FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu


KKM = Ahmed Khalfan Ghailani
 
Wamarekani walijua shambulizi la aina ile lilihitaji finance, bila hivyo isingewezekana kukamilisha tukio kubwa kama lile, jamaa wanajua connect dots mpaka wapate majibu ya uhakika..
Sanaa, kama movies zao ila hiyo ni real life sasa.. #wanajua_wafanyalo🙌🏼
 
Bufa
 
Unaongea utumbo.
Mchaga hufanya kila kitu kwa ubora
1. Wizi wa hali juu
2. Mishe za hali ya juu
3. Uchangu wa kisada sio ule wa kihaya kujipanga road
 
IGP, do you know anything about terrorism?
 
Aisee
 
Mkuu T. Lymo aliuza gesi iliyotumika kutengeneza bomu.
Alitambuliwa kirahisi sababu uwingi wa gesi kama ile, waliagiza watu wachache yeye akiwemo na walipoenda kufuatilia kwake akaeleza naye aliwauzia watu gani ndiyo maana hakushitakiwa na kupelekwa Guantanamo Bay.
Kifupi bomu halikutengenezwa kiwandani kwake.
Yeye alikuwa na kiwanda kikubwa cha ufundi vyuma na uchomeleaji, ile gesi alikuwa akitumia kuchomelea (welding) ma tank na bodi za gari, n.k.
Umeongeza chumi kwa story za kijiweni.
 
Bomu lilitengenezewa kimara yeye akijua ni tank tu
 
Karakana bado ipo pale Kimara Bucha lakini utendaji wake si kama zamani ni. Sina uhakika lakini ni kama baada ya kutoka kiziizini, uchumi wake uliyumba sababu sioni uzalishaji wa chesesi za semitrailer. Ndio maana hata Uzalishaji maziwa uliyumba hata viosk vyake vya kusambazia Biashara hiyo jiji DSM vilifungwa.
 
Huwezi kuwa na kesi kubwa vile ukawa na goodwill kwa wateja wako.inaharibu reputation sana
 
Hapana Bomu halukitengenezewa Kimara. Kilichotengenezwa Kimara ni Kibebeo cha Bomu kilichoundwa uvunguni mwa Boza la kubebea maji. Ndio maana fundi aliyekijenga aliachiwa sababu hakujua kinaenda kuwekwa nini zaidi ya kufuata mchoro aliopewa.
Hapo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…