FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

Madai ya anti Us ni kwamba wanapinga Dhuruma za Us.. Sasa huyu bwana dogo Ahmed Ghailan alidhurumiwa nini na US hadi kwenda kuua watu ubalozi wao.
Wale jamaa wa kibiti wangelichekewa Tanzania ingelikuwa na akina Shekeu wengine.
Kwahiyo kwa sababu magaidi waliushambulia ubalozi wa Marekani, basi Marekani haiwezekani akafanya dhuluma? Halafu mtu akiwa anti US ni lazima awaunge mkono magaidi?
 
Hapo tutatofsutiana mkuu. Mchaga yesu ni utamaduni tu mbele ya hela hela iko mwanzo.
Kumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndoto
Tuache unafiki wale jamaa ni wapinga Kristo
Na mchaga anahamu na fursa , na sio hela -
Kama wangekuwa wanapenda hela sana , Basi ungekuta ni machangudoa
But ninapitaga sana Moshi , Ni hakuna machangudoa
 
Madai ya anti Us ni kwamba wanapinga Dhuruma za Us.. Sasa huyu bwana dogo Ahmed Ghailan alidhurumiwa nini na US hadi kwenda kuua watu ubalozi wao.
Wale jamaa wa kibiti wangelichekewa Tanzania ingelikuwa na akina Shekeu wengine.
Ni Muslim huyo. Ukizaliwa muslim kuna imani kwamba wewe unaonewa na kila mwenye pumzi hapa ulimwenguni tukianzia na marekani then Israel na wazungu kisha christians na muslim wengine
 
Ule uzito wa ule mlipuko sitaweza kuusahau mpaka nakufa.!!!!!!!! Wakazi wa Magomeni watakuwa mashahidi kwenye hili!!!!!!!! Utafikiri lililipuliwa Magomeni!!!!!!!!!!!!!!! Kile kishindo hatari!!!!!!!!!!!!!

What next ndiyo tukajua CIA na FBI ni nani!!!!!!!! Ilala plus Magomeni ule mchakamchaka wake kama movie vile!!!!!!!!!!!!!
Ulikuwa na umri gani?
 
Kumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndoto
Tuache unafiki wale jamaa ni wapinga Kristo
Na mchaga anahamu na fursa , na sio hela -
Kama wangekuwa wanapenda hela sana , Basi ungekuta ni machangudoa
But ninapitaga sana Moshi , Ni hakuna machangudoa
Brooooooo! Moshi hakuna machangu? Au moshi uloyofika wewe ipo Taveta?
 
Kumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndoto
Tuache unafiki wale jamaa ni wapinga Kristo
Na mchaga anahamu na fursa , na sio hela -
Kama wangekuwa wanapenda hela sana , Basi ungekuta ni machangudoa
But ninapitaga sana Moshi , Ni hakuna machangudoa
Viuno vigimu vile watamuuzia nani
 
Huyu Bwana yuko zake Kimara Corner kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu,ameshazeeka sasa.

Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao.

Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na Nairobi Kenya,polisi na wapelelezi wetu wakaanza kukamatakamta watu ovyo eti ni washukiwa,watu wasiopungua 200 walikuwa shimoni kule Central Police, DSM.
FBI wakapata taharifa kuwa kuna suspects wamekamatwa wako central,wakaomba kuwaona....kufika kule wakawaambia polisi wa bongo kuwa waachieni wote hakuna suspect hapa,hakuna gaidi anavaa yeboyebo amepauka kwa njaa.

Jamaa wakaingia chimbo wakaomba akaunti za wafanyabiashara na vionhozi wote wa kisiasa na wanaharakati ambao wameingiziwa mpunga mrefu ndani ya miezi kadhaa(sikumbuki)Thomas Lyimo mfanyabiashara aliyekuwa na garage yake Kimara kona na vibanda vya maziwa Dar nxima enzi hizo akajikuta matatani,ni baada ya kuonekana akaunti yake iliingiziwa pesa hazina maelezo,kipindi hicho sheria ya
money laundering haijatungwa.

Kufustilia kwa kina ni kweli bomu lililolipua ubalozi liliunganishiwa kimara kwenye garage yake.

