Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Kwahiyo kwa sababu magaidi waliushambulia ubalozi wa Marekani, basi Marekani haiwezekani akafanya dhuluma? Halafu mtu akiwa anti US ni lazima awaunge mkono magaidi?Madai ya anti Us ni kwamba wanapinga Dhuruma za Us.. Sasa huyu bwana dogo Ahmed Ghailan alidhurumiwa nini na US hadi kwenda kuua watu ubalozi wao.
Wale jamaa wa kibiti wangelichekewa Tanzania ingelikuwa na akina Shekeu wengine.
Hapo tutatofautiana mkuu. Mchaga yesu ni utamaduni tu mbele ya hela hela iko mwanzo.Yesu na Maria !!! Mchaga na ugaidi wapi na wapi?
Yani mchaga OG amkane Yesu kisa hela? Hilo sahau
Ni chuki tuMadai ya anti Us ni kwamba wanapinga Dhuruma za Us.. Sasa huyu bwana dogo Ahmed Ghailan alidhurumiwa nini na US hadi kwenda kuua watu ubalozi wao.
Wale jamaa wa kibiti wangelichekewa Tanzania ingelikuwa na akina Shekeu wengine.
Aisee kwa hapo Wamarekani nawapa salute. Waliupiga mwingi sana. Wana connect dots balaaWamarekani walijua shambulizi la aina ile lilihitaji finance, bila hivyo isingewezekana kukamilisha tukio kubwa kama lile, jamaa wanajua connect dots mpaka wapate majibu ya uhakika..
Kumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndotoHapo tutatofsutiana mkuu. Mchaga yesu ni utamaduni tu mbele ya hela hela iko mwanzo.
Ni Muslim huyo. Ukizaliwa muslim kuna imani kwamba wewe unaonewa na kila mwenye pumzi hapa ulimwenguni tukianzia na marekani then Israel na wazungu kisha christians na muslim wengineMadai ya anti Us ni kwamba wanapinga Dhuruma za Us.. Sasa huyu bwana dogo Ahmed Ghailan alidhurumiwa nini na US hadi kwenda kuua watu ubalozi wao.
Wale jamaa wa kibiti wangelichekewa Tanzania ingelikuwa na akina Shekeu wengine.
Ulikuwa na umri gani?Ule uzito wa ule mlipuko sitaweza kuusahau mpaka nakufa.!!!!!!!! Wakazi wa Magomeni watakuwa mashahidi kwenye hili!!!!!!!! Utafikiri lililipuliwa Magomeni!!!!!!!!!!!!!!! Kile kishindo hatari!!!!!!!!!!!!!
What next ndiyo tukajua CIA na FBI ni nani!!!!!!!! Ilala plus Magomeni ule mchakamchaka wake kama movie vile!!!!!!!!!!!!!
Inferiority.Ni Muslim huyo. Ukizaliwa muslim kuna imani kwamba wewe unaonewa na kila mwenye pumzi hapa ulimwenguni tukianzia na marekani then Israel na wazungu kisha christians na muslim wengine
Brooooooo! Moshi hakuna machangu? Au moshi uloyofika wewe ipo Taveta?Kumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndoto
Tuache unafiki wale jamaa ni wapinga Kristo
Na mchaga anahamu na fursa , na sio hela -
Kama wangekuwa wanapenda hela sana , Basi ungekuta ni machangudoa
But ninapitaga sana Moshi , Ni hakuna machangudoa
Sure ,huyu alihusika padogo sana bila kujua analofanyaJamaa halikuwa hajui lolote.Ile ni kazi ya Al-Qaeda na huyu hakuwa sehemu yao ndiyo maana akaachiwa mapema sana. Mipango ilifanywa na kusukwa nchini Kenya. Ramani kuu ilichorwa Afghanistan chini ya mzee baba mwenyewe Osama.!!!!!!!!!!!!!
https://news.un.org/en/story/2023/03/1135132
Viuno vigimu vile watamuuzia naniKumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndoto
Tuache unafiki wale jamaa ni wapinga Kristo
Na mchaga anahamu na fursa , na sio hela -
Kama wangekuwa wanapenda hela sana , Basi ungekuta ni machangudoa
But ninapitaga sana Moshi , Ni hakuna machangudoa
Hii mission ilipigwa na FBI au CIA!? ..maana ni mashirika mawili tofauti yenye majukumu yanayofanana lakini kwa utendaji kazi wa tofauti!..Vipi kwa kesi hiyo siyo CIA ndio walishughulika nalo?Huyu Bwana yuko zake Kimara Corner kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu,ameshazeeka sasa.
Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao.
Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na Nairobi Kenya,polisi na wapelelezi wetu wakaanza kukamatakamta watu ovyo eti ni washukiwa,watu wasiopungua 200 walikuwa shimoni kule Central Police, DSM.
FBI wakapata taharifa kuwa kuna suspects wamekamatwa wako central,wakaomba kuwaona....kufika kule wakawaambia polisi wa bongo kuwa waachieni wote hakuna suspect hapa,hakuna gaidi anavaa yeboyebo amepauka kwa njaa.
Jamaa wakaingia chimbo wakaomba akaunti za wafanyabiashara na vionhozi wote wa kisiasa na wanaharakati ambao wameingiziwa mpunga mrefu ndani ya miezi kadhaa(sikumbuki)Thomas Lyimo mfanyabiashara aliyekuwa na garage yake Kimara kona na vibanda vya maziwa Dar nxima enzi hizo akajikuta matatani,ni baada ya kuonekana akaunti yake iliingiziwa pesa hazina maelezo,kipindi hicho sheria ya
money laundering haijatungwa.
Kufustilia kwa kina ni kweli bomu lililolipua ubalozi liliunganishiwa kimara kwenye garage yake.
Hayo yakifanyika mastermind alikuwa kijana mdogo toka Zanzibar Ahmed Khalfan Ghailan ndie alimuingizia huo mpunga kabla ya kukimbilia Nairobi na uarabuni.alikuwa kijana mfogo tu wa miaka 24 au 25,kwa sasa bwana Ghailan ni mtu mzima sasa.
anakaribia miaka 50 yuko Guantanamo Bay Camp chini ya ilinzi mkali
Huwapendi USA ila una vingi vya kujifunza kwao
Uko sahihi ni CIAwakishirikiana na FBIHii mission ilipigwa na FBI au CIA!? ..maana ni mashirika mawili tofauti yenye majukumu yanayofanana lakini kwa utendaji kazi wa tofauti!..Vipi kwa kesi hiyo siyo CIA ndio walishughulika nalo?
ππππ. Walipokuja FBI walichunguza mabaki ya Bomu. Bomu liliwekwa kwenye Boza la Maji(lori la Isunzu rangi ya Blue lilokuwa linapereka maji pale ubalozini) kwenye yale Mabaki waligundua gesi zilizotumika kuunda lile bomu. Walienda TOL na kuomba majina ya walionunua gesi kwa kipindi cha miezi 3 iliyopita na ndipo walipogundua kuwa mzee Lymo alinunua kiasi fulani cha gesi husika. Walipo muoji na kutaja alitumiaje hiyo gesi. Ndipo FBI wakaamia Ilala kwenye Nyumba waliopanga vijana wa Osama! The rest is historyHuyu Bwana yuko zake Kimara Corner kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu,ameshazeeka sasa.
Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao.
Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na Nairobi Kenya,polisi na wapelelezi wetu wakaanza kukamatakamta watu ovyo eti ni washukiwa,watu wasiopungua 200 walikuwa shimoni kule Central Police, DSM.
FBI wakapata taharifa kuwa kuna suspects wamekamatwa wako central,wakaomba kuwaona....kufika kule wakawaambia polisi wa bongo kuwa waachieni wote hakuna suspect hapa,hakuna gaidi anavaa yeboyebo amepauka kwa njaa.
Jamaa wakaingia chimbo wakaomba akaunti za wafanyabiashara na vionhozi wote wa kisiasa na wanaharakati ambao wameingiziwa mpunga mrefu ndani ya miezi kadhaa(sikumbuki)Thomas Lyimo mfanyabiashara aliyekuwa na garage yake Kimara kona na vibanda vya maziwa Dar nxima enzi hizo akajikuta matatani,ni baada ya kuonekana akaunti yake iliingiziwa pesa hazina maelezo,kipindi hicho sheria ya
money laundering haijatungwa.
Kufustilia kwa kina ni kweli bomu lililolipua ubalozi liliunganishiwa kimara kwenye garage yake.
Hayo yakifanyika mastermind alikuwa kijana mdogo toka Zanzibar Ahmed Khalfan Ghailan ndie alimuingizia huo mpunga kabla ya kukimbilia Nairobi na uarabuni.alikuwa kijana mfogo tu wa miaka 24 au 25,kwa sasa bwana Ghailan ni mtu mzima sasa.
anakaribia miaka 50 yuko Guantanamo Bay Camp chini ya ilinzi mkali
Huwapendi USA ila una vingi vya kujifunza kwao
But sura nzuri ,Viuno vigimu vile watamuuzia nani
FBISina uhakika ngoja nifuatilie uhenda uko sahihi
Yeye alifuatwa na wateja na kumpa design ya Tank(lilowekwa chemicals za bomu na kilipuzi (bom detonetor ) wakamlipa na kuchukuwa tank lao. akuusika kama muunda bomuKazi iliyotukuka ya mchaga mmoja Thomas Lyimo
Akili nyingiππππ. Walipokuja FBI walichunguza mabaki ya Bomu. Bomu liliwekwa kwenye Boza la Maji(lori la Isunzu rangi ya Blue lilokuwa linapereka maji pale ubalozini) kwenye yale Mabaki waligundua gesi zilizotumika kuunda lile bomu. Walienda TOL na kuomba majina ya walionunua gesi kwa kipindi cha miezi 3 iliyopita na ndipo walipogundua kuwa mzee Lymo alinunua kiasi fulani cha gesi husika. Walipo muoji na kutaja alitumiaje hiyo gesi. Ndipo FBI wakaamia Ilala kwenye Nyumba waliopanga vijana wa Osama! The rest is history
Acha zako , weka sehemu umekuta machanguBrooooooo! Moshi hakuna machangu? Au moshi uloyofika wewe ipo Taveta?