Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Nawapongeza sana aiseeSisi wa JF ndio wa insta na FB.
Kuna namna watanzania tumepunguza unafiki
Hatupepesi macho.
Hadi wale anawapaga hela wote wanamchamba😂😂
ETi Go baba go ,mnafiki mkubwa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapongeza sana aiseeSisi wa JF ndio wa insta na FB.
Tatizo lako we ni slow learner 😅That wasn't in a grammatical order rather than balancing the stanza/verse.Be careful chap!🤣🤣🤣🤣🙏
Ni very inquisitive na mfuatiliaji mkeraji.Ni hilo linalokutesa.Asanti sana muhishimiwa.😂😂😂😂🙏Tatizo lako we ni slow learner 😅
Na hajui hata matumizi ya maneno ya kiingereza mahali sahihi..."go baba go"...!Huko siyo kumpongeza mtu kwa kufariki?Amefanya kitu kinaitwa "one to one correspondent translation "/tafsiri sisisi kutoka kiswahili kwenda "kingledha" ambapo havipatani.Shule na lugha ni shida.Vyeti vyake akafungie mbalagha!🤔Nawapongeza sana aisee
Kuna namna watanzania tumepunguza unafiki
Hatupepesi macho.
Hadi wale anawapaga hela wote wanamchamba😂😂
ETi Go baba go ,mnafiki mkubwa😂
Tulia hajatulia,, KabisaaaJapo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).
Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa
Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume
Soma Pia: Kuelekea 2025 - Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"
Kuna comment nimeinukuuNa hajui hata matumizi ya maneno ya kiingereza mahali sahihi..."go baba go"...!Huko siyo kumpongeza mtu kwa kufariki?Shule na lugha ni shida.Vyeti vyake akafungie mbalagha!🤔
Utachelewa sana kwa viongozi hawa tatizo wengi hawana hofu na siku ya malipo kwa kila ulichokitendaSijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.
Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.
Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.
Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.
Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
And,we don't have to hate death.We have to fear death as long as we have not repented our sins.Aelewe hilo.Hujafa,hujaenda mbinguni!Kama anachukia kifo basi angechukia na utekaji...
Unadhani hajasoma?Tulia asome comments kwenye mitandao yake ya kijamii alipoweka hii post, ataelewa vizuri wananchi wanamchukuliaje.
Haiwezekani katika hali ya kawaida kati ya waliotoa maoni 1000 waliokuunga mkono wawe watatu tu!
Sure huyu maza ni mtawala kuna gape kubwa sana kati yake na wananchi.Sijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.
Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.
Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.
Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.
Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
Anao muda wa kujitafakari na kujiweka sehemu sahihi.Asitetee cheyo kuliko utu na hekima.Ingawa siku hizi hekima haiuzwi dukani.Sure huyu maza ni mtawala kuna gape kubwa sana kati yake na wananchi.
Kapatwa kweli kweli.Japo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).
Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa
Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume
Soma Pia: Kuelekea 2025 - Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"
Akiweza kubadilika na kuwa kiongoziSijawahi kumuelewa kabisa huyo Dada.
Sina hakika kama kuna changamoto yeyote iliyohusisha pande mbili kati ya upande wa wenye nguvu na upande wa wananchi.
Halafu huyo dada akasimamia upande wa wananchi ambao ndio ulimpa dhamana ya kuwatetea.
Ana asili ya kiutawala na hicho sio kitu ambacho wananchi wanakihitaji.
Wananchi tunahitaji sana mtu mwenye asili ya kiuongozi, kiongozi ni mtu atayeweza kubeba matatizo yetu na kuyachukulia serious kama limemtokea yeye.
Mtu shirikishe na za huko hapaInsta umesoma? 😂 Ni hatari!
Uchakachuzi ukiwepo Mbeya watafanya nini?Kuwa na mtu kama Tulia spika wa Bunge, ni miongoni mwa laana kwa nchi. Haka kamama ni kashirikina kalikojaa roho mbaya. Mbeya wafanye kila namna kasirudi Bungeni. Hata kama mbunge atatoka CCM, basi asiwe Tulia.WanaMbeya, tuondoleeni hiyo laana.
Ni kuwa wakali na walinzi wa kura.Kwani kipindi cha nyuma kilikuaje hadi ushindi?Ni yule kiongozi wa malaika wabaya ndiye alichafua.He has to rot in hell!Uchakachuzi ukiwepo Mbeya watafanya nini?
Sasahivi wametindua barabara
Wametuachia mvumbi
Ujenzi umesimama.
Wanataka vumbi litupige
Baadaye waje na ushujaa wa kumalizia.
Upuuzi mtupu.
Anko naona kabisa hii imekugusa sasa kama mpaka wewe umefikia hali hii kuna hatari naiona mbeleni hukoHii ni habari njema, kama uchaguzi ujao mtakuwa mmepata uwezo wa the capacity and capability kuhakikisha nani anarudi bungeni na nani harudi, ningeshauri uwezo huo pia utumike pale patakatifu petu kwasababu mpaka hapa ninapoandika anayeamua mshindi wa uchaguzi sio mpiga kura bali ni muhesabu kura, naomba nisikuulize mtahakikishaje fulani harudi bungeni bali nawasubiria kwenye kupima matokeo.
Hongereni sana kwa uwezo huo mpya mlio nao sasa.
P
Nape Nnauye Alisha litolea ufafanuzi suala la kura.😥Kwa namna ipi?
Kupiga kura?