Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Marekani ukifungwa mtu kweli amefungwa kwa haki maan vithibitisho kibao ila sio huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa Dot com hao.....Hamchelewi kusema chai kumbe ni sababu mlikuwa hamjazaliwa ahaaaa 1998 parefu
Upo sahihi FBI walianza kwa kunusa boza la maji lilobeba bomu. Wakagundua vitu viwili. Modification iliyofanywa kwenye Boza kuweza kubeba bomu la uzito ule, Aina ya vyuma vilivyotumika, aina ya kilipuzi (baruti) iliyotumika.😂😂😂😂. Walipokuja FBI walichunguza mabaki ya Bomu. Bomu liliwekwa kwenye Boza la Maji(lori la Isunzu rangi ya Blue lilokuwa linapereka maji pale ubalozini) kwenye yale Mabaki waligundua gesi zilizotumika kuunda lile bomu. Walienda TOL na kuomba majina ya walionunua gesi kwa kipindi cha miezi 3 iliyopita na ndipo walipogundua kuwa mzee Lymo alinunua kiasi fulani cha gesi husika. Walipo muoji na kutaja alitumiaje hiyo gesi. Ndipo FBI wakaamia Ilala kwenye Nyumba waliopanga vijana wa Osama! The rest is history
Malindi bado ipo na pia pale nje wakaaa mpaka kule kwenye duka la Silaha la Tanganyika army wapo machanguSifahamu kama bado ipo maana ni siku nyingi sijapita maeneo hayo. Ingawa siku hizi machangu wa Moshi wamebadilisha njia ya kujiuza wanawatumia wafanyakazi wa mahotel makubwa kupata wateja.
Kino miaka hiyo balaaUle uzito wa ule mlipuko sitaweza kuusahau mpaka nakufa.!!!!!!!! Wakazi wa Magomeni watakuwa mashahidi kwenye hili!!!!!!!! Utafikiri lililipuliwa Magomeni!!!!!!!!!!!!!!! Kile kishindo hatari!!!!!!!!!!!!!
What next ndiyo tukajua CIA na FBI ni nani!!!!!!!! Ilala plus Magomeni ule mchakamchaka wake kama movie vile!!!!!!!!!!!!!
Wangekuwa FBI wa bongo naye angeozea jeraWalikuja kugundua ni kazi tu alipewa ikafanyika bila ya yeye kujua
Hajapita Malindi huyu [emoji3]Brooooooo! Moshi hakuna machangu? Au moshi uloyofika wewe ipo Taveta?
Yaani kwa bongo hadi manyoka ya hiyo gereji na jamaa zake wa Moshi waliokuwa wakimpigia simu au kula nae kitimoto muda huu bado wangekuwa wanasota segerea na Kisongo!after all ilikuwa haikwepeki maana lazima watrace kazi ilifanyika wapi
Bongo unapewa judgement kabla ya trial na trial kabla ya evidence.Hatuwezi kuwafikia si
Leo wala kesho
USA ni ngumu sana kusingiziwa kesi ukiwa na mwanasheria mzuri,maana wanaamini katika evidence kabla ya judgement
Huku bongo sasa...
Hamchelewi kusema chai kumbe ni sababu mlikuwa hamjazaliwa ahaaaa 1998 parefu
Vijana wa hovyo sana hao facebook material.Wale vijana wa chai huku sio wengi sana
Malindi pale Tenesco, Pub Alberto wale ni kina nani wanaokesha nje kila siku?Brooooooo! Moshi hakuna machangu? Au moshi uloyofika wewe ipo Taveta?