Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao

Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao

Nawapongeza sana aisee
Kuna namna watanzania tumepunguza unafiki
Hatupepesi macho.

Hadi wale anawapaga hela wote wanamchamba😂😂
ETi Go baba go ,mnafiki mkubwa😂
Na hajui hata matumizi ya maneno ya kiingereza mahali sahihi..."go baba go"...!Huko siyo kumpongeza mtu kwa kufariki?Amefanya kitu kinaitwa "one to one correspondent translation "/tafsiri sisisi kutoka kiswahili kwenda "kingledha" ambapo havipatani.Shule na lugha ni shida.Vyeti vyake akafungie mbalagha!🤔
 
Japo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).

Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa

Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume

Soma Pia: Kuelekea 2025 - Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Tulia hajatulia,, Kabisaaa
 
Na hajui hata matumizi ya maneno ya kiingereza mahali sahihi..."go baba go"...!Huko siyo kumpongeza mtu kwa kufariki?Shule na lugha ni shida.Vyeti vyake akafungie mbalagha!🤔
Kuna comment nimeinukuu
Mwanafb kaandika kuwa Tulia anasema go baba go
Mnafiki mkubwa 🤣

Jamani
Mimi sina Cha kucomment
Huko fb na Insta wamemaliza kazi kwenye page zake.
 
Sijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.

Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.

Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.

Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.

Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
Utachelewa sana kwa viongozi hawa tatizo wengi hawana hofu na siku ya malipo kwa kila ulichokitenda
 
Tulia asome comments kwenye mitandao yake ya kijamii alipoweka hii post, ataelewa vizuri wananchi wanamchukuliaje.

Haiwezekani katika hali ya kawaida kati ya waliotoa maoni 1000 waliokuunga mkono wawe watatu tu!
Unadhani hajasoma?
Ni vile amejitia hazioni leo.

Si anasomaga comments za watu mara kawatumia hela waliomuomba.

Jana comments zimemkalia vibaya.
 
Sijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.

Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.

Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.

Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.

Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
Sure huyu maza ni mtawala kuna gape kubwa sana kati yake na wananchi.
 
Kuwa na mtu kama Tulia spika wa Bunge, ni miongoni mwa laana kwa nchi. Haka kamama ni kashirikina kalikojaa roho mbaya. Mbeya wafanye kila namna kasirudi Bungeni. Hata kama mbunge atatoka CCM, basi asiwe Tulia.WanaMbeya, tuondoleeni hiyo laana.
 
Japo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).

Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa

Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume

Soma Pia: Kuelekea 2025 - Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Kapatwa kweli kweli.
 
Sijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.

Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.

Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.

Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.

Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
Akiweza kubadilika na kuwa kiongozi
Basi atakuwa kiongozi mzuri kuwahi kutokea
She is very smart,basi tu.
 
Kuwa na mtu kama Tulia spika wa Bunge, ni miongoni mwa laana kwa nchi. Haka kamama ni kashirikina kalikojaa roho mbaya. Mbeya wafanye kila namna kasirudi Bungeni. Hata kama mbunge atatoka CCM, basi asiwe Tulia.WanaMbeya, tuondoleeni hiyo laana.
Uchakachuzi ukiwepo Mbeya watafanya nini?

Sasahivi wametindua barabara
Wametuachia mvumbi
Ujenzi umesimama.

Wanataka vumbi litupige
Baadaye waje na ushujaa wa kumalizia.

Upuuzi mtupu.
 
Uchakachuzi ukiwepo Mbeya watafanya nini?

Sasahivi wametindua barabara
Wametuachia mvumbi
Ujenzi umesimama.

Wanataka vumbi litupige
Baadaye waje na ushujaa wa kumalizia.

Upuuzi mtupu.
Ni kuwa wakali na walinzi wa kura.Kwani kipindi cha nyuma kilikuaje hadi ushindi?Ni yule kiongozi wa malaika wabaya ndiye alichafua.He has to rot in hell!
 
Hii ni habari njema, kama uchaguzi ujao mtakuwa mmepata uwezo wa the capacity and capability kuhakikisha nani anarudi bungeni na nani harudi, ningeshauri uwezo huo pia utumike pale patakatifu petu kwasababu mpaka hapa ninapoandika anayeamua mshindi wa uchaguzi sio mpiga kura bali ni muhesabu kura, naomba nisikuulize mtahakikishaje fulani harudi bungeni bali nawasubiria kwenye kupima matokeo.
Hongereni sana kwa uwezo huo mpya mlio nao sasa.
P
Anko naona kabisa hii imekugusa sasa kama mpaka wewe umefikia hali hii kuna hatari naiona mbeleni huko
 
Back
Top Bottom