Fatuma Karume aambiwe sheria za Asili (za Mungu) hazipitwi na wakati


Hiyo nani kasema ndio hiyo unayoambiwa mambo ya asili.
 
Mzee mbn unapenda kujumuisha watu ...?
Eti Watanzania ni wanafiki,hivi ulipita kwa kila Mtanzania mmoja mmoja ukauona huo unafiki??
Kwanini usijitaje mwenyewe kwamba ni mnafiki?....unatetea upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…