Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Thomas lyimo ni miongoni wa waliokamatwa kuisaidia usa, yeye alikuwa ni mfanyabiashara ya vyuma, akiwa na hardware kkoo gerezani na kimara, alikuwa na karakana ya kukunja mabati (plates) kwa ajili ya bodi za gari na shughuli mbalimbali) alikuwa anafaya baishara ya kuuza flat bars,square pipes,round pipes,z agle,u angle,angle zote na nondo,ni mteja mzuri wa kiwanda cha sita steel na kamal.
kazi ya wale magaid ilifanyika katika karakana yake bila kujua,walijua ni wateja tu kama wateja wengine
kazi ya wale magaid ilifanyika katika karakana yake bila kujua,walijua ni wateja tu kama wateja wengine