Hayo yakifanyika mastermind alikuwa kijana mdogo toka Zanzibar Ahmed Khalfan Ghailan ndie alimuingizia huo mpunga kabla ya kukimbilia Nairobi na uarabuni.alikuwa kijana mfogo tu wa miaka 24 au 25,kwa sasa bwana Ghailan ni mtu mzima sasa.
anakaribia miaka 50 yuko Guantanamo Bay Camp chini ya ilinzi mkali

Huwapendi USA ila una vingi vya kujifunza kwao
Hii mission ilipigwa na FBI au CIA!? ..maana ni mashirika mawili tofauti yenye majukumu yanayofanana lakini kwa utendaji kazi wa tofauti!..Vipi kwa kesi hiyo siyo CIA ndio walishughulika nalo?
 
Hii mission ilipigwa na FBI au CIA!? ..maana ni mashirika mawili tofauti yenye majukumu yanayofanana lakini kwa utendaji kazi wa tofauti!..Vipi kwa kesi hiyo siyo CIA ndio walishughulika nalo?
Uko sahihi ni CIAwakishirikiana na FBI
 
Huyu Bwana yuko zake Kimara Corner kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu,ameshazeeka sasa.

Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao.

Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na Nairobi Kenya,polisi na wapelelezi wetu wakaanza kukamatakamta watu ovyo eti ni washukiwa,watu wasiopungua 200 walikuwa shimoni kule Central Police, DSM.
FBI wakapata taharifa kuwa kuna suspects wamekamatwa wako central,wakaomba kuwaona....kufika kule wakawaambia polisi wa bongo kuwa waachieni wote hakuna suspect hapa,hakuna gaidi anavaa yeboyebo amepauka kwa njaa.

Jamaa wakaingia chimbo wakaomba akaunti za wafanyabiashara na vionhozi wote wa kisiasa na wanaharakati ambao wameingiziwa mpunga mrefu ndani ya miezi kadhaa(sikumbuki)Thomas Lyimo mfanyabiashara aliyekuwa na garage yake Kimara kona na vibanda vya maziwa Dar nxima enzi hizo akajikuta matatani,ni baada ya kuonekana akaunti yake iliingiziwa pesa hazina maelezo,kipindi hicho sheria ya
money laundering haijatungwa.

Kufustilia kwa kina ni kweli bomu lililolipua ubalozi liliunganishiwa kimara kwenye garage yake.

Hayo yakifanyika mastermind alikuwa kijana mdogo toka Zanzibar Ahmed Khalfan Ghailan ndie alimuingizia huo mpunga kabla ya kukimbilia Nairobi na uarabuni.alikuwa kijana mfogo tu wa miaka 24 au 25,kwa sasa bwana Ghailan ni mtu mzima sasa.
anakaribia miaka 50 yuko Guantanamo Bay Camp chini ya ilinzi mkali

Huwapendi USA ila una vingi vya kujifunza kwao
😂😂😂😂. Walipokuja FBI walichunguza mabaki ya Bomu. Bomu liliwekwa kwenye Boza la Maji(lori la Isunzu rangi ya Blue lilokuwa linapereka maji pale ubalozini) kwenye yale Mabaki waligundua gesi zilizotumika kuunda lile bomu. Walienda TOL na kuomba majina ya walionunua gesi kwa kipindi cha miezi 3 iliyopita na ndipo walipogundua kuwa mzee Lymo alinunua kiasi fulani cha gesi husika. Walipo muoji na kutaja alitumiaje hiyo gesi. Ndipo FBI wakaamia Ilala kwenye Nyumba waliopanga vijana wa Osama! The rest is history
 
😂😂😂😂. Walipokuja FBI walichunguza mabaki ya Bomu. Bomu liliwekwa kwenye Boza la Maji(lori la Isunzu rangi ya Blue lilokuwa linapereka maji pale ubalozini) kwenye yale Mabaki waligundua gesi zilizotumika kuunda lile bomu. Walienda TOL na kuomba majina ya walionunua gesi kwa kipindi cha miezi 3 iliyopita na ndipo walipogundua kuwa mzee Lymo alinunua kiasi fulani cha gesi husika. Walipo muoji na kutaja alitumiaje hiyo gesi. Ndipo FBI wakaamia Ilala kwenye Nyumba waliopanga vijana wa Osama! The rest is history
Akili nyingi
 
Back
Top Bottom