FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

Nahisi unaishi kizungu, maana ungekuwa na akili za mbongo huu uzi ungechukuwa mwezi kuisha
 
Biashara ya maziwa ni kama aliiua yeye mwenyewe
 
Unataka kuniambia CIA na FBI Wana informers wa kibongo na katika dunia nzima au? Je baada ya tukio hilo la kigaidi vikosi vyeti vilipata mafunzo ya kuweza kutambua magaidi ili waepuka kukamata wakaanga mahindi na wauza alkasusu?
 
Madai ya anti Us ni kwamba wanapinga Dhuruma za Us.. Sasa huyu bwana dogo Ahmed Ghailan alidhurumiwa nini na US hadi kwenda kuua watu ubalozi wao.
Wale jamaa wa kibiti wangelichekewa Tanzania ingelikuwa na akina Shekeu wengine.
Kambarage alidhulumiwa nini na Makaburu hadi akawa anafadhili harakati za kijeshi za ANC Kule South Africa kwa kuanzisha kambi za kijeshi maeneo mbali mbali hapa nchini ku train ?

Jee Wareno walimdhulumu nini Kambarage hadi akapeleka JWTZ kwa miaka 16 kupigana ndani ya Msumbiji ?

kupinga dhulma sio lazima uwe umedhulumiwa wewe binafsi na ukiona kama hujadhulumiwa basi huna wajibu wa kupinga hiyo dhulma basi wewe ni mbinafsi! kosa la kina Ghailani ni kuua wasio husika kwny vita yao kwa kifupi objective ilikuwa sahihi ila walikosea Kwny approach
 
Mwanzoni umejaribu kuiteka akili yangu but finally imenirudisha kule kule kwenye swali langu.
Unasema:- kosa la Ghailani ni kuua wasio na hatia.
Je,wenye hatia waliposwa kuuawa kwa mujibu maelezo yako walifanya kosa gani dhidi ya Ghailani na kundi lake?.
Na insu ya Nyerere dhidi ya makubru ni tofauti na hii ya Bwana Ghailani.
 
Unataka kuniambia CIA na FBI Wana informers wa kibongo na katika dunia nzima au? Je baada ya tukio hilo la kigaidi vikosi vyeti vilipata mafunzo ya kuweza kutambua magaidi ili waepuka kukamata wakaanga mahindi na wauza alkasusu?
Wale masheikh wa uamsho wamepita marais watatu hakuna aliyewatoa unashani ji kwa nini?
 
sie wa msasani ilikua balaa mshindo wake
 
Ww ndio umeandika vzr kuliko mwenye uzi.
Asante
 
Wenye hatia maana yake waliouwa walipaswa kuuawa …sipo hapa kuteka akili ya mtu nipo hapa kueleza ninachohisi ni sahihi kueleza


unasema issue ya Nyerere inatofautiana na ya Ghailani kwani unadhan Majeshi yetu kule Msumbiji kwa 16 years hayakuwa yanaua wasio husika ?

unadhani Kule South Africa, Zimbabwe, Botswana, Congo, Burundi na kwingine tulipokuwa tunaunga mkono vita wasio kuwa na hatia walikuwa hawauawi ?
 
I hate ile kitu inaitwa ITAENDELEA.......
Labda useme unahitaji nyama katika kipengele kipi nikuelezee ninavyofahamu.
Huo mwaka nilishakuwa kijana najitambua na,hakukuwa na mitandao ila nilirundika magazeti yanayohusu ili tukio so karibu
Ngome ya hilo tukio kwani ilikuwa ilala au magomeni ?
 
Sawa.. Ila niseme tu nimejaribu kuilewa point yako ila nimefel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…