stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kuna watu wamekua matajiri kupitia huu mkasa, kuna mama kajenga majumba kibao ana estate km uchafu kila mwisho wa mwezi ubalozi wa Marekani unawaingizia pesa, wafiwa huyo mama alifiwa na mume wake analipwa mpaka kesho in $twin bombings of Aug. 7, 1998, that destroyed the American Embassies in Nairobi, Kenya and Dar es Salaam, Tanzania.