Tetesi: Faustine Mafwele aliyetuhumiwa kumteka Sativa kupandishwa cheo kuwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar?

Tetesi: Faustine Mafwele aliyetuhumiwa kumteka Sativa kupandishwa cheo kuwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

millard.png

Mafwele ndio aliyetoa taarifa ya wafanyalazi wa LBL kukamatwa Dar akiwa kama Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar.

Screenshot_20250225_111902_Chrome.jpg

Mpaka anakaimu inamaanisha nafasi ya Kamanda iko wazi, je Muriro anahamishwa na nafasi hiyo anakuja kuchukua Mafwele?

Pia soma: Wafanyakazi wengine 26 wa LBL wakamatwa Dar. Faustine Mafwele atoa tamko!

Sativa alimtaja yeye kama moja ya waliohusika kwenye utekaji wake.... amewakosha kwa utendaji mpaka wameona aje kutuliza midomo wakati tunaeleka kwenye uchaguzi mkuu?

Pia soma: Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine Mafwele miongoni mwa askari waliomhoji Oysterbay alipotekwa
 
ww mleta mada kilaza..inamaana hujui maana ya kukaimu au ww unaelewa vp..kukaimu si kwamba mwenye ofisi hayupo kwa muda labda muliro yupo likizo au anaumwa basi anakaimisha madaraka ili kazi lazima ziendelee ofisini..isitoshe huyo mafwele ndio mkuu wa upelezi mkoa hio kesi ya hao matapeli inamuhusu..mtoa mada punguza hofu uko salama.
 
Inasemekana baadae atateuliwa kuwa mkuu wa jeshi la polisi
 
ww mleta mada kilaza..inamaana hujui maana ya kukaimu au ww unaelewa vp..kukaimu si kwamba mwenye ofisi hayupo kwa muda labda muliro yupo likizo au anaumwa basi anakaimisha madaraka ili kazi lazima ziendelee ofisini..isitoshe huyo mafwele ndio mkuu wa upelezi mkoa hio kesi ya hao matapeli inamuhusu..mtoa mada punguza hofu uko salama.
Umewahi kumuona akiwa amevalia hizo sare?!

Kukaimu kuko Kwa namna mbalimbali unaweza kujikuta wewe Ndio kilaza

Prof Juma alikaimu Ujaji mkuu kabla ya kuteuliwa rasmi nk...nk 😂😂
 
Wanaomjua Kamanda Faustine Mafwele wanakuambia kuwa ni mtu mkarimu sana ...

Huyu bwana ni mzalendo mno ,analipenda sana taifa hili....ni mtu mwepesi kusaidia wenye shida mbalimbali....

Picha anayotengenezewa ni tofauti na uhalisia......wapiga domo mitandaoni wamejaa ujinga mwingi sanaaaa.....
 
Umewahi kumuona akiwa amevalia hizo sare?!

Kukaimu kuko Kwa namna mbalimbali unaweza kujikuta wewe Ndio kilaza

Prof Juma alikaimu Ujaji mkuu kabla ya kuteuliwa rasmi nk...nk 😂😂
Profesa Ibrahim Juma alikaimu kwasababu tayari Jaji Mkuu aliyemtangulia alikuwa ameshastaafu rasmi hivyo mchakato wa kumtafuta JM mpya ulikuwa mezani.

Je, Muliro amestaafu rasmi? Maana kustaafu sio suala la siri lazima umma ungejulishwa tu.
 
Wakuu,


Mafwele ndio aliyetoa taarifa ya wafanyalazi wa LBL kukamatwa Dar akiwa kama Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar.


Mpaka anakaimu inamaanisha nafasi ya Kamanda iko wazi, je Muriro anahamishwa na nafasi hiyo anakuja kuchukua Mafwele?

Pia soma: Wafanyakazi wengine 26 wa LBL wakamatwa Dar. Faustine Mafwele atoa tamko!

Sativa alimtaja yeye kama moja ya waliohusika kwenye utekaji wake.... amewakosha kwa utendaji mpaka wameona aje kutuliza midomo wakati tunaeleka kwenye uchaguzi mkuu?

Pia soma: Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine Mafwele miongoni mwa askari waliomhoji Oysterbay alipotekwa
Cyabonga Jesus
Thx Jesus for your goodness

Ktkt vitu nabarikiwa nafurahia ni mtu kubarikiwa kupanda cheo kufanikiwa KUONGEZEKA mshahara

NAMI Mungu anazidi kunikwexa
Godbless you Br

Dj nipe wimbooo

WA
Nimekuja kusemaaaa ahsanteee

X 3

Ahsante kwa wema wako na fadhili zako babaaaaaaaa

Mm nimekuja kusema ahsante sema ahsante

Ahsanteeee eeeeee ahsanteeee nimekuja kusemaaaaa ahsanteee

Imwendee kamanda wetu popote alipo
 
Kwa fadhili xakooooo na upendooo wakooo

Nimekuja kusemaaaaa ahsanteee

Eeeeeeeeeee

Nimekuja kusema ahsante
 
Ukiona mwenzio kubarikiwa

Mwambie Mungu ahsante kwa baraka zake

Uone yatakayokufwataaaaa n blsn azihesabiki......
 
Wakuu,


Mafwele ndio aliyetoa taarifa ya wafanyalazi wa LBL kukamatwa Dar akiwa kama Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar.


Mpaka anakaimu inamaanisha nafasi ya Kamanda iko wazi, je Muriro anahamishwa na nafasi hiyo anakuja kuchukua Mafwele?

Pia soma: Wafanyakazi wengine 26 wa LBL wakamatwa Dar. Faustine Mafwele atoa tamko!

Sativa alimtaja yeye kama moja ya waliohusika kwenye utekaji wake.... amewakosha kwa utendaji mpaka wameona aje kutuliza midomo wakati tunaeleka kwenye uchaguzi mkuu?

Pia soma: Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine Mafwele miongoni mwa askari waliomhoji Oysterbay alipotekwa
Muliro kiumri alishastaafu tangu mwaka jana,aliongezewa Mkataba wa mwaka mmoja,sidhani kama watamuongeza Mkataba mwingine
 
Wakuu,


Mafwele ndio aliyetoa taarifa ya wafanyalazi wa LBL kukamatwa Dar akiwa kama Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar.


Mpaka anakaimu inamaanisha nafasi ya Kamanda iko wazi, je Muriro anahamishwa na nafasi hiyo anakuja kuchukua Mafwele?

Pia soma: Wafanyakazi wengine 26 wa LBL wakamatwa Dar. Faustine Mafwele atoa tamko!

Sativa alimtaja yeye kama moja ya waliohusika kwenye utekaji wake.... amewakosha kwa utendaji mpaka wameona aje kutuliza midomo wakati tunaeleka kwenye uchaguzi mkuu?

Pia soma: Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine Mafwele miongoni mwa askari waliomhoji Oysterbay alipotekwa
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom