Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao

Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao

hiyo ndio tafauti kati ya mtu aliye soma na kuelimika,na mtu aliye soma kwaajiri ya vyeti tu. Tulia Acksoni ni mfano mzuri wa wasomi wa vyeti ,mapumbavu kuwahi kutokea.
Kauli yake mbeya kuwambia wananchi washighulike na watu wanao isema serikali ilinifanya nimuone mtu wa hovyo sana sana sana
 
Halafu huyu Tulia, yaani yeye she hates death ambayo inatokana na utekaji na uuaji wa watu wa vyama vya upinzani tu? Kama huku sio kutafuta kiki za kisiasa, ni mara ngapi amefanya jitihada za kukomesha mambo mengine yanayosababisha vifo vingi sana vya watanzania kuliko hata hili la utekaji?

Kwa mfano, vifo vya watu wanaouliwa na polisi wakiwa wameshikiliwa mahabusu, ameonyeshaje she hates death? Au hata vifo vya maelefu ya Watanzania kutokana na uzembe wa TANROADS kurekebisha barabara kwa sababu hawatumii fungu la road maintanance ipasavyo, kwa nini hatusikii Bunge likipitisha mjadala kwamba fedha za road maintanance kutoka bei ya mafuta lazima zitumike kwa lengo husika? Lini tutasikia Bunge likisema kila kifo kinachotokana na ajali inayotokana na TANROADS kuzembea kurekebisha barabara, TANROADS watawajibika pamoja na kulipa fidia kwa sababu fedha za kurekebisha barabara zinachangwa kwa wingi kupitia kununua diesel na petroli?

No Tulia, you are lying, you dont hate death, unless you mean you hate the anticipated death of CCM, implying the death of Kibao was justifiable in trying to delay that.
Nadhani mkuu haujauelewa 'utamaduni' wa machawa kumbe!

Samia alivyoonesha kuguswa ndiyo naye katoka uchochoroni kufuatisha kuigiza kulaani na kusikitika.

Hapo bado utasikia matawi mbali mbali ya chama yakiunga mkono kauli ya Rais na kulaani mauaji hayo.
 
Japo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).

Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa

Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume

Soma Pia: Kuelekea 2025 - Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Mbeya imetupa spika wa ajabu sana ktk historia ya Tanzania,yaani wanyakyusa na ujanja wao wote kaone spika wa kutoka Mbeya sijawai ona hovyo kama hii.
 
Huyu Tulia Acksony ni spika wa nunge wa ovyo kabisa kupata kutokea toka Tz IPATE uhuru. Huyu ni zero brain
 
Tulia asome comments kwenye mitandao yake ya kijamii alipoweka hii post, ataelewa vizuri wananchi wanamchukuliaje.

Haiwezekani katika hali ya kawaida kati ya waliotoa maoni 1000 waliokuunga mkono wawe watatu tu!
Hajali maoni ya watu yanasemaje, yeye anajali kuilinda serekali. Kwa hapa kwetu maoni ya watu hayana nguvu bali mabavu ya serekali.
 
Mbeya msituangushe 2025 hako kabibi kama kachawi.
 
Kamwe msomi huwa hatumiki kama kopo la chooni, msomi huongozwa na utashi wake na elimu yake towards the truth
Kuna msemo mh.Gambo akiwa DC bagamoyo alisema wadada wengine wanatusumbua hapa na degree za chupi 😁
 
Hivi ukiwa ccm ni lazima ushabikie uovu na dhuluma?
Ni mambo ya aibu sana kwenu ccm ni as if mmefunga ndio na yule mwovu shetani!
 
Back
Top Bottom