Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaHapo ndipo napompendea Fatuma. Hamung'unyi maneno
Ni Aibu sanahiyo ndio tafauti kati ya mtu aliye soma na kuelimika, mtu aliye soma kwaajiri ya vyeti tu. Tulia Acksoni ni mfano mzuri wa wasomi wa vyeti ,wapumbavu kuwahi kutokea.
Tutahakikisha harudi bungeniSijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.
Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.
Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.
Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.
Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
Mwambie ukweli wakili msomi!Japo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).
Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa na watu wa Mfumo waliotumwa na Wakubwa.
Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume
View attachment 3092854View attachment 3092855
Kwa Udi na uvumbaKwa namna ipi?
Kupiga kura?
Kamwe msomi huwa hatumiki kama kopo la chooni, msomi huongozwa na utashi wake na elimu yake towards the truthTulia Acksoni ni mfano mzuri wa wasomi wa vyeti ,wapumbavu kuwahi kutokea.
Kimejitokeza kuandika huo uharo baada ya Rais kutoa tamko "uchawa" her mindset is not self directedJapo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).
Kasema ukweli Fatma KarumeJapo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).
Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa na watu wa Mfumo waliotumwa na Wakubwa.
Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume
View attachment 3092854View attachment 3092855