Fatma/Shangazi, bado hajamuelewa mama yake

Fatma/Shangazi, bado hajamuelewa mama yake

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Fatma naona ana vita binafsi na Comrade Mwingulu, kweli swala la tozo angekuwa yeyote hata yeye Shangazi angefanya kama anavyofanya Comrade Mwingulu. Ndiyo kiapo chake kinavyotaka kupokea maelekezo ya mamlaka za juu yake mfano bunge na kutekeleza, kama hutaki maelekezo andika barua ya kujiuzulu Uwaziri mara moja.

Pia ni makubaliano ya kamati mbalimbali na wabunge waliopitisha tozo kwa pamoja wameamua iwe hivyo ili tuweze kutoka tulipo nashauri tulipe tu Shangazi tulia, haitatokea kodi ikalipwa kwa hiari duniani kote.

Kingine kuhusu picha ya uliyempendekeza, ukishakuwa CAG basi kikatiba hakuna tena namna. Kuwa waziri iwe wa fedha au wa tozo.

Tulipe tozo tusubiri maendeleo, tupunguze mijadala.
 
Fatma naona ana vita binafsi na Comrade Mwingulu, kweli swala la tozo angekuwa yeyote hata yeye Shangazi angefanya kama anavyofanya Comrade Mwingulu. Ndiyo kiapo chake kinavyotaka kupokea maelekezo ya mamlaka za juu yake mfano bunge na kutekeleza, kama hutaki maelekezo andika barua ya kujiuzulu Uwaziri mara moja.

Pia ni makubaliano ya kamati mbalimbali na wabunge waliopitisha tozo kwa pamoja wameamua iwe hivyo ili tuweze kutoka tulipo nashauri tulipe tu Shangazi tulia, haitatokea kodi ikalipwa kwa hiari duniani kote.

Kingine kuhusu picha ya uliyempendekeza, ukishakuwa CAG basi kikatiba hakuna tena namna. Kuwa waziri iwe wa fedha au wa tozo.

Tulipe tozo tusubiri maendeleo, tupunguze mijadala.
Malizia "Uzi tayari"
 
Hicho kishangazi mavi kinatumwa tu kuchafua hali ya hewa hata akili zake ni mavi mavi tu...hivi waziri wa fedha anaweza yeye mwenyewe kujiwekea tozo bila kukubaliwa na boss wake ambae ni dada wa hicho kishangazi mavi mla urojo mwenzake. Pumbavu kabisa kijitu kimesomeshwa na kodi zetu kazi kutoa ushuzi tu. Waziri wa fedha anaelekezwa kazi zake nyingi na bunge na kuidhinishwa na rais mwenyewe. shangazi mavi hebu tulia...nyanoko.
 
Hicho kishangazi mavi kinatumwa tu kuchafua hali ya hewa hata akili zake ni mavi mavi tu...hivi waziri wa fedha anaweza yeye mwenyewe kujiwekea tozo bila kukubaliwa na boss wake ambae ni dada wa hicho kishangazi mavi mla urojo mwenzake. Pumbavu kabisa kijitu kimesomeshwa na kodi zetu kazi kutoa ushuzi tu. Waziri wa fedha anaelekezwa kazi zake nyingi na bunge na kuidhinishwa na rais mwenyewe. shangazi mavi hebu tulia...nyanoko.
Kuna haja gani yakuweka matusi makubwa makubwa hapa, kama tozo zina umuhimu lipa kwa moyo mmoja, kwasisi tunaomumia na tozo ambao kipato chetu ni duni hatuna bima wala misaada ya serikali na bado tuna Tozo tukilipa huku tunalalamika kunashida gani ? Ifike pahala tuheshimu maana ya democracy na kutokukubaliana ni kawaida.
 
Hicho kishangazi mavi kinatumwa tu kuchafua hali ya hewa hata akili zake ni mavi mavi tu...hivi waziri wa fedha anaweza yeye mwenyewe kujiwekea tozo bila kukubaliwa na boss wake ambae ni dada wa hicho kishangazi mavi mla urojo mwenzake. Pumbavu kabisa kijitu kimesomeshwa na kodi zetu kazi kutoa ushuzi tu. Waziri wa fedha anaelekezwa kazi zake nyingi na bunge na kuidhinishwa na rais mwenyewe. shangazi mavi hebu tulia...nyanoko.
Enzi za mzee wa chato,ilikuwa jambo likifanywa hata na Mtendaji wa Kata,utasikia wanasema katumwa/ kaelekezwa na Magu afanye hivo. Ila kwa sasa jambo hata akifanya waziri,utasikia mkuu kabisa kule hausiki,bali ni waziri mwenyewe.
Mwenye tozo zake yupo na huwa anajitokeza hadharani kuzitetea,lakini watu hawamuoni bali wamekomaa na Mwigulu
 
Kuna haja gani yakuweka matusi makubwa makubwa hapa, kama tozo zina umuhimu lipa kwa moyo mmoja, kwasisi tunaomumia na tozo ambao kipato chetu ni duni hatuna bima wala misaada ya serikali na bado tuna Tozo tukilipa huku tunalalamika kunashida gani ? Ifike pahala tuheshimu maana ya democracy na kutokukubaliana ni kawaida.
Tatizo sio kukubaliana au kutokubaliana na tozo, tatizo ni hicho kishangazi mavi kujifanya kusema waziri wa fedha kama yeye aloleta tozo,bila kuidhinishwa na bunge na huyo mama hangaya. Halafu eti kinaweka mbadala huyo CAG hovyo alietumbuliwa na mwendazake, ndio aje awe waziri wa fedha. sasa hizo ni akili kweli au mavi tu? watu wenye weledi wameisha hadi chenyewe ndio kitoe hilo jina la huyo CAG ???hovyoo kabisa.
 
Back
Top Bottom