wacha na mie nifanye tu.
Mwenzangu na mie 😀😀😀😀😀😀Hahahaaaa, ulitaka rais aote asiowajua ndio awateuwe?
Success is all about connections.
Kama na wewe ni mwenzangu na mie, basi tutulie tu!
Na ndo watakupigia kura hao hao mheshimiwa rais wa ndugu zako na wanakijijini kwako.Tena Samia ana huruma sana. Mm nikiwa rais watoto wangu, shemeji zangu na ndugu zangu wote ndiyo watapewa uwaziri.
IGP, CDF, DCI, DPP, gavana, ma(RPC, RAS, DAS, DC, DEO, REO et.c) watakuwa watu wa kutoka kijijini kwangu tu.
China hamnaHizi ndizo hulka za kisiasa zipo dunia nzima. Vigumu SSH awaache wana CCM wenzake aje ampe ukuu wa mkoa Halima Mdee!. Hata kama anaiva nae vizuri hao wana CCM wenzake watamshangaa na kumsimanga.
kauli ya kijinga sana.Kama Wana uwezo wapewe
Kijiji chenu wasomi wako wawili tu hai wengine utawatoa wapiTena Samia ana huruma sana. Mm nikiwa rais watoto wangu, shemeji zangu na ndugu zangu wote ndiyo watapewa uwaziri.
IGP, CDF, DCI, DPP, gavana, ma(RPC, RAS, DAS, DC, DEO, REO et.c) watakuwa watu wa kutoka kijijini kwangu tu.