Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Watu kama Tulia wpo wengi sanahiyo ndio tafauti kati ya mtu aliye soma na kuelimika,na mtu aliye soma kwaajiri ya vyeti tu. Tulia Acksoni ni mfano mzuri wa wasomi wa vyeti ,mapumbavu kuwahi kutokea.
Huyu hafaiiiHaka kachawi nilikachukia tangia Bandari sikapendi.
Kauli yake mbeya kuwambia wananchi washighulike na watu wanao isema serikali ilinifanya nimuone mtu wa hovyo sana sana sanahiyo ndio tafauti kati ya mtu aliye soma na kuelimika,na mtu aliye soma kwaajiri ya vyeti tu. Tulia Acksoni ni mfano mzuri wa wasomi wa vyeti ,mapumbavu kuwahi kutokea.
Nadhani mkuu haujauelewa 'utamaduni' wa machawa kumbe!Halafu huyu Tulia, yaani yeye she hates death ambayo inatokana na utekaji na uuaji wa watu wa vyama vya upinzani tu? Kama huku sio kutafuta kiki za kisiasa, ni mara ngapi amefanya jitihada za kukomesha mambo mengine yanayosababisha vifo vingi sana vya watanzania kuliko hata hili la utekaji?
Kwa mfano, vifo vya watu wanaouliwa na polisi wakiwa wameshikiliwa mahabusu, ameonyeshaje she hates death? Au hata vifo vya maelefu ya Watanzania kutokana na uzembe wa TANROADS kurekebisha barabara kwa sababu hawatumii fungu la road maintanance ipasavyo, kwa nini hatusikii Bunge likipitisha mjadala kwamba fedha za road maintanance kutoka bei ya mafuta lazima zitumike kwa lengo husika? Lini tutasikia Bunge likisema kila kifo kinachotokana na ajali inayotokana na TANROADS kuzembea kurekebisha barabara, TANROADS watawajibika pamoja na kulipa fidia kwa sababu fedha za kurekebisha barabara zinachangwa kwa wingi kupitia kununua diesel na petroli?
No Tulia, you are lying, you dont hate death, unless you mean you hate the anticipated death of CCM, implying the death of Kibao was justifiable in trying to delay that.
??Kazi kweli kweli
let me continue to sip & whine
HakikaFatma, watu wa mbeya hatujawahi mpa huyu bibi ubunge, Jiwe ndo alimpa kwa njia haram
Mbeya imetupa spika wa ajabu sana ktk historia ya Tanzania,yaani wanyakyusa na ujanja wao wote kaone spika wa kutoka Mbeya sijawai ona hovyo kama hii.Japo inafahamika kwamba Tulia Ackson hana Aibu yoyote kutokana na uzoefu wake kwenye Mambo ya ajabu, Ukizingatia kwamba Alikuwa anatembea na Majeneza kule Mbeya wakati akisaka Ubunge (Ishara ya Ushirikina).
Hata hivyo Wakili Msomi Fatuma Karume amemuumbua kutokana na kujifanya kupata uchungu kwa kifo cha kishenzi cha Mzee Ally Kibao aliyeuawa
Angalia unafiki wa Tulia Ackson halafu angalia mawe ya Fatuma Karume
Soma Pia: Kuelekea 2025 - Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"
Tumedhalilishwa sanaMbeya imetupa spika wa ajabu sana ktk historia ya Tanzania,yaani wanyakyusa na ujanja wao wote kaone spika wa kutoka Mbeya sijawai ona hovyo kama hii.
Sana ndugu yangu.Tumedhalilishwa sana
Kwa hili box la kura la maigizo hakuna lolote atafanywa.TA hakukisheni mnawadhibu woote kwenye sanduku la kura.
Hajali maoni ya watu yanasemaje, yeye anajali kuilinda serekali. Kwa hapa kwetu maoni ya watu hayana nguvu bali mabavu ya serekali.Tulia asome comments kwenye mitandao yake ya kijamii alipoweka hii post, ataelewa vizuri wananchi wanamchukuliaje.
Haiwezekani katika hali ya kawaida kati ya waliotoa maoni 1000 waliokuunga mkono wawe watatu tu!
Ipo siku haki itatendeka kwa Mungu siyo kwa MzunguKwa hili box la kura la maigizo hakuna lolote atafanywa.
Kuna msemo mh.Gambo akiwa DC bagamoyo alisema wadada wengine wanatusumbua hapa na degree za chupi 😁Kamwe msomi huwa hatumiki kama kopo la chooni, msomi huongozwa na utashi wake na elimu yake towards the truth