Fatma Mwasa na Halima Dendego taswira halisi ya 'unamjua nani'

Fatma Mwasa na Halima Dendego taswira halisi ya 'unamjua nani'

Uteuzi wa wamama haws wawili unadhihirisha tatizo kubwa la Mamlaka ya Urais wa Kisultani hapa Tanzania. Miaka yote Marais wetu wamekuwa wakigawa nafasi za URC na UDC kwa marafiki , maswahiba na hata wapenzi wao.

I nachukia sana . Tabia hizi zilikuwa bayana wakati wa JK, zikaota mizizi kwa JPM. Sasa Samia naye kishaamua liwalo na liwe. Anagawa teuzi kwa Ndugu na Jamaa. Alianza na Ma DC wachache akiwamo yule binti wa Mkuranga. Leo angalia akina Fatma mwasa ambaye yupo kwenye NGO ya Wanu Mtoto w Rais. Anyway moyoni anasema mbona Magufuli alifanya wacha na mie nifanye tu.
jana si ulimsikia kauli yake?huenda haya malalamiko anayapata.alisema ati yeye hachagui myu kwa kufahamiana,udini,ukanda nk.
Source ITV taarifa ya habari ya saa2 kamili usiku wakati akiwaapisha wateule wake.
 
Eeennh connection inahusika sisi tusiwajua tubaki na mifagio yetu tuchape kazi.
 
Hizi ndizo hulka za kisiasa zipo dunia nzima. Vigumu SSH awaache wana CCM wenzake aje ampe ukuu wa mkoa Halima Mdee!. Hata kama anaiva nae vizuri hao wana CCM wenzake watamshangaa na kumsimanga.
Sio dunia nzima. Nchi za kimaskini sana ndio kuna nepotism.
 
Hahahaaaa, ulitaka Rais aote asiowajua ndio awateuwe?
Success is all about connections.
Kama na wewe ni mwenzangu na mie, basi tutulie tu!
Haswaa.anataka kujifanya na yeye akbgekua yeye asingeleta anaowajua. Bahat ya mwenziwe asilalie mlango waz
 
Nigusie dc wa mkuranga,alikuwa na mafungamano GANI na Mheshimiwa?
Huyu ni mtoto wa mama mona ambaye ni rafiki wa karibu na mteuzi. Wanapika pamoja. Alikuwa Mbunge Viti Maalum Vijana akaangukia pua uchaguzi uliopita. Alisomea stashahada Malysia Miaka ya nyuma wakti Sisco Mtiro ni Balozi wetu pale Kuala Lumper.
 
Miaka yote Marais wetu wamekuwa wakigawa nafasi za URC na UDC kwa marafiki , maswahiba na hata wapenzi wao.
Mbona huyu amewapa wanawake wenzake au alitaka afanyeje
 
Back
Top Bottom