FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

Unaongea utumbo.
Mchaga hufanya kila kitu kwa ubora
1. Wizi wa hali juu
2. Mishe za hali ya juu
3. Uchangu wa kisada sio ule wa kihaya kujipanga road
Duh! Punguza chuki babu
Maisha ndo haya haya
Sijawahi kuona makahaba wa 100USD/hr mwenye Mushi , Massawe au jina la kichaga
 
Ww ndio umeandika vzr kuliko mwenye uzi.
Asante
Mi niliandika kutoka kichwani kwa ninayofahamu,huyu bwana juu ametoa google.ila ninachofahamu Ghailan alikamatiwa Pakistani sasa huyu bwana amekopi wapi sijui kuwa Ghailan alikamatiwa South Africa
 
Sanjay Dutt kule India nayeye yalimkuta kama ya huyu Thomas Iyimo, Ila mpka leo anaishi kwa shida sana mana raia wakwaida wanaendelea kumshutuma kuwa ni Gaidi.
 

Acha kudanganya watu stori kamili iko hivi:
Ni kuwa baada ya vijana kudakwa na kusotwa ostabay hao jamaa walipokuja walienda pale ob wakatizama na kuamuru waachiwe wote. Sasa pale bomu lilipolipukia walikuta chasesi ya gari wakaibeba wakaipima zile namba na kugundu mwenye gari wamfuata mwenye gari akakamatwa baada ya hapo yule mwenye gari kumbe alikuwa kamuuzia mtu maingine akatoa vibali vyote vya kuuziana akaonyesha na baada ya hapo akaenda onyesha aliemuuzia akadakwa,hapo aieuza akaachiwa hiyu mliliki baadavha kudakwa akauliza dereva yuko wapi akamtaja na dereva akatafutwa na kudaka ndio dereva alipodakwa ndio akasema sasa amelidishwa na jamaa wakachukue mzigo garage pale bucher ndio huo mlipuko alienda beba bila yeye kujua ndio huyo mzee katika kuchunguzwa akakuta na hela kwenye acount ila hiyo hela huyu mzee aliingiziwa kama malipo ya kazi pale garege kwake ila hakujua kama ni kilipuzi,ila huyu mzee alisaidia kumtaja mteja wake na hapo ndio kazi sasa ya kuwadaka waliopanga huu mpango ambao walidakwa ni pamoja na jamaa mmoja pale ubungo (zamani wakiuza chakula cha mifugo) huyu yeye ndio aliwapokea hao jamaa kutoka majuu akawapa hifashi hadi kutekeleza hiyo shughuli na alikamatwa mpaka sasa bado wanae huko nje.
Naomba niishie hapo
 

++ Aliyeuza gari alifariki ghafla mwaka 1 baada ya kuachiwa na wamarekani .
 
Akili MTU wangu
 

Wewe utakua gaidi sio bure.
 
I like USA nomala waaaaa
 
Mi niliwaogopa pale walipoanza kuchora picha za washukiwa wa mambo ya ugaidi uhamsho wa zanzibar enzi za kuchomwa makanisa
 
Wewe utakua gaidi sio bure.
Hata Nelson Mandela alikuwa kwny orodha ya magaidi kwa mujibu wa Report za US na akaondolewa kwny hiyo orodha baada ya kustaafu

inategemea mawazo yako ni huru au yapo 'kwa mujibu '

ukiwa US sasa hivi kutumia Tiktok ni kosa ila kufirana sio kosa japo yote ni mambo binafsi


sio Mimi tu ninaepinga Ubabe wa US …hata Trump kasema akishinda urais anamaliza kwanza vita ndio anaenda kuapishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